citizensindevelopment18
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 1,636
- 830
Mimi nilidhani anakutana na viongozi wa ngazi za juu kumbe watoto wa shule.Nilidhani anaanza ziara Israel 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nilidhani anakutana na viongozi wa ngazi za juu kumbe watoto wa shule.Nilidhani anaanza ziara Israel 😂
Kwani ziara ya kikazi ina tredimaki? Au hakimiliki?Ww kunguni wa Mbowe ndio unatumwa hovyo mitandaoni, hulali, you a house boy, such a brainless and brainwashed human being, can you say Lissu kaanza ziara ya kikazi nje ya nchi or somewhere else? Who the hell is he? Nyie ma house boy wa Mbowe hopeless kabisa
Na huyu anayekusanya watoto wa shule za msingi wamshangilie?Mimi nilidhani anakutana na viongozi wa ngazi za juu kumbe watoto wa shule.
Ndo kipindi inaandaliwa unafundishwa hata namna ya kulala Dr slaa ilimkuta tatizo likawa kwenye gia anganiHuyu Mwamba ameanza kujianadaa Urais
Kuliko huyu kibaraka wa waarabu aliyetuletea na mkataba wa bandari hovyo kabisa kisa kukaribishwa kwenye tamasha. Akauza na nchiWananchi amewadhihilishia beyond reasonable doubt kuwa yeye ni kibaraka wa mabeberu. Anapeleka ripoti kwa bwana zake ya aliyoyaona na yaliyomkuta huko Loliondo na Ngorongoro.
Atakuwa kapona ule mchanganyiko wa akili alioupata huko Ngorongoro baada ya kuona maaskari wakiwa wamesheheni ma SMG wanamzunguka. Ilimkumbusha ile tukio la 2017 la huko Dodoma. Walipomuachia ikabidi haraka aondoke bila kuaga na kutokomea huko kwa mabeberu wake.
Sasa kapatikana mwingine wa aina yake anayeitwa Mwabukusi ambaye ataungana naye kwenye hiyo operesheni ya +255 huko Songwe. Moto lazima utawaka huko hadi raha.
Hujaelewa na umejibuMashoga huwa wanaalikana, acheni ujinga, kutangazwa CNN kuna kipi cha ajabu? Hivi nyie black people lini mtakuwa na uwezo wa kujitegemea kimawazo, hivi mnawajua wazungu nyie au? Acheni ujinga plz, bado wewe mtumwa kimawazo, kimaneno na kivitendo i can see you, acha ujinga
Wewe ndo hujitambui kabisa ,pamoja na unaingia hiyo marekani lakini hujaijua marekani duniani hapa ni nchi ya namna ganiI am in Savannah, Georgia, USA, i will be back next 2 weeks, wewe ni fukara wa akili na mali, hujijui and mentally retarded individual, i have travelled almost every continent, na wewe sababu akili yako iko locked unafikiri Lissu kufika USA kafika mbinguni, mimi nimefika USA mara nyingi tokea 2005, na each year naingia na kutoka, kupitia Miami or Orlando or Atlanta or New York... Any port of entry naingia, wewe hata hujui nchi yako, unapiga makelele hovyo, ka house boy cha Mbowe kelele za hovyo..
Acha ujinga nakusihii
.
Vichekesho 😂😂😂Taarifa iliyotolewa na Chama chake hii hapa .
View attachment 2781565
Mara baada ya Ziara hii iliyopewa jina la "Lissu USA Tour 2023" na ambayo imetajwa kuwa ya lazima na muhimu , ataondoka USA kwa Ndege Maalum mpaka Songwe kwa ajili ya Oparesheni 255 ya Chama chake Kanda ya Nyasa .
Nilijua utasema hivyo. Hivi mlishakaa, mkatafakari na kujiuliza, "Hapa duniani, na hasa Afrika, kuna chama cha ushindani cha siasa (opposition political party) kinachofanyia (operate) shughuli zake kwenye nchi nyingine ya nje? Chama kinachotaka kushika dola ya nchi yetu kwa kupitia maelekezo, uongozi na usimamizi wa nchi ya Amerika na nchi zingine za EU? Chama shindani cha siasa ambacho ni puppet wa nchi nyingine? Kweli mnaona hiyo kitu ni sawa kwa akili yenu?Una akili duni sana !
Hakika !Lissu ni mtu pekee namuamini Kwa sasa kwenye siasa zetu Tanzania, ni mtu pekee anaweza kukisimamia kile anachokiamini bila kumuonea aibu mtu usoni.
