Tundu Lissu kuanza ziara ya kikazi Marekani

Tundu Lissu kuanza ziara ya kikazi Marekani

Wananchi amewadhihilishia beyond reasonable doubt kuwa yeye ni kibaraka wa mabeberu. Anapeleka ripoti kwa bwana zake ya aliyoyaona na yaliyomkuta huko Loliondo na Ngorongoro.

Atakuwa kapona ule mchanganyiko wa akili alioupata huko Ngorongoro baada ya kuona maaskari wakiwa wamesheheni ma SMG wanamzunguka. Ilimkumbusha ile tukio la 2017 la huko Dodoma. Walipomuachia ikabidi haraka aondoke bila kuaga na kutokomea huko kwa mabeberu wake.

Sasa kapatikana mwingine wa aina yake anayeitwa Mwabukusi ambaye ataungana naye kwenye hiyo operesheni ya +255 huko Songwe. Moto lazima utawaka huko hadi raha.
 
Wananchi amewadhihilishia beyond reasonable doubt kuwa yeye ni kibaraka wa mabeberu. Anapeleka ripoti kwa bwana zake ya aliyoyaona na yaliyomkuta huko Loliondo na Ngorongoro.

Atakuwa kapona ule mchanganyiko wa akili alioupata huko Ngorongoro baada ya kuona maaskari wakiwa wamesheheni ma SMG wanamzunguka. Ilimkumbusha ile tukio la 2017 la huko Dodoma. Walipomuachia ikabidi haraka aondoke bila kuaga na kutokomea huko kwa mabeberu wake.

Sasa kapatikana mwingine wa aina yake anayeitwa Mwabukusi ambaye ataungana naye kwenye hiyo operesheni ya +255 huko Songwe. Moto lazima utawaka huko hadi raha.
Una akili duni sana !
 
Lissu, rais mpya ajaye tanzania, tanzania mpya katika zama mpya za maendeleo
 
Lissu, rais mpya ajaye tanzania, tanzania mpya katika zama mpya za maendeleo
 
Ndio ulivyoaminishwa na wanaokutuma ?

Ww kunguni wa Mbowe ndio unatumwa hovyo mitandaoni, hulali, you a house boy, such a brainless and brainwashed human being, can you say Lissu kaanza ziara ya kikazi nje ya nchi or somewhere else? Who the hell is he? Nyie ma house boy wa Mbowe hopeless kabisa
 
Lissu ukimaliza ziara ya kanda ya Nyasa tafadhali usisahau Arusha mjini na Jimbo lile la Hai huko Kilimanjaro.

Wamekumisi sana!!!
 
Ww kunguni wa Mbowe ndio unatumwa hovyo mitandaoni, hulali, you a house boy, such a brainless and brainwashed human being, can you say Lissu kaanza ziara ya kikazi nje ya nchi or somewhere else? Who the hell is he? Nyie ma house boy wa Mbowe hopeless kabisa
 

Attachments

  • C822A57A-552B-4BE4-B63B-44AC88787C56.jpeg
    C822A57A-552B-4BE4-B63B-44AC88787C56.jpeg
    26.6 KB · Views: 1
Ww kunguni wa Mbowe ndio unatumwa hovyo mitandaoni, hulali, you a house boy, such a brainless and brainwashed human being, can you say Lissu kaanza ziara ya kikazi nje ya nchi or somewhere else? Who the hell is he? Nyie ma house boy wa Mbowe hopeless kabisa
Kuhusu Lissu si uiulize serkali ya Biden ikueleze kisa cha kumtangaza Lissu CNN .

Kingine ni hiki hakuna tajiri anayeweza kuwa Chawa
 
Kuhusu Lissu si uiulize serkali ya Biden ikueleze kisa cha kumtangaza Lissu CNN

Mashoga huwa wanaalikana, acheni ujinga, kutangazwa CNN kuna kipi cha ajabu? Hivi nyie black people lini mtakuwa na uwezo wa kujitegemea kimawazo, hivi mnawajua wazungu nyie au? Acheni ujinga plz, bado wewe mtumwa kimawazo, kimaneno na kivitendo i can see you, acha ujinga
 
