Tundu Lissu: Kukamatwa Mbowe ni juhudi ya watu kwenye vyombo vya dola

Tundu Lissu: Kukamatwa Mbowe ni juhudi ya watu kwenye vyombo vya dola

🤣🤣
Lissu na propaganda za "KIPOPOMA" kweli ha ha ha

Siasa nyepesi sana.

Nani ana ushahidi kuwa alipigiwa simu na watu wa ikulu?

Hayo yanaweza kuaminishwa na yeyote Yule.

#KaziIendelee
#SerikaliMbiliMilele

Lissu siyo size yako mjomba. Mengine huwa twapita kimya kimya hasa kama maji ni marefu.

Au nasema uongo ndugu yangu?
 
inamaana mwenye mamlaka anashindwa kufanya mazungumzo kwakuwa kikundi flani hakitaki..? mkuu kauli zingine hazihitaji upeo mkubwa kutambua kama ina uhalisia au lah



#OwnYourThrone
Sasa kama tuna Rais wa hivyo wa kazi gani? tusitafute mchawi na huruma ambazo hazina maana, mhusika ni serikali chini ya Samia .
 
Kwani Chadema ni chama rasmi cha upinzani?Sio lazima Rais akutane na kila kikundi
..hata Trump ambaye ni Republican pamoja na ukorofi wake wote bado alikuwa akikutana na viongozi wa chama cha Democrat.

..hata Rais Joe Biden amekutana na Republicans mara kadhaa ktk juhudi za kutafuta muafaka kuhusu miradi ya miundombinu Marekani.

..Wenzetu huwa hawafanyi mambo makubwa ya kitaifa bila kutafuta MARIDHIANO.
 
..Ikulu wanaweza kukanusha kuwa hawakumpigia simu.

..Ikulu ina msemaji wake hivyo haitakiwi kukaa kimya na kuchafuliwa na wanasiasa wa upinzani.

..Kwa upande mwingine hakuna ubaya Rais SSH kufanya mazungumzo na vyama vya upinzani.

..Kwenye nchi za wenzetu, haswa zilizoendelea, viongozi wa serikali hukutana mara kwa mara na viongozi wa vyama vya upinzani kama njia ya kubadilishana mawazo.

..Tanzania tunakosea sana kuchukulia siasa kana kwamba ni UADUI.
Huku njaaaaaaaa kaliiiiiii
 
"Siku Moja kabla ya kumkamata Freeman Mbowe nilipigiwa simu na Ikulu Ila nilikuwa safarini, kesho yake Usiku ndiyo wakamkatama Mbowe

Tumefanya juhudi kubwa sana kujaribu na Mama Samia lakini amekuwa anakwepa kwepa mazungumzo kwa muda mrefu." @TunduALissu via #MariaSpaces
"Kuna watu ndani ya Serikali ambao awataki kuwe na mazungumzo kati ya serikali na chadema , Mbowe amekamatwa siku moja baada ya Lissu kupata simu kutoka Ikulu kuandaa mazungumzo

Hii kukamatwa Mbowe ni juhudi ya watu kwenye vyombo vya dola" Tundu Lissu via #MariaSpaces
Pumbavu hawa serikali iwe na mazungumzo na chadema ya kazi gani. Hawa vibaraka wamekua indocrinated na mabeberu to such extent wanajiona kama wao ni anc na serikali ya ccm ni makaburu. Yaani kitu kinastaajabisha. Watanzania tunahitaji kuwatupa lupango vibaraka na kuendelea na mipango yetu ya maendeleo yetu kiuchumi.
-“Kuna watu ndani ya Serekali, siyo CCM - CCM died a while back. Kuna watu ndani ya system hawataki mama awe na discussion na CHADEMA. I am not saying this to exonerate her, it’s her choice” - @TunduALissu #MariaSpaces
Wajinga kweli. Awe na mazungumzo na chadema kukubali ushoga?
 
Lissu siyo size yako mjomba. Mengine huwa twapita kimya kimya pale kama maji ni marefu.

Au nasema uongo ndugu yangu?
Hilo junya linajifanya linaijua sana CCM,kumbe njaa tu na kale kamchezo kachafu ndiyo vinamsumbua.
 
Lissu siyo size yako mjomba. Mengine huwa twapita kimya kimya pale kama maji ni marefu.

Au nasema uongo ndugu yangu?
Hilo liko wazi mkuu.....

Ila haliondoi naye kukosolewa Kama anavyowakosoa wa chini yake na waliomzidi maarifa,uwezo,vyeo na umaarufu.....!!

#UtiiWaUtawalaWaSheriaNiLazima
#KaziIendelee
 
[emoji1787][emoji1787]
Lissu na propaganda za "KIPOPOMA" kweli ha ha ha

Siasa nyepesi sana.

Nani ana ushahidi kuwa alipigiwa simu na watu wa ikulu?

Hayo yanaweza kuaminishwa na yeyote Yule.

#KaziIendelee
#SerikaliMbiliMilele
Hata magufuli alipokaza kuumwa alikuwa mtu wa kwaza kujua na alipigiwa sm na watu wa ikulu haohao
 
Vyovyote vile ilivyo kama hakutakuwa na ushahidi wa kutosha kuthibitisha ugaidi wa Mbowe basi Rais Samia ataingia kwenye aibu mbele ya jamii za kimataifa.

Itamuachia madoa, hata watanzania wanaopenda haki hawatofurahishwa na hili, mimi ni miongoni mwao, ni mapema bado tuache mahakama ifanye kazi yake.
Kwani kila shtaka linalopelekwa mahakamani na likatolewa hukumu husababisha AIBU kwa mshtaki?!!!!

Maamuzi ya mahakama hupokelewa KIUHALISIA TU.....