Huna hoja , Lissu kila anachokifanya kimeandaliwa na Chadema , sasa huo mgawanyiko utatoka wapi ?Nilijua utasema hivyo. Hivi mlishakaa, mkatafakari na kujiuliza, "Hapa duniani, na hasa Afrika, kuna chama cha ushindani cha siasa (opposition political party) kinachofanyia (operate) shughuli zake kwenye nchi nyingine ya nje? Chama kinachotaka kushika dola ya nchi yetu kwa kupitia maelekezo, uongozi na usimamizi wa nchi ya Amerika na nchi zingine za EU? Chama shindani cha siasa ambacho ni puppet wa nchi nyingine? Kweli mnaona hiyo kitu ni sawa kwa akili yenu?
Tunakipenda sana chama shindani cha chadema lakini huyu Bw. Tundu Lissu atakigawa hicho chama vipande viwili. Hili ni angalizo, mnaweza kulipuuza lakini huko mbele mtakuja kujuta.
Nilijua utasema hivyo. Hivi mlishakaa, mkatafakari na kujiuliza, "Hapa duniani, na hasa Afrika, kuna chama cha ushindani cha siasa (opposition political party) kinachofanyia (operate) shughuli zake kwenye nchi nyingine ya nje? Chama kinachotaka kushika dola ya nchi yetu kwa kupitia maelekezo, uongozi na usimamizi wa nchi ya Amerika na nchi zingine za EU? Chama shindani cha siasa ambacho ni puppet wa nchi nyingine? Kweli mnaona hiyo kitu ni sawa kwa akili yenu?
Tunakipenda sana chama shindani cha chadema lakini huyu Bw. Tundu Lissu atakigawa hicho chama vipande viwili. Hili ni angalizo, mnaweza kulipuuza lakini huko mbele mtakuja kujuta.
Tanzania hatuna vyama vya ukombozi, tuna vyama vya siasa vinavyofanya shughuli zake kwa kufuata sheria ya vyama vya siasa. Vyama vya ukombozi vilishamaliza kazi yake ya kututoa kwenye makucha ya wakoloni...mbona vyama vyote vya ukombozi kusini mwa Afrika vilikuwa na maofisi ktk nchi mbalimbali duniani?
..Na karibu vyote vilikuwa na MAKAO MAKUU nje ya nchi zao, na vilipokea misaada toka mataifa mbalimbali hususan ya ulaya.
..kuna shida gani Cdm kuwa na marafiki nje ya nchi? Au viongozi wake kufanya ziara nchi za nje?
Tanzania hatuna vyama vya ukombozi, tuna vyama vya siasa vinavyofanya shughuli zake kwa kufuata sheria ya vyama vya siasa. Vyama vya ukombozi vilishamaliza kazi yake ya kututoa kwenye makucha ya wakoloni.
Kumbe Tundu Lissu anakitumia chama cha CDM kuendesha chama chake haramu cha ukombozi cha kuirudisha nchi yetu kwenye makucha ya wakoloni! Watanzania walishalijua hilo, hawakubali na ushahidi utakapokamilika sheria itachukua mkondo wake dhidi ya huyu jamaa na washirika wake.
😆😆😆😆..Maza amesafiri mara nyingi na kwa muda mrefu kwenda ulaya, Marekani, na Asia kuliko Cdm wote, ina maana Ccm inataka kutuuza na kurudisha kwenye ukoloni?
Mbona unachanganya mambo. Maza ni mkuu wa nchi yetu kama alvyo Bidden huko USA au Putin huko Russia. Haendi huko ulaya, marekani na asia kama mwenyekiti wa ccm au kwa shughuli za ccm...Maza amesafiri mara nyingi na kwa muda mrefu kwenda ulaya, Marekani, na Asia kuliko Cdm wote, ina maana Ccm inataka kutuuza na kurudisha kwenye ukoloni?
Mbona unachanganya mambo. Maza ni mkuu wa nchi yetu kama alvyo Bidden huko USA au Putin huko Russia. Haendi huko ulaya, marekani na asia kama mwenyekiti wa ccm au kwa shughuli za ccm.
Counterpart wa Tundu Lisu ni Abraham Kinana. Sasa ulishamwona wapi Kinana au Mpogolo akifanya ziara huko ulaya, marekani na asia.
Pia kumbuka ccm ndicho chama tawala cha siasa hapa nchini kwa sasa, wadhifa kiliopewa na wananchi kupitia uchaguzi mkuu halali wa mwaka 2020. Hivyo ccm huwezi kuilinganisha na cdm ambayo ni moja ya vyama shindani vinavyoota kushika dola siku za usoni. Ni kinyume na sheria kutaka kutimiza doto hiyo kupitia migogo ya mabeberu.
😆😆😆😆