Tetesi: Tundu Lissu kujiunga ACT Wazalendo, Abdul Nondo naye kuula!

Status
Not open for further replies.
Mmmmmmmm acha hizo Pascal. Sentensi yako ya mwisho hatareeeeeeeee.
Mkuu Kikiwo, besides everything else, we are all human, we have human needs, human strengths and weaknesses, sentence yangu ya mwisho ni moja ya weaknesses zangu.
P
 
Shida ni ukanda unaitesa CDM
 
Nashukuru mmeanza kuwaza vyema ,mnajifungua minyororo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pascal Mayalla , kuna ukweli ktk tetesi hizi? Kwa namna ulivyozipamba tetesi hizi na kumpa kongole mtoa tetesi ni dhahiri kwamba unaziamini.

Binafsi nakuamini sana Pascal Mayalla, hivyo naomba unisaidie na mm kuziamini tetesi hizi kwa kujibu swali langu kwa sauti kubwa.
 
Tetesi
Mimi nimemlamba wema sepetu.....

Stori huanza kama tetesi mwisho...
 
Ukweli ni kwamba lissu ataunga mkono juhudi za kuleta maendeleo atajiunga ccm acha kuota
 
Tetesi ndio kisingizio cha kutunga uongo na uzushi humu jf, Tundu Lissu hawezi kujiunga ACT kwa sababu ndani ya Chadema,
Lissu ni fahali, na ndani ya ACT Zitto ni fahali, mafahali wawili hawawezi kukaa zizi moja.

Kuunga kwangu mkono sio kukubali tetesi hizi bali ni kumkubali mtoa mada. Mimi namkubali sana Kaka Wakudadavua na ninaamini kila asemacho.
P
 
They are opportunity seekers
 
Ni kweli kabisa, tumejaribu hata kuvunja kidogo sheria za JF kwa kumtaatifu kuwa ID yake inatambulika ajitahidi kuwaandika ya maana lakini imeshindikana.
Nadhani huyu binti ana tatizo LA kimakuzi au anatabia kama za mdogo wake wa Geita Gold mine aliyeolewa na mwanamke mwenzie mwenye mshiko.
 
Wapo wanaoangaika na upotoshaji wa siasa za ndani ya TZ.wengine wanafikia hata kurubuni kwa kutumia umasikini uliyokithiri kuwachanganya vichwa lakini lengo lao ni kusambaratisha upinzani usiwepo hili au hata ukiwepo uwe flimsy.Watu wa aina hii ni shida
 
Katika Mambo ya kijinga Sana na Kama huu Uzi. Lissu anayokesi mahakamani ya kutetea ubunge wake. Na anafanya hivyo kwa gharama kubwa, pili Lissu anatambua namna chama kimepigania uhai wake Hadi tone la mwisho.


Nasema Lisu hajahama na hawezi CHADEMA labda afukuzwe.

Hii inaweza kuwa propaganda kuhalalisha kufukuzwa kwake bungeni. Tuwe makini
 
Sijui ni nani yule nilimwambia Paskali hana haja ya kusoma Class 101 of Sarcasm Writing!
Mimi niko simple, open, frank, straight, truthful na very transparent na very impartial, siegemei upande wowote, hili la kutoegemea upande, linawatatiza wengi wenye pande zao.
P
 
Chadema roho inawauma sana kuona Zitto anawazidi kete mtu waliyemuita msaliti.
 
Hahaha mkuu mbona roho inakuuma sana?
 
Mkuu hivi utajisikiaje kesho au kesho kutwa au wiki zijazo ukasikia Lisu yupo ACT? kwamba umesahau kabisa ya Lowasa? Hivi nyie watu wa chadema akili zenu mlikabidhi kwa mbowe jumla Jumla?

Kwanini huwa hamtafakari Lakin?
 
Haaaaa kwahiyo ni kaka mbeya kwa lugha ingine
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…