Mashoga huwa wanaalikana, acheni ujinga, kutangazwa CNN kuna kipi cha ajabu? Hivi nyie black people lini mtakuwa na uwezo wa kujitegemea kimawazo, hivi mnawajua wazungu nyie au? Acheni ujinga plz, bado wewe mtumwa kimawazo, kimaneno na kivitendo i can see you, acha ujinga
Yaani wewe masikini acha kutukana , nimekusitiri tu , lakini wewe na ukoo wako wote hata mkifufua waliokufa hamtaniweza kwa lolote lile nje ya Uchawi
 
I am in Savannah, Georgia, USA, i will be back next 2 weeks, wewe ni fukara wa akili na mali, hujijui and mentally retarded individual, i have travelled almost every continent, na wewe sababu akili yako iko locked unafikiri Lissu kufika USA kafika mbinguni, mimi nimefika USA mara nyingi tokea 2005, na each year naingia na kutoka, kupitia Miami or Orlando or Atlanta or New York... Any port of entry naingia, wewe hata hujui nchi yako, unapiga makelele hovyo, ka house boy cha Mbowe kelele za hovyo..

Acha ujinga nakusihii

Yaani wewe masikini acha kutukana , nimekusitiri tu , lakini wewe na ukoo wako wote hata mkifufua waliokufa hamtaniweza kwa lolote lile nje ya Uchawi
.
 
I am in Savannah, Georgia, USA, i will be back next 2 weeks, wewe ni fukara wa akili na mali, hujijui and mentally retarded individual, i have travelled almost every continent, na wewe sababu akili yako iko locked unafikiri Lissu kufika USA kafika mbinguni, mimi nimefika USA mara nyingi tokea 2005, na each year naingia na kutoka, kupitia Miami or Orlando or Atlanta or New York... Any port of entry naingia, wewe hata hujui nchi yako, unapiga makelele hovyo, ka house boy cha Mbowe kelele za hovyo..

Acha ujinga nakusihii


.
Jay one.
Huna lolote kuingia Marekani sio tija. Kinachoongelewa ni nchi yako Tanzania ikomboleke!!
 
14 October 2023

Tundu Lissu - Wamaasai Diaspora I Pre-Meeting Changamoto Za Wamaasai Loliondo na Ngorongoro Tanzania


View: https://m.youtube.com/watch?v=cNmbSx3pFW0

Wamaasai Diaspora | Historia Ya Kabila Ya Waamsai Loliondo Na Ngorongoro, Tanzania, Wana Diapora Wenye Asili Na Wazaliwa Wa Kutoka Loliondo Na Ngororongo Wanaoishi Marekani Wanasimulia Yanayoendela Walikokulia Na Ndugu Na Jamaa Wanavyoathirika na Mpango Wa Serikali Wa Kuwatowa Kwenye Makazi Yao Ya Asili Kinyume Na Mila Na Utamaduni Wao Wa Asili
Source : America Swahili News
 
I am in Savannah, Georgia, USA, i will be back next 2 weeks, wewe ni fukara wa akili na mali, hujijui and mentally retarded individual, i have travelled almost every continent, na wewe sababu akili yako iko locked unafikiri Lissu kufika USA kafika mbinguni, mimi nimefika USA mara nyingi tokea 2005, na each year naingia na kutoka, kupitia Miami or Orlando or Atlanta or New York... Any port of entry naingia, wewe hata hujui nchi yako, unapiga makelele hovyo, ka house boy cha Mbowe kelele za hovyo..

Acha ujinga nakusihii


.
Kwi Kwi Kwi
 
14 October 2023

Tundu Lissu - Wamaasai Diaspora I Pre-Meeting Changamoto Za Wamaasai Loliondo na Ngorongoro Tanzania


View: https://m.youtube.com/watch?v=cNmbSx3pFW0

Wamaasai Diaspora | Historia Ya Kabila Ya Waamsai Loliondo Na Ngorongoro, Tanzania, Wana Diapora Wenye Asili Na Wazaliwa Wa Kutoka Loliondo Na Ngororongo Wanaoishi Marekani Wanasimulia Yanayoendela Walikokulia Na Ndugu Na Jamaa Wanavyoathirika na Mpango Wa Serikali Wa Kuwatowa Kwenye Makazi Yao Ya Asili Kinyume Na Mila Na Utamaduni Wao Wa Asili
Source : America Swahili News

Hapo ndio penyewe hasa !
 
Back
Top Bottom