Tundu Lissu kuanza ziara ya kikazi Marekani

Kwani ziara ya kikazi ina tredimaki? Au hakimiliki?
Unapojiunga na CCM ni lazima akina Polepole wafungue fuvu la kichwa chako wakombe ubongo wote kisha wakujazie ubongo wa mbuzi wa yule msomali wa Arusha.
 
Kuliko huyu kibaraka wa waarabu aliyetuletea na mkataba wa bandari hovyo kabisa kisa kukaribishwa kwenye tamasha. Akauza na nchi
 
Hujaelewa na umejibu

Anasema hivi ,serikali ya marekani kumtangaza lisu CNN

Zungumzia Sasa kuhusu serikali ya marekani kumtangaza lisu cnn
 
Wewe ndo hujitambui kabisa ,pamoja na unaingia hiyo marekani lakini hujaijua marekani duniani hapa ni nchi ya namna gani
 
Vichekesho πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nakumbuka maigizo kama haya ya kijinga alifanyaga na Slaa,Leo Yuko wapi? 😁😁
 
Lissu ni mtu pekee namuamini Kwa sasa kwenye siasa zetu Tanzania, ni mtu pekee anaweza kukisimamia kile anachokiamini bila kumuonea aibu mtu usoni.
 
Una akili duni sana !
Nilijua utasema hivyo. Hivi mlishakaa, mkatafakari na kujiuliza, "Hapa duniani, na hasa Afrika, kuna chama cha ushindani cha siasa (opposition political party) kinachofanyia (operate) shughuli zake kwenye nchi nyingine ya nje? Chama kinachotaka kushika dola ya nchi yetu kwa kupitia maelekezo, uongozi na usimamizi wa nchi ya Amerika na nchi zingine za EU? Chama shindani cha siasa ambacho ni puppet wa nchi nyingine? Kweli mnaona hiyo kitu ni sawa kwa akili yenu?

Tunakipenda sana chama shindani cha chadema lakini huyu Bw. Tundu Lissu atakigawa hicho chama vipande viwili. Hili ni angalizo, mnaweza kulipuuza lakini huko mbele mtakuja kujuta.
 
Huna hoja , Lissu kila anachokifanya kimeandaliwa na Chadema , sasa huo mgawanyiko utatoka wapi ?
 

..mbona vyama vyote vya ukombozi kusini mwa Afrika vilikuwa na maofisi ktk nchi mbalimbali duniani?

..Na karibu vyote vilikuwa na MAKAO MAKUU nje ya nchi zao, na vilipokea misaada toka mataifa mbalimbali hususan ya ulaya.

..kuna shida gani Cdm kuwa na marafiki nje ya nchi? Au viongozi wake kufanya ziara nchi za nje?
 
Tanzania hatuna vyama vya ukombozi, tuna vyama vya siasa vinavyofanya shughuli zake kwa kufuata sheria ya vyama vya siasa. Vyama vya ukombozi vilishamaliza kazi yake ya kututoa kwenye makucha ya wakoloni.

Kumbe Tundu Lissu anakitumia chama cha CDM kuendesha chama chake haramu cha ukombozi cha kuirudisha nchi yetu kwenye makucha ya wakoloni! Watanzania walishalijua hilo, hawakubali na ushahidi utakapokamilika sheria itachukua mkondo wake dhidi ya huyu jamaa na washirika wake.
 

..Maza amesafiri mara nyingi na kwa muda mrefu kwenda ulaya, Marekani, na Asia kuliko Cdm wote, ina maana Ccm inataka kutuuza na kurudisha kwenye ukoloni?
 
..Maza amesafiri mara nyingi na kwa muda mrefu kwenda ulaya, Marekani, na Asia kuliko Cdm wote, ina maana Ccm inataka kutuuza na kurudisha kwenye ukoloni?
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
..Maza amesafiri mara nyingi na kwa muda mrefu kwenda ulaya, Marekani, na Asia kuliko Cdm wote, ina maana Ccm inataka kutuuza na kurudisha kwenye ukoloni?
Mbona unachanganya mambo. Maza ni mkuu wa nchi yetu kama alvyo Bidden huko USA au Putin huko Russia. Haendi huko ulaya, marekani na asia kama mwenyekiti wa ccm au kwa shughuli za ccm.

Counterpart wa Tundu Lisu ni Abraham Kinana. Sasa ulishamwona wapi Kinana au Mpogolo akifanya ziara huko ulaya, marekani na asia.

Pia kumbuka ccm ndicho chama tawala cha siasa hapa nchini kwa sasa, wadhifa kiliopewa na wananchi kupitia uchaguzi mkuu halali wa mwaka 2020. Hivyo ccm huwezi kuilinganisha na cdm ambayo ni moja ya vyama shindani vinavyoota kushika dola siku za usoni. Ni kinyume na sheria kutaka kutimiza doto hiyo kupitia migogo ya mabeberu.
 

..kwa hiyo ni halali Maza kwenda kwenye nchi za mashoga na kutuletea huku nyumbani?

..labda nikuulize kwanini Maza na serikali ya Ccm wanaruhusu jeshi letu kupokea misaada na kufanya mafunzo na jeshi la Marekani linaloruhusu ushoga?

..kati ya chama tawala na cha upinzani ni kipi kinahatarisha usalama wetu zaidi ikiwa kitajifungamanisha na ushoga?
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

..they r very stupid these ppl.

..kila siku viongozi wa Ccm wanakwenda nchi zenye mashoga, na kupokea misaada, na kukopa kwa miradi mbalimbali.

..wakitoka huko wanakuja kutulaghai kwamba serikali na chama chao wanapinga ushoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…