REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Ndio vizuri Ili akaanzishe chama chake si mnasema anakubalika na ana wafuasi,tuone itakuaje 🤣🤣Wanajukwaa habari zenu?
Sasa inaenda kuwa rasmi, nguli wa sheria na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu anafutwa uanachama. Wana-CHADEMA kindakindaki wamepania kukipasua chama kabisa ili Freeman Mbowe ashike adabu yake.
Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho, Bowel anaendelea kuwaburuza wenzie.
Ngoja tusikilizie.
Ccm itamsaidia kufikia malengo yake,tutamsaidia kuwa na utulivuAje CCM ili na yeye aondolewe akili kama mlivyofanywa ninyi?
Hapana,anakuja ccmKaribu ACT wazalendo Tundulisu
Ataimaliza chadema safari hiiNdio vizuri Ili akaanzishe chama chake si mnasema anakubalika na ana wafuasi,tuone itakuaje 🤣🤣
Wamechukia sana Lissu kupinga rishwa za ndani ya chama chaoWamfukuzie nini sasa wakati wao wanahubiri Demokrasia na Tundu lisu ndio anachofanya endapo CDM watamfukuza Lisu basi hawana haki ya kuja hadharani kwa Watanganyika na kutuambia uozo wa serikali ikiwa uozo wao unafichwa
Hivi unajua maana ya tetesi.Ngoja tusikie toka wapi tena si umeshasema
Nimefurahi sana kukuona Mzee Kichuguu,nimekuona siku nyingi sana humu,nondo zako huwa zimenyooka,safi sana Bwana Kichuguu.Akifutwa anaanzisha chama chake (kama Zitto), au anajiteua kuwa mbunge wa kuteiliwa kwa tiketi ya CHADEMa (kama Halima), au anahamia NCC-Mageuzi (kama Selasini), au anarudi CCM (David Silinde). . Alternatives zipo nyingi sana kwa wanasiasa GTanzania
Niamini mimi broUkiuliza chanzo cha tariifa utaambiwa niamini kaka
Hadi familia yakoBaada ya Covid 19 sasa umeingia uhonjwa mwingine hatari "Lisu fever" yaani tayari umekumba 50% ya hadi familia
Hizo tesitesi na za corridor za kijani ama😝Wanajukwaa habari zenu?
Sasa inaenda kuwa rasmi, nguli wa sheria na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu anafutwa uanachama. Wana-CHADEMA kindakindaki wamepania kukipasua chama kabisa ili Freeman Mbowe ashike adabu yake.
Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho, Bowel anaendelea kuwaburuza wenzie.
Ngoja tusikilizie.
Leo?Kesho Mbowe anamtimua lissu,utakuja kushangilia hapa lkn pesa za join the chain hupewi ng'ooo
Wewe ni Chawa umekosea njia. Huko ulikoingia ni mapaja ya kuku siyo ya binadamu. 😆Wanajukwaa habari zenu?
Sasa inaenda kuwa rasmi, nguli wa sheria na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu anafutwa uanachama. Wana-CHADEMA kindakindaki wamepania kukipasua chama kabisa ili Freeman Mbowe ashike adabu yake.
Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho, Bowel anaendelea kuwaburuza wenzie.
Ngoja tusikilizie.
Kwahiyo ndiyo unasubiri.?Wanajukwaa habari zenu?
Sasa inaenda kuwa rasmi, nguli wa sheria na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu anafutwa uanachama. Wana-CHADEMA kindakindaki wamepania kukipasua chama kabisa ili Freeman Mbowe ashike adabu yake.
Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho, Bowel anaendelea kuwaburuza wenzie.
Ngoja tusikilizie.
Kwahiyo ndoto yako tayari umekunya kitandaniWanajukwaa habari zenu?
Sasa inaenda kuwa rasmi, nguli wa sheria na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu anafutwa uanachama. Wana-CHADEMA kindakindaki wamepania kukipasua chama kabisa ili Freeman Mbowe ashike adabu yake.
Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho, Bowel anaendelea kuwaburuza wenzie.
Ngoja tusikilizie.
Za ufipaHizo tesitesi na za corridor za kijani ama😝