Wakati marehemu Mwendazake aliposema tupige nyungu na maombi corona itatokomea - chanjo marufuku..ukashangilia...oyeeeee!!!🤣🤣
Lissu na propaganda za "KIPOPOMA" kweli ha ha ha
Siasa nyepesi sana.
Nani ana ushahidi kuwa alipigiwa simu na watu wa ikulu?
Hