macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Tuko tayari kuchanga kwa ajili ya mama Tanganyika. Kama tukichanga unawashwawashwa makalio basi kasugulie kwenye jiwe.Hivi kule marekani atachangiwa kama afanyavyo kila akiwa kwenye yale makangamano uchwara hapa nchini?