Tundu Lissu: Kukamatwa Mbowe ni juhudi ya watu kwenye vyombo vya dola

Tundu Lissu: Kukamatwa Mbowe ni juhudi ya watu kwenye vyombo vya dola

Urais wa Tanzania una hang sana. Cc Jpm. Yuko wapi?
Kuna fumbo hapa kwamba si CCM tena inatawala!
Nguvu ya ccm imo kwenye amirijeshi mkuu tu kupitia vyombo vya dola.

Ni nani katika historia ya Tanganyika na Tanzania aliyewahi kujaribu kuwa juu ya amirijeshi mkuu akawa salama?

Ukifanikiwa kumchonganisha rais na vyombo vya dola umefanikiwa kuiua ccm... Ngoja tuone huu mtanange
View attachment 1875763
 
"Siku Moja kabla ya kumkamata Freeman Mbowe nilipigiwa simu na Ikulu Ila nilikuwa safarini, kesho yake Usiku ndiyo wakamkatama Mbowe

Tumefanya juhudi kubwa sana kujaribu na Mama Samia lakini amekuwa anakwepa kwepa mazungumzo kwa muda mrefu." @TunduALissu via #MariaSpaces
"Kuna watu ndani ya Serikali ambao awataki kuwe na mazungumzo kati ya serikali na chadema , Mbowe amekamatwa siku moja baada ya Lissu kupata simu kutoka Ikulu kuandaa mazungumzo

Hii kukamatwa Mbowe ni juhudi ya watu kwenye vyombo vya dola" Tundu Lissu via #MariaSpaces
Pumbavu hawa serikali iwe na mazungumzo na chadema ya kazi gani. Hawa vibaraka wamekua indocrinated na mabeberu to such extent wanajiona kama wao ni anc na serikali ya ccm ni makaburu. Yaani kitu kinastaajabisha. Watanzania tunahitaji kuwatupa lupango vibaraka na kuendelea na mipango yetu ya maendeleo kiuchumi.
 
inamaana mwenye mamlaka anashindwa kufanya mazungumzo kwakuwa kikundi flani hakitaki..? mkuu kauli zingine hazihitaji upeo mkubwa kutambua kama ina uhalisia au lah



#OwnYourThrone
 
..hata Trump ambaye ni Republican pamoja na ukorofi wake wote bado alikuwa akikutana na viongozi wa chama cha Democrat.

..hata Rais Joe Biden amekutana na Republicans mara kadhaa ktk juhudi za kutafuta muafaka kuhusu miradi ya miundombinu Marekani.

..Wenzetu huwa hawafanyi mambo makubwa ya kitaifa bila kutafuta MARIDHIANO.
Mkuu unatafuta maridhiano pale ambapo unafanya kazi ya kuwatumikia watu lakini kama cheo ni mradi wako wa kukusanyia utajiri utaridhiana vipi?

Wewe unaweza kuridhia kugawa biashara yako kwa mtu mwingine ?

Imagine waziri wa fedha mwenye kampuni ya betting kapunguza kodi ya 10 kwenye betting ili anufaike binafsi na punguzo hilo! Mtu kama huyu anaweza kuridhiana na nani ? Kivipi ?
 
“Tuko kama Russia, Belarus na Venezuela - wanavyofanyia viongozi wa Upinzani nchini kwao. Mambo anayofanyiwa Freeman Mbowe ndo kama hao viongozi wa upinzani hizo nch, tuna tabia za nchi zinazofanya mambo ya ajabu”- @ThabitSenior via #MariaSpaces
Na ww umeingia box.....
hapa kilichokwepwa ni mjadala wa tozo...
 
"Siku Moja kabla ya kumkamata Freeman Mbowe nilipigiwa simu na Ikulu Ila nilikuwa safarini, kesho yake Usiku ndiyo wakamkatama Mbowe

Tumefanya juhudi kubwa sana kujaribu na Mama Samia lakini amekuwa anakwepa kwepa mazungumzo kwa muda mrefu." @TunduALissu via #MariaSpaces
"Kuna watu ndani ya Serikali ambao awataki kuwe na mazungumzo kati ya serikali na chadema , Mbowe amekamatwa siku moja baada ya Lissu kupata simu kutoka Ikulu kuandaa mazungumzo

Hii kukamatwa Mbowe ni juhudi ya watu kwenye vyombo vya dola" Tundu Lissu via #MariaSpaces

Wanataka devide and rule. Hakuna mazungumzo hapo.


Head on ndiyo iliyo njia pekee.
 
..hata Trump ambaye ni Republican pamoja na ukorofi wake wote bado alikuwa akikutana na viongozi wa chama cha Democrat.

..hata Rais Joe Biden amekutana na Republicans mara kadhaa ktk juhudi za kutafuta muafaka kuhusu miradi ya miundombinu Marekani.

..Wenzetu huwa hawafanyi mambo makubwa ya kitaifa bila kutafuta MARIDHIANO.
Tambua kuwa hata aina ya upinzan ulioko huko ni tofauti pia. Kwanza, uchaguzi ukimalizka serikali huachwa ifanye kazi na upinzani huonekana bungeni ambako matamko na maamuzi yao huwa na nguvu kisheria na sio mtaani kufanya matamko makongamano na vitisho vya maandamano..
Aidha kuwa na maridhiano na makubaliano ni matokeo ya kuwa na viti vya kutosha kuzuia agenda ya serikali bungeni... kule kwa wenzetu, sio ajabu kukuta chama hiki kina rais na kile kin kina spika na kudhhbiti bunge kwa kuwa na majority. Sasa wewe una mbunge mmoja kati ya mia nne halafu unataka ushawishiwe kweli?? Sana sana ataita CAUCUS ya chama chake baas..!
 
Hii kukamatwa Mbowe ni juhudi ya watu kwenye vyombo vya dola" Tundu Lissu via #MariaSpaces
Hivyo vyombo seriklini viko chini ya Samia, akitoa amri wanaufyata. Hivyo hayaya Mbowe et al, ni machukizo toka kwa Samia per se. Naanza kuona mashaka ya Sabaya kama haitakuwa gheresha ya Samia kwa lengo la kuonesha neutrality ! BAK
 
[emoji1787][emoji1787]
Lissu na propaganda za "KIPOPOMA" kweli ha ha ha

Siasa nyepesi sana....

Nani ana ushahidi kuwa alipigiwa simu na watu wa ikulu?!!!

Hayo yanaweza kuaminishwa na yeyote Yule....

#KaziIendelee
#SerikaliMbiliMilele

Wewe unaushahidi kuwa hakupigiwa hiyo simu?
 
[emoji1787][emoji1787]
Lissu na propaganda za "KIPOPOMA" kweli ha ha ha

Siasa nyepesi sana....

Nani ana ushahidi kuwa alipigiwa simu na watu wa ikulu?!!!

Hayo yanaweza kuaminishwa na yeyote Yule....

#KaziIendelee
#SerikaliMbiliMilele
Jumbe

Mkeo kashajifungua tayar au bado
 
[emoji1787][emoji1787]
Lissu na propaganda za "KIPOPOMA" kweli ha ha ha

Siasa nyepesi sana....

Nani ana ushahidi kuwa alipigiwa simu na watu wa ikulu?!!!

Hayo yanaweza kuaminishwa na yeyote Yule....

#KaziIendelee
#SerikaliMbiliMilele
Vyovyote vile ilivyo kama hakutakuwa na ushahidi wa kutosha kuthibitisha ugaidi wa Mbowe basi Rais Samia ataingia kwenye aibu mbele ya jamii za kimataifa.

Itamuachia madoa, hata watanzania wanaopenda haki hawatofurahishwa na hili, mimi ni miongoni mwao, ni mapema bado tuache mahakama ifanye kazi yake.
 
Siku Moja kabla ya kumkamata Freeman Mbowe nilipigiwa simu na Ikulu Ila nilikuwa safarini, kesho yake Usiku ndiyo wakamkatama Mbowe

Tumefanya juhudi kubwa sana kujaribu na Mama Samia lakini amekuwa anakwepa kwepa mazungumzo kwa muda mrefu.

Kuna watu ndani ya Serikali ambao awataki kuwe na mazungumzo kati ya serikali na chadema , Mbowe amekamatwa siku moja baada ya Lissu kupata simu kutoka Ikulu kuandaa mazungumzo

Hii kukamatwa Mbowe ni juhudi ya watu kwenye vyombo vya dola

- Tundu Lissu via #MariaSpaces
Tundu Lissu anaweza kuwa ana akili za uchambuzi wa Sheria, lakini hana busara. Kama anaweka wazi mawasiliano yake na Ikulu namna hii asitegemee kuja kupata suluhisho la matakwa yake. Nimemdharau kwa kuwa ana deal na Ikulu kama anavyo deal na BAVICHA
 
Uhai wa ccm kwa sasa hauko mikononi mwa wananchi tena uko mikononi mwa vijana wa Sirro
u named it. Sirro na Diwani plus few of Mabeyo. Siku hawa wakihitilafiana nchi itakuwa ya moto
 
Tundu Lissu anaweza kuwa ana akili za uchambuzi wa Sheria, lakini hana busara. Kama anaweka wazi mawasiliano yake na Ikulu namna hii asitegemee kuja kupata suluhisho la matakwa yake. Nimemdharau kwa kuwa ana deal na Ikulu kama anavyo deal na BAVICHA
Ulishawahi kumheshimu kwani? Lini na wapi?
 
Back
Top Bottom