the truecaller
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 809
- 940
Huu wimbo wa buku 7 mmeuimba sana miaka 15 sasa tangu enzi za JK hivi hamuoni kama mlikaririshwa uongo wa mchana kweupe?Ukitaka kupanda cheo tangaza kumuua Lissu , mwenzako aliyetangaza kumuua Zitto amepewa UDC Arusha , hizo elfu 7 unazolipwa hazitakusaidia chochote
Kama mambo ni hayo, basi hakuna sababu kumpitisha yeyote kati ya lisu na mbowe! Mbowe na Lissu waendelee kusimamia majimbo yao, Hii ni kwa sababu hata Mbowe akipewa ridhaa ya chama , Kuchukua dola ni ngumu kutokana na kutokua na wanachama mashinani/Vijijini nk, Uchaguzi utafanyika lakini CHadema haitashinda ...kikubwa itaongeza viti katika BungeIwapo Mbowe atajitoa kwa wakati huu,ataonekana kuwa amemuogopa Lissu.
Iwapo Mbowe ataingia hadi hatua za mwisho na kushindwa,ataonekana hana nguvu ndani ya Chadema kumshinda Lisu,na Mbowe akitangazwa kuwa mshindi,Lisu ataonekana ni mdhaifu katika harakati zake alizofanya ndani ya Chadema na itadaiwa kuwa ndani ya Chadema hakuna mwenye sauti zaidi ya Mbowe.
Mbowe akishindwa wakati huu na kuamua kurudi katika ubunge,na yeye ataonekana ni mtaka madaraka.
Kapiga hesabu zake kaona hapa kuna aibu...hapa kwa kweli akili zitakua zimemrudi kama kaamua kukwepa aibu. Aibebe kamanda mkuu mwenyewe...Labda ameanza kupata woga aibu atakayoipata October
Wala sio mbowe simnamtafutia kesi?Wakuu mambo si shwari ndani ya Chadema , Kuna mnyukano mkali unaendelea chini kwa chini toka mkanda wa maongezi uvuje uliokuwa unam mock Lissu
Sasa ni siku ya nne ndugu Lissu anashauriwa na wanafamilia na marafiki wasiokuwa wanasiasa ajiondoe kwenye mchujo wakiamini tayari umeingia dosari ila bwana mkubwa Lissu hajakubaliana nao bado akiamini bado ana nafasi
Kwa mujibu wa wanyetishaji kamanda anataka Mbowe ajitoe kwenye mchakato kwani anaamini Mbowe ananguvu sana hata hawezi kumshinda
Kufanya hivyo ndio anaweza kurudi nyumbani kushiriki kumpata mgombea wa CHADEMA
Anasema kama Mbowe hajajitoa kwenye mchakato atachukua maamuzi mengine nadhani hapa atachukua maamuzi ya familia
Kutokana na sintofahamu hii wazee wa chama wanaendelea na mashauriano
Tutaendelea kukuletea taarfa kama zinazojiri
Usilolijua litakusumbua sana
Kama hujawahi kwenda JKT ni vigumu sana kujua tactics za kupambana vitani utaishia kuhisi
Kwani mimi nimekwambia ninatarajia kupata nini?Ndio siasa ilivyo Mkuu huwezi kupata unachokitarajia kila kitu
Kapiga hesabu zake kaona hapa kuna aibu...hapa kwa kweli akili zitakua zimemrudi kama kaamua kukwepa aibu. Aibebe kamanda mkuu mwenyewe...
Kwanza wanaenda kushindanaje? kwa tume ipi?
Wala sio mbowe simnamtafutia kesi?
Kwani mimi nimekwambia ninatarajia kupata nini?
Ukitaka kupanda cheo tangaza kumuua Lissu , mwenzako aliyetangaza kumuua Zitto amepewa UDC Arusha , hizo elfu 7 unazolipwa hazitakusaidia chochote
Wakuu mambo si shwari ndani ya Chadema , Kuna mnyukano mkali unaendelea chini kwa chini toka mkanda wa maongezi uvuje uliokuwa unam mock Lissu
Sasa ni siku ya nne ndugu Lissu anashauriwa na wanafamilia na marafiki wasiokuwa wanasiasa ajiondoe kwenye mchujo wakiamini tayari umeingia dosari ila bwana mkubwa Lissu hajakubaliana nao bado akiamini bado ana nafasi
Kwa mujibu wa wanyetishaji kamanda anataka Mbowe ajitoe kwenye mchakato kwani anaamini Mbowe ananguvu sana hata hawezi kumshinda
Kufanya hivyo ndio anaweza kurudi nyumbani kushiriki kumpata mgombea wa CHADEMA
Anasema kama Mbowe hajajitoa kwenye mchakato atachukua maamuzi mengine nadhani hapa atachukua maamuzi ya familia
Kutokana na sintofahamu hii wazee wa chama wanaendelea na mashauriano
Tutaendelea kukuletea taarfa kama zinazojiri
[/QUOTE
Wewe Malaya wa Lumumba ,ya Chadema hayakusu
Huu mtihani mdogo unaweza kuyumbisha chama kuelekea Uchaguzi Mkuu
Mbona una ji comenti mwenyewe au unajishtukiaKwa ushauri tindi lissu asingemuogopa Mbowe angepambana naye tu anaweza kushinda
Kuna kila dalili huenda habari hii imepikwa, japo Mbowe kugombea Urais amefanya makosa makubwa kimkakati. Time will tell