Tundu Lissu kuhitaji gari lake aliloshambuliwa nalo hapa kuna mtego mkubwa na hesabu kali inachezwa

Tundu Lissu kuhitaji gari lake aliloshambuliwa nalo hapa kuna mtego mkubwa na hesabu kali inachezwa

Si walisema wanamtaka aje ili ahojiwe? Sasa kaenda mwenyewe lakini hawakumhoji!
Lakini tusubiri labda anahojiwa.

tatizo mama naona kama anaingili jambo hili aiche polisi sasa ifanye kazi zake lissu amrudishe dereva aje atoe ushahidi vipi mimi na wewe tukae kwenye gari siti zetu zimekaribiana risasi 38 dereva asimpate risasi hata moja kwa tena hata kwa bahati mbaya tu, vipi?
 
Yuko ubelgiji anafanya kazi
Lakini mhusika si yupo sasa?
Afungue kesi basi kuishtaki serikali ya Tanzania kwa kumdhuru. Kesi ianze na mashahidi waliopo waitwe watoe ushahidi. Kila kitu kitajulikana kwanini CDM/Lissu hawataki kufungua kesi??? Ikumbukwe 2020 alikua bongo na alizunguka nchi nzima kwanini hakufungua hio kesi??sasa hivi imebaki blah blah tu... kuna mengi nyuma ya pazia ambayo watu wa kawaida hawayajui. Moja, nahisi Lissu na CDM wanaijua movie yote. Mbili, inawezekana kweli serikali ilifanya hivyo kutokana evidences za Lissu kuisaliti nchi yake. Yote kwa yote ili haki ipatikane afungue kesi tu ijulikane kuliko kila siku kendelea kupambana na marehemu ambae hawezi kujibu tuhuma..Simple!!!
 
Halafu huwa najiuliza tu, siku ile dereva wa lissu angeweza kuchukua hata ushahidi wa risasi make naimani nyingi zilimkosa mlengwa make wale wajinga walikuwa wanazimimina kiboya sana kama kojo la mlevi.
Zile risasi zingesaidia kutambua kampuni zilikotengenezwa na ziliingizwa nchini na nani na kabla ya kutumiwa zilihifadhiwa wapi?
Ishu ya risasi ni simple kumbuka kuna nyingine ziliingia mwilini ninaamini fika kuwa zipo na zilitunzwa KWA ushahidi na nyingine zipo mwilini mwake hadi sasa!

KWA hiyo wakizitaka kwaajili ya ushahidi watazipata tu itakuwa zilitunzwa KWA ajili ya ushahidi HUSIKA!!
 
Tukio la lisu linafikirisha Sana!!

1.Ina Maana Mungu aliamua kuwaumbua wahusika na aliewatuma!!?

2.Waliopanga tukio walikuwa vilaza hadi washindwe kutekeleza!!?

3.Waliofanya tukio miongoni mwao walikuwepo wasaliti waliosababisha mission isifanikiwe!?

4.Ni kweli kwamba vyombo vya ulinzi viliamua kumtelekeza Mbunge na mchaguliwa wa wananchi hata aliporipotit HATARI inayomkabili!!?

5.Lisu alikuwa asset iliyogawanya pande kuu mbili Kati ya wanaofaidika nae na wale wasiomtaka hivyo kukawa na mnyukano Kati ya pande Mbili hadi mipango ikashindikana!!?

6.Mission ilifeli mazima yaani Dead and dusted au itahuishwa Tena na wahusika waliotaka kukamilika KWA mission!!?
 
Haya Majiniasi ( Akili Kubwa ) wa JamiiForums hebu njooni mtupe Ujiniasi wenu katika hili Sisi Mangumbaru ( Akili Ndogo ) kwani wenye Akili Kubwa wanadai katika hili kuna mahala Tundu Lissu Kawatega lakini pia kuna Hesabu Kali mno inachezwa hapa ambayo ikikosewa tu Mzanzibari atadharaulika na hatoamini.
Wewe kwa akili yako ya kuzaliwa tu achana na uliyoipata chekechea, unaona atapatiwa hilo gari?
 
Msimfanye Lissu ndo wa kwanza kusoma sheria hapa nchi. Sheria zipo wazi na taratibu za kufuata katika mazingira kama hayo zinajulikana.
Hivi unadhani tukio kama hilo lingetokea ndani ya nyumba polisi wangezuia hiyo nyumba isitumike tena kusubiri mwenendo wa uchunguzi?
What an elder can see while seated on chair you cannot see it while on top of the tall tree...
 
Tukio la lisu linafikirisha Sana!!

