Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Kwa hiyo kila wasemacho akina Maria Tsehai et Al ni cha KWELI ?!!Huyu mama alipokuwa makamu aliburuzwa na sasa ni Rais pia anaburuzwa ! aliyatakia nini madaraka huyu , au ndio maana Sukuma gang hawakutaka awe kiongozi ?
upo ushahidi wazi wa kuburuzwaKwa hiyo kila wasemacho akina Maria Tsehai et Al ni cha KWELI ?!!
Nani wa kumburuza mh.Rais SSH?!!
Yupi huyo ?!!!
Mh.Rais ana washauri wa kisiasa....wanapomueleza jambo HAWAMLAZIMISHI...kwa hiyo akiamua kufuata USHAURI WAO kwa muktadha mpana wa maslahi ya nchi ndiyo KUWAOGOPA?!! Ndio KUBURUZWA?!! Khaa 🤣🤣
Awamu ya 6 ilianza kuziondoa changamoto kadhaa ambazo zimekuwa zikipigiwa makelele,mathalani :
√Task force za kukusanya Kodi kwa nguvu....hapa Rais msikivu mh.SSH alisema "watumie akili zaidi ya kutumia tu maguvu".
✓Wanasiasa UNTOUCHABLES tumewaona wakivuliwa vyeo na kukutana na kesi zao mahakamani.....Hili ulishawahi kuliona huko nyuma?!!
✓Mh.SSH kuamua kuwaajiri vijana waliokaa mitaani toka 2012.....hapa pakatokea UHARAKA NA UHITAJI WA FEDHA za kuwalipa posho na kuingiziwa PAYROLL ZAO(likabuniwa wazo la "TOZO" pamoja na kuwa MALENGO YA TOZO ZA MIAMALA YA SIMU ziko bayana na zimebainishwa)
Mama amesema tumpe muda....ninyi TIMING YENU HAIKUWA SAHIHI....
Sawa mkuu..upo ushahidi wazi wa kuburuzwa
Busara ya namna gani kwa mtu aliyeponea tundu la sindano kuawa ikulu hiyo hiyo ikiwepo na haikumsaidia?Tundu Lissu anaweza kuwa ana akili za uchambuzi wa Sheria, lakini hana busara. Kama anaweka wazi mawasiliano yake na Ikulu namna hii asitegemee kuja kupata suluhisho la matakwa yake. Nimemdharau kwa kuwa ana deal na Ikulu kama anavyo deal na BAVICHA
KaribuItafika kipindi tuachane na hii kitu uoga tukamdai mwenyekiti wetu hata kwa mijeredi potelea mbali uvumilivu ufikie mwisho
Tatizo la Lissu huwa anapenda sana kusema kuna watu ndani ya CCM wanampa taarifa, ila ukifuatilia taarifa zake unakuta ni hekaya zile zile kama za Kigogo.-“Kuna watu ndani ya Serekali, siyo CCM - CCM died a while back. Kuna watu ndani ya system hawataki mama awe na discussion na CHADEMA. I am not saying this to exonerate her, it’s her choice” - @TunduALissu #MariaSpaces
JokaKuu umebahatika kusikiliza mazungumzo ya Lissu akielezea hili jambo. Nilisikiliza ila kwa maoni yangu, Lissu angeweza kuwa more positive. Kwa nini? Anasema alipigiwa simu na msaidizi wa rais kuwa rais anataka kuzungumza naye kwa njia ya simu. Lissu akajibu kuwa hayuko kwenye sehemu nzuri, yuko Ujerumani kwenye mkutano, na jioni anatarajia kurudi Ubelgiji, hivyo siku ile asingeweza kuzungumza naye. Akamshauri apige kesho yake. Kesho yake hakupiga na siku iliyofuata Mbowe akakamatwa!..Ikulu wanaweza kukanusha kuwa hawakumpigia simu.
..Ikulu ina msemaji wake hivyo haitakiwi kukaa kimya na kuchafuliwa na wanasiasa wa upinzani.
..Kwa upande mwingine hakuna ubaya Rais SSH kufanya mazungumzo na vyama vya upinzani.
..Kwenye nchi za wenzetu, haswa zilizoendelea, viongozi wa serikali hukutana mara kwa mara na viongozi wa vyama vya upinzani kama njia ya kubadilishana mawazo.
..Tanzania tunakosea sana kuchukulia siasa kana kwamba ni UADUI.
