Mkuu kwenye wanasiasa ongezea "wanasisa wa Tanzania" ndio maana hata wakionewa huwezi kuona wazungu wansema lolote maana wanajua ni "nyani wamezidiana ujanja"Wanasiasa wanafanya siasa kama ajira na njia ya ulaji, badala ya kufanya siasa za kuwasaidia wananchi.
Kwa sasa hatutakiwi tu-give - a - fuvk kuhusu hizi hamahama za wanasiasa bali tuwasubiri kunako sanduku la kura tuu.
Nadhani sauti iko vizuri.[emoji350][emoji344]
Unforgetable
Mbona ni kawaida tu kuungana na adui yako against common enemy?Duh, hapo umeuwa mkuu, "dola isimame na Chadema". Cku kijani itaungana na gwanda kuimaliza ACT kutakuwa na kupatwa kwa Lumumba.
Ameanza kupata akili. Hicho chama hawana nia ya kuongoza nchi bali ruzuku. Nadhani mabaharia mmenielewa.Ndugu zangu,
Bado ni tetesi lakini hapa JF ni muhimu huu mjadala ukawepo kwa afya ya siasa za nchi.Zitto Kabwe ndiye mwanasiasa pekee aliyemtembelea Tundu Lissu mara tano hospitalini,mara tatu Ubelgiji mara mbili Nairobi.Inasemekana ziara za Ubelgiji zaidi zilijawa na mazungumzo kuhusu hatma ya Lissu kisiasa kwa mazungumzo ya wiki mbili zilizopita kuna uwezekano mkubwa Tundu Lissu akajiunga na ACT Wazalendo ili kuendelea na shughuli za siasa.
Bado haijaeleweka kwanini Lissu anafikiri kuondoka Chadema hizi ndio siasa na mauzauza yake,huenda kuna alama za nyakati zimesomwa.
Zaidi ya hilo kijana Abdul Nondo ambaye miezi michache alitumika na Mbowe ili kufifisha nguvu za Zitto Kigoma sasa rasmi ACT Wazalendo ambapo wakati wowote atapewa majukumu ndani ya chama hicho baada ya kumaliza masomo yake UDSM.
Habari nyingi huanza kama tetesi hapa JF mwishowe hubainika kuwa ni za kweli.
Kama ni tetesi kwanini hukuiweka hivyo kwenye heading yako ? moderator wanakulea sana sijui kwanini ( nachunguza ) , kuhangaika na chadema kutakuponza vibaya sana !Ndugu zangu,
Bado ni tetesi lakini hapa JF ni muhimu huu mjadala ukawepo kwa afya ya siasa za nchi.Zitto Kabwe ndiye mwanasiasa pekee aliyemtembelea Tundu Lissu mara tano hospitalini,mara tatu Ubelgiji mara mbili Nairobi.Inasemekana ziara za Ubelgiji zaidi zilijawa na mazungumzo kuhusu hatma ya Lissu kisiasa kwa mazungumzo ya wiki mbili zilizopita kuna uwezekano mkubwa Tundu Lissu akajiunga na ACT Wazalendo ili kuendelea na shughuli za siasa.
Bado haijaeleweka kwanini Lissu anafikiri kuondoka Chadema hizi ndio siasa na mauzauza yake,huenda kuna alama za nyakati zimesomwa.
Zaidi ya hilo kijana Abdul Nondo ambaye miezi michache alitumika na Mbowe ili kufifisha nguvu za Zitto Kigoma sasa rasmi ACT Wazalendo ambapo wakati wowote atapewa majukumu ndani ya chama hicho baada ya kumaliza masomo yake UDSM.
Habari nyingi huanza kama tetesi hapa JF mwishowe hubainika kuwa ni za kweli.
Mbowe hamtaki ZittoTetesi zina mambo mawili kuwa za uongo au ukweli, ila nachokumbuka ni kuwa walikuwa na mazungumzo ya mipango ya muungano wa vyama na kutoa tofauti zao ila la kuhamia chama ACT hilo mmesema nyinyi ngoja tuwe na subira kuona maamuzi ya baadae
Jenga hoja kamanda matusi hasaidiiUkiwa kwenye siku zako huwa unapata tabu sana dawa yake ubebe mimba tu.
Hii inawezekana hasa baada ya twitter ya Zitto akisema kwamba yeye na Lissu walifarakanishwa na Dr Slaa ila kwa sasa watashirikiana katika siasa. Inaonekana kana kwamba CHADEMA wamemtosa Lissu hivyo anaamua kuungana na aliyekuwa “msaliti” wao enzi hizo. Wahenga hawakuacha neno hata moja; katika siasa hakuna urafiki ama uadui wa kudumu. Tusibiri tuone.Ndugu zangu,
Bado ni tetesi lakini hapa JF ni muhimu huu mjadala ukawepo kwa afya ya siasa za nchi.Zitto Kabwe ndiye mwanasiasa pekee aliyemtembelea Tundu Lissu mara tano hospitalini,mara tatu Ubelgiji mara mbili Nairobi.Inasemekana ziara za Ubelgiji zaidi zilijawa na mazungumzo kuhusu hatma ya Lissu kisiasa kwa mazungumzo ya wiki mbili zilizopita kuna uwezekano mkubwa Tundu Lissu akajiunga na ACT Wazalendo ili kuendelea na shughuli za siasa.
Bado haijaeleweka kwanini Lissu anafikiri kuondoka Chadema hizi ndio siasa na mauzauza yake,huenda kuna alama za nyakati zimesomwa.
Zaidi ya hilo kijana Abdul Nondo ambaye miezi michache alitumika na Mbowe ili kufifisha nguvu za Zitto Kigoma sasa rasmi ACT Wazalendo ambapo wakati wowote atapewa majukumu ndani ya chama hicho baada ya kumaliza masomo yake UDSM.
Habari nyingi huanza kama tetesi hapa JF mwishowe hubainika kuwa ni za kweli.
Wapuuzi mnapoungana kutoa propaganda za kishamba .endeleeni ila ...Mkuu Kaka Wakudadavua, kwanza naunga mkono hoja, ila duh...!. Kiukweli hii kali!.
Hata hivyo asante Kaka Wakudadavua, kutudadavulia hii, umetupakulia ikiwa ya moto moto, kwa jinsi unavyopata taarifa za ndani za vyama, nakuvulia kofia, Musiba atasubiri!, hongera unafanya kazi nzuri Kaka Wakudadavua. Asante tena. Na kiukweli nakukubali sana...basi tuu, kwa vile wewe ni Kaka, ungekuwa Dada, uvumilivu ungenishinda!.
P
Kamanda nakubaliana na weweHakuna la ajabu hapo maana hata Slaa yuko ccm na aliishia kwenda huko na mkewe. Hata Lissu anaweza kwenda popote na atapata support yetu iwapo tu ataongea lugha moja na sisi.
DahHawezi kuwa mgombea mwenza wake maana wote wanatokea bara. Mgombea mwenza anapaswa kutoka Znz. Vyovyote iwavyo, Zito ndio anafaa zaidi kugombea urais kwani anamudu uchumi, mambo ya kijamii na demokrasia ana siasa za wastani, shida yake haaminiki. Lisu pia anafaa lakini amejikita kwenye sheria zaidi kuliko uchumi na ana siasa za misimamo mikali. Lissu akiwa rais tunaweza kukutana na tatizo lililopo sasa hivi kuwa na rais anayesimamia jambo moja tu na kusahau maeneo mengine.
Chadema si mama yakeNimeona video ya Lissu ya TAREHE 07/09. Ni dhahiri Lissu atafia Chadema. Katoa video akiwa Ubelgiji, full uniform had Bendera, unajua Chadema imentendea mema kiasi gani! Zito naye kaongea kule tweeter kuhusu uhusiano wake na Lissu. Tuache kuvumisha vitu hivi, ili iweje labda unakoelekeza kudadavua. Kama ni kwenda kuona mgonjwa ni kigezo, kuna wale waliomuuguza kwa zaidi ya mwezi tuwaweke wapi
Kama P amekubaliana na hizi tetesi, sisi laymen wa siasa ni nani hata tupinge?Mkuu Kaka Wakudadavua, kwanza naunga mkono hoja, ila duh...!. Kiukweli hii kali!.
Hata hivyo asante Kaka Wakudadavua, kutudadavulia hii, umetupakulia ikiwa ya moto moto, kwa jinsi unavyopata taarifa za ndani za vyama, nakuvulia kofia, Musiba atasubiri!, hongera unafanya kazi nzuri Kaka Wakudadavua. Asante tena. Na kiukweli nakukubali sana...basi tuu, kwa vile wewe ni Kaka, ungekuwa Dada, uvumilivu ungenishinda!.
P
ndo nani huyu mkuu kwenye uwazir, hebu nami niibie siri.Rubbish, waziri mzima unaandika "mavi" kiwango hiki. Acha utoto wewe ni mtu "mkubwa", tunategemea hekima toka kwako siyo utumbo wa hivi!
nimependa hiyo jinsi ulivyowaelezea bila kupepesa jicho, sometimes huwa uko vzri sana, ila muda mwingine huwa mmmhhh! maono mazur sana ulioyo yatoa kuhusu hizi njemba mbili.Hawezi kuwa mgombea mwenza wake maana wote wanatokea bara. Mgombea mwenza anapaswa kutoka Znz. Vyovyote iwavyo, Zito ndio anafaa zaidi kugombea urais kwani anamudu uchumi, mambo ya kijamii na demokrasia ana siasa za wastani, shida yake haaminiki. Lisu pia anafaa lakini amejikita kwenye sheria zaidi kuliko uchumi na ana siasa za misimamo mikali. Lissu akiwa rais tunaweza kukutana na tatizo lililopo sasa hivi kuwa na rais anayesimamia jambo moja tu na kusahau maeneo mengine.
na mimi nakuongezea sema wa kiafrika kabisa kwani kule kenya hujawaona pia.Mkuu kwenye wanasiasa ongezea "wanasisa wa Tanzania" ndio maana hata wakionewa huwezi kuona wazungu wansema lolote maana wanajua ni "nyani wamezidiana ujanja"