Wakati marehemu Mwendazake aliposema tupige nyungu na maombi corona itatokomea - chanjo marufuku..ukashangilia...oyeeeee!!!🤣🤣
Lissu na propaganda za "KIPOPOMA" kweli ha ha ha
Siasa nyepesi sana.
Nani ana ushahidi kuwa alipigiwa simu na watu wa ikulu?
Hayo yanaweza kuaminishwa na yeyote Yule.
#KaziIendelee
#SerikaliMbiliMilele
Mwendazake corona ikampitia maskini ....tumeshamsahau..
Haya kaja Samia anasema chanjo muhimu na watu wafuate vigezo vyote vya WHO - wewe tena Oyeeeeee mazaaaa!!
Sasa POPOMA ni nani hapo.