Na ndio maana wasioridhika hukata RUFAA......

#UtawalaWaSheriaNiLazimaKuutii
 
Kikubwa haki itendeke iwapo utafanyika udhalimu , hila, chuki n.k. Basi Mwenyezi Mungu tunamsihi aingilie kati.

Mungu anajua sana kuwawezea wanaojifanya miamba iwe kwa kutegemea vitutu, n.k

Tumuogope Mungu sana kwa kutendeana yaliyo ya haki.
 
Hilo liko wazi mkuu.....

Ila haliondoi naye kukosolewa Kama anavyowakosoa wa chini yake na waliomzidi maarifa,uwezo,vyeo na umaarufu.....!!

#UtiiWaUtawalaWaSheriaNiLazima
#KaziIendelee

Asante mkuu kwa kulitambua hilo.


Tuendelee kuwatolea wito wote kuyalinda maslahi yetu bila kujali vyama.

Maisha yetu kwanza.
 
Kwani kila shtaka linalopelekwa mahakamani na likatolewa hukumu husababisha AIBU kwa mshtaki?!!!!

Maamuzi ya mahakama hupokelewa KIUHALISIA TU.....

Na ndio maana wasioridhika hukata RUFAA......

#UtawalaWaSheriaNiLazimaKuutii

Utawala wa sheria zipi unaotenda au uliotenda haki baina ya ule wa enzi za jiwe na huu wa sasa?

Kama ule haukuwa ukitenda haki ni kwa nini huu uwe ndiyo unaotenda haki?

Kama ule ulikuwa hautendi haki, kwa nini huu nao usiwe kama ule ule?
 
inamaana mwenye mamlaka anashindwa kufanya mazungumzo kwakuwa kikundi flani hakitaki..? mkuu kauli zingine hazihitaji upeo mkubwa kutambua kama ina uhalisia au lah



#OwnYourThrone

Mama na wanyoa viduku kwenye ubora wao:

IMG_20210704_051559_619.jpg
 
Utawala wa sheria zipi unaotenda au uliotenda haki baina ya ule wa enzi za jiwe na huu wa sasa?

Kama ule haukuwa ukitenda haki ni kwa nini huu uwe ndiyo unaotenda haki?

Kama ule ulikuwa hautendi haki, kwa nini huu nao usiwe kama ule ule?
Awamu ya 6 ilianza kuziondoa changamoto kadhaa ambazo zimekuwa zikipigiwa makelele,mathalani :

√Task force za kukusanya Kodi kwa nguvu....hapa Rais msikivu mh.SSH alisema "watumie akili zaidi ya kutumia tu maguvu".

✓Wanasiasa UNTOUCHABLES tumewaona wakivuliwa vyeo na kukutana na kesi zao mahakamani.....Hili ulishawahi kuliona huko nyuma?!!

✓Mh.SSH kuamua kuwaajiri vijana waliokaa mitaani toka 2012.....hapa pakatokea UHARAKA NA UHITAJI WA FEDHA za kuwalipa posho na kuingiziwa PAYROLL ZAO(likabuniwa wazo la "TOZO" pamoja na kuwa MALENGO YA TOZO ZA MIAMALA YA SIMU ziko bayana na zimebainishwa)

Mama amesema tumpe muda....ninyi TIMING YENU HAIKUWA SAHIHI....
 
Sasa kama tuna Rais wa hivyo wa kazi gani? tusitafute mchawi na huruma ambazo hazina maana, mhusika ni serikali chini ya Samia .

Ni dhahiri kuwa tuko hapa:

IMG_20210704_051559_619.jpg


Mama katikati ya watoto wapendwa na yatima ambao pia ni watoto wa kambo.

Ufumbuzi hauwezi kuletwa na mama wa kambo wala watoto wapendwa, wala kujiuliza mama ni wa kazi gani hapo:


Kinachobakia ni watoto yatima wenyewe kujifunga vibwewe kuzidai haki zao, kwa nguvu kama itakuwa lazima kufanya hivyo.

Hata hivyo wito huu:


Tunapoelekea hakika za majeruhi ni muhimu ukazingatiwa kwa upande zote tatu.
 
-“Kuna watu ndani ya Serekali, siyo CCM - CCM died a while back. Kuna watu ndani ya system hawataki mama awe na discussion na CHADEMA. I am not saying this to exonerate her, it’s her choice” - @TunduALissu #MariaSpaces
Huyu mama alipokuwa makamu aliburuzwa na sasa ni Rais pia anaburuzwa ! aliyatakia nini madaraka huyu , au ndio maana Sukuma gang hawakutaka awe kiongozi ?
 
Ni yeye....

Yeye Rais Msikivu mh.SSH aliyesema haya:

✓Kesi zisizokuwa na msingi ziharakishwe mchakato wake....

Hapa tukaona yafuatayo:

1)Uamsho nje....

Ni baada ya miaka takribani 9 toka walipokamatwa wakati wa utawala wa awamu ya 4...awamu ya 5 ikapita.....

2)Mh.Mbowe kushinda shauri lake na kurudishiwa milioni 300 za "michango".........

3)Kabendera nje......

4)Mdude Nyagali nje....(alipotoka tu akamnyooshea mh.SSH kidole cha hasama )kwa kutuambia sisi vijana tumuambie mama yetu hamuogopi na ATAMNYOA KWA KUTUMIA WEMBE ULEULE aliomnyolea HAYATI JPM...hapa panatafakarisha mno....utasema ni siasa tu 🤣🤣


Cha kushangaza wala HAKUKATIZWA NA KUKEMEWA na MEZA KUU akiwemo mwenyekiti mh.Mbowe......

Timing yenu haikuwa nzuri....

#KatibaMpyaSiHitajiLaWatanzaniaWote
 
Back
Top Bottom