Tundu Lissu: Kukamatwa Mbowe ni juhudi ya watu kwenye vyombo vya dola

Tundu Lissu: Kukamatwa Mbowe ni juhudi ya watu kwenye vyombo vya dola

Francis12

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2016
Posts
7,533
Reaction score
22,281
Siku Moja kabla ya kumkamata Freeman Mbowe nilipigiwa simu na Ikulu Ila nilikuwa safarini, kesho yake Usiku ndiyo wakamkatama Mbowe

Tumefanya juhudi kubwa sana kujaribu na Mama Samia lakini amekuwa anakwepa kwepa mazungumzo kwa muda mrefu.

Kuna watu ndani ya Serikali ambao awataki kuwe na mazungumzo kati ya serikali na chadema , Mbowe amekamatwa siku moja baada ya Lissu kupata simu kutoka Ikulu kuandaa mazungumzo

Hii kukamatwa Mbowe ni juhudi ya watu kwenye vyombo vya dola

- Tundu Lissu via #MariaSpaces
 
-“Kuna watu ndani ya Serekali, siyo CCM - CCM died a while back. Kuna watu ndani ya system hawataki mama awe na discussion na CHADEMA. I am not saying this to exonerate her, it’s her choice” - @TunduALissu #MariaSpaces
 
🤣🤣
Lissu na propaganda za "KIPOPOMA" kweli ha ha ha

Siasa nyepesi sana....

Nani ana ushahidi kuwa alipigiwa simu na watu wa ikulu?!!!

Hayo yanaweza kuaminishwa na yeyote Yule....

#KaziIendelee
#SerikaliMbiliMilele
Hivi we taga unajipaga hata muda wa kuyafikili unayoyandikaga au unaropokaga tu bila kufikilia?
 
“Tuko kama Russia, Belarus na Venezuela - wanavyofanyia viongozi wa Upinzani nchini kwao. Mambo anayofanyiwa Freeman Mbowe ndo kama hao viongozi wa upinzani hizo nch, tuna tabia za nchi zinazofanya mambo ya ajabu”- @ThabitSenior via #MariaSpaces
 
🤣🤣
Lissu na propaganda za "KIPOPOMA" kweli ha ha ha

Siasa nyepesi sana....

Nani ana ushahidi kuwa alipigiwa simu na watu wa ikulu?!!!

Hayo yanaweza kuaminishwa na yeyote Yule....

#KaziIendelee
#SerikaliMbiliMilele

..Ikulu wanaweza kukanusha kuwa hawakumpigia simu.

..Ikulu ina msemaji wake hivyo haitakiwi kukaa kimya na kuchafuliwa na wanasiasa wa upinzani.

..Kwa upande mwingine hakuna ubaya Rais SSH kufanya mazungumzo na vyama vya upinzani.

..Kwenye nchi za wenzetu, haswa zilizoendelea, viongozi wa serikali hukutana mara kwa mara na viongozi wa vyama vya upinzani kama njia ya kubadilishana mawazo.

..Tanzania tunakosea sana kuchukulia siasa kana kwamba ni UADUI.
 
..Ikulu wanaweza kukanusha kuwa hawakumpigia simu.

..Ikulu ina msemaji wake hivyo haitakiwi kukaa kimya na kuchafuliwa na wanasiasa wa upinzani.

..Kwa upande mwingine hakuna ubaya Rais SSH kufanya mazungumzo na vyama vya upinzani.

..Kwenye nchi za wenzetu, haswa zilizoendelea, viongozi wa serikali hukutana mara kwa mara na viongozi wa vyama vya upinzani kama njia ya kubadilishana mawazo.

..Tanzania tunakosea sana kuchukulia siasa kana kwamba ni UADUI.
Tanzania hatufanyi siasa.
Viongozi wako kwenye miradi yao ya kupata utajiri wa bure kwa jasho la watanzania.
 
Tanzania hatufanyi siasa.
Viongozi wako kwenye miradi yao ya kupata utajiri wa bure kwa jasho la watanzania.

..hata Trump ambaye ni Republican pamoja na ukorofi wake wote bado alikuwa akikutana na viongozi wa chama cha Democrat.

..hata Rais Joe Biden amekutana na Republicans mara kadhaa ktk juhudi za kutafuta muafaka kuhusu miradi ya miundombinu Marekani.

..Wenzetu huwa hawafanyi mambo makubwa ya kitaifa bila kutafuta MARIDHIANO.
 
"Siku Moja kabla ya kumkamata Freeman Mbowe nilipigiwa simu na Ikulu Ila nilikuwa safarini, kesho yake Usiku ndiyo wakamkatama Mbowe

Tumefanya juhudi kubwa sana kujaribu na Mama Samia lakini amekuwa anakwepa kwepa mazungumzo kwa muda mrefu." @TunduALissu via #MariaSpaces
"Kuna watu ndani ya Serikali ambao awataki kuwe na mazungumzo kati ya serikali na chadema , Mbowe amekamatwa siku moja baada ya Lissu kupata simu kutoka Ikulu kuandaa mazungumzo

Hii kukamatwa Mbowe ni juhudi ya watu kwenye vyombo vya dola" Tundu Lissu via #MariaSpaces
Mama asipokuwa makini hicho kiti 2025 hafiki
 
Tanzania hatufanyi siasa.
Viongozi wako kwenye miradi yao ya kupata utajiri wa bure kwa jasho la watanzania.
Ni sahihi yaani hapa mtandao sisi ndio tunatokwa mapovu kuparuana lakini wenyewe wanakula maisha hawana Uvccm Vs Bavicha habari na watanzania
 
-“Kuna watu ndani ya Serekali, siyo CCM - CCM died a while back. Kuna watu ndani ya system hawataki mama awe na discussion na CHADEMA. I am not saying this to exonerate her, it’s her choice” - @TunduALissu #MariaSpaces
Kuna fumbo hapa kwamba si CCM tena inatawala!
Nguvu ya ccm imo kwenye amirijeshi mkuu tu kupitia vyombo vya dola.

Ni nani katika historia ya Tanganyika na Tanzania aliyewahi kujaribu kuwa juu ya amirijeshi mkuu akawa salama?

Ukifanikiwa kumchonganisha rais na vyombo vya dola umefanikiwa kuiua ccm... Ngoja tuone huu mtanange
FB_IMG_16275752921095231.jpg
 
Back
Top Bottom