1.Ina Maana Mungu aliamua kuwaumbua wahusika na aliewatuma!!?

2.Waliopanga tukio walikuwa vilaza hadi washindwe kutekeleza!!?

3.Waliofanya tukio miongoni mwao walikuwepo wasaliti waliosababisha mission isifanikiwe!?

4.Ni kweli kwamba vyombo vya ulinzi viliamua kumtelekeza Mbunge na mchaguliwa wa wananchi hata aliporipotit HATARI inayomkabili!!?

5.Lisu alikuwa asset iliyogawanya pande kuu mbili Kati ya wanaofaidika nae na wale wasiomtaka...
Mkuu assumptions zako 5 za mwanzo zote zina prove vividily valid isipokuwa hapo kwenye namba 6 hii ni failed mission and simply a trush. Kumbuka Mama yupo affiliated na mzee wa msoga ambaye hana time na kelele au tuseme yupo politically challengable and torelative compared to "the gone one".

Hence no more threats will be intended to harm our beloved TAL.
 
Halafu huwa najiuliza tu, siku ile dereva wa lissu angeweza kuchukua hata ushahidi wa risasi make naimani nyingi zilimkosa mlengwa make wale wajinga walikuwa wanazimimina kiboya sana kama kojo la mlevi.
Zile risasi zingesaidia kutambua kampuni zilikotengenezwa na ziliingizwa nchini na nani na kabla ya kutumiwa zilihifadhiwa wapi?
Unajuaje kama hawakuchukua kwa ajili ya ushahidi? Imagine nguo zenye damu wamezitunza tokea 2017 mpaka leo
 
Dereva kabaki na mke wake kule Brussels ,Basi kama gari ni muhimu kurudishwa basi na dereva nae muhimu sana apatikane atoe his side of the story. Haiwezekani story ya Lissu ya upande mmoja ikajumuisha tukio lote na huyo dereva nae ni muhimu, na pia inatakiwa kuwapata wale wanaokuwaga walinzi pale waseme ni nani aliwaondoa siku ya tukio. eneo kama lile lina rota ya walinzi wa siku hio, waulizwe walinzi wa siku ile kwanini hawakua kazini na kwa amri ya nani?? Kitu kibaya zaidi Lissu anamsema Magufuli- rip kama yeye ndio aliefanya tukio , aseme ni serikali ya Tanzania ili iwe wazi na kuipeleka kortini kama serikali sio mtu binafsi. ni nini anaogopa kufanya hivyo???Maana kesi ikifanyika basi picha loote litajulikana. Kuna mengi kwenye hii issues sio hayo Tundu aliosema tu tena kwa upande wake.
Ingia you tube hili la dereva tayari amelijibu kwa kirefu sana.
 
Unamaanisha katiba mpya ikipatikana itashughulikia hata makosa yaliyotendeka kabla katiba hiyo haijapatikana ?
Hayo makosa yaliotendeka hata kwa katiba hii hii wahusika wanaweza kuwajibishwa ila kutokana na katiba kuwa na mnyololo wa kulindana ndio ilo linashindikana sasa katiba mpya itakuja kuondoa huo mnyonyoro
 
Halafu huwa najiuliza tu, siku ile dereva wa lissu angeweza kuchukua hata ushahidi wa risasi make naimani nyingi zilimkosa mlengwa make wale wajinga walikuwa wanazimimina kiboya sana kama kojo la mlevi.
Zile risasi zingesaidia kutambua kampuni zilikotengenezwa na ziliingizwa nchini na nani na kabla ya kutumiwa zilihifadhiwa wapi?
Dereva hajazoea masuala ya vita katika tukio kama lile cha kwanza ni usalama wake hawezi kukumbuka hayo mambo ya kukusanya ushaidi hata ungekua wewe kwa mara ya kwanza maishano mwako unasikia milio ya risasi takribani 30 kutoka upande wa pili tu wa gari huwezi kukumbuka hayo mambo ya kukusanya ushaidi
 
atachukuaje gari hajatoa ushahidi polisi dereva hajatoa ushahidi kesi bado haijakamilika unataka gari vipi file lako bado halijafungwa
Kwani yeye ndiye mtuhumiwa wa shambulizi lile?

Na kama siye, kwanini mali yake ishikiliwe wakati si mtuhumiwa?

Je kama ni upelelezi, upelezi gani unaofanyika kwa miaka mingi namna hiyo?

Na je ni nini kilichobakia katika upelelezi kupelekea kuzuia mali ya raia mlalamikaji kwa muda mrefu namna hiyo?
 
Back
Top Bottom