Ni bahati mbaya sana naandika kwa mtu ambaye hajui kitu kuhusu RAIS wa TanzaniaSawa mkuu..
Ni ushahidi "mnaoutengeneza" vichwani mwenu....
Na ni bahati mbaya sana anayeandika hayo ni mtu mwenye "OBSSESSIVE COMPULSIVE" dhidi ya CCM na utawala wake.....Ni bahati mbaya sana naandika kwa mtu ambaye hajui kitu kuhusu RAIS wa Tanzania
-“Kuna watu ndani ya Serekali, siyo CCM - CCM died a while back. Kuna watu ndani ya system hawataki mama awe na discussion na CHADEMA. I am not saying this to exonerate her, it’s her choice” - @TunduALissu #MariaSpace
Hujui kituTatizo la Lissu huwa anapenda sana kusema kuna watu ndani ya CCM wanampa taarifa, ila ukifuatilia taarifa zake unakuta ni hekaya zile zile kama za Kigogo.
Tangu aseme yule bodi gadi mweusi wa Magu kafa kwa COVID nikajua tu huyu taarifa zake ni porojo.
Huyu mama alipokuwa makamu aliburuzwa na sasa ni Rais pia anaburuzwa ! aliyatakia nini madaraka huyu , au ndio maana Sukuma gang hawakutaka awe kiongozi ?
Huyu mama alipokuwa makamu aliburuzwa na sasa ni Rais pia anaburuzwa ! aliyatakia nini madaraka huyu , au ndio maana Sukuma gang hawakutaka awe kiongozi ?
Baada ya kufanya unyama mwingi kwa Mbowe na kwa CHADEMA, halafu wanamwona JEMEDARI ndio anazidi kuwa imara, ni wazi kuwa MAJAMBAZI yamezidi kukosa amani...Ikulu wanaweza kukanusha kuwa hawakumpigia simu.
..Ikulu ina msemaji wake hivyo haitakiwi kukaa kimya na kuchafuliwa na wanasiasa wa upinzani.
..Kwa upande mwingine hakuna ubaya Rais SSH kufanya mazungumzo na vyama vya upinzani.
..Kwenye nchi za wenzetu, haswa zilizoendelea, viongozi wa serikali hukutana mara kwa mara na viongozi wa vyama vya upinzani kama njia ya kubadilishana mawazo.
..Tanzania tunakosea sana kuchukulia siasa kana kwamba ni UADUI.
Pole siku ukija kupata uelewa kuwa uelewa wako unatia shaka, utakuwa ushachelewa. Anza sasa kujipa mazoezi ya kufikiri upate akili.Tundu Lissu anapenda sana cheap publicity, eti nilipigiwa simu toka Ikulu.. Na Machadema yanaamini tu, this guy is sick, mental hysteria is at its peak.
Ikulu imtafute Lissu? Hivi watanzania mmekuwa wajinga kiasi gani hadi mnaamini huu uongo. For what? Why? How?
100% the biggest liar
JokaKuu umebahatika kusikiliza mazungumzo ya Lissu akielezea hili jambo. Nilisikiliza ila kwa maoni yangu, Lissu angeweza kuwa more positive. Kwa nini? Anasema alipigiwa simu na msaidizi wa rais kuwa rais anataka kuzungumza naye kwa njia ya simu. Lissu akajibu kuwa hayuko kwenye sehemu nzuri, yuko Ujerumani kwenye mkutano, na jioni anatarajia kurudi Ubelgiji, hivyo siku ile asingeweza kuzungumza naye. Akamshauri apige kesho yake. Kesho yake hakupiga na siku iliyofuata Mbowe akakamatwa!
Kama una muda sikiliza hii clip yote..Sijasikiliza alichokisema Tundu Lissu.
..Njia nzuri ingekuwa kuweka miadi kuwa siku fulani, na saa fulani, tutakupigia simu toka Ikulu.
..Hiyo inatoa nafasi kwa kila upande kujiweka sawa na hata mazungumzo yanakuwa mafupi na yenye tija.
..Lingine siyo lazima kuzungumza na Rais SSH kwa wakati huu. Wangeweza kuzungumza na wasaidizi wake, au kuzungumza kupitia mtu / kiongozi / mstaafu anayeaminiwa na pande zote.
..Hiyo itasaidia kwamba wakija kuongea au kukutana wanakuwa wameshamaliza tofauti kubwa-kubwa walizokuwa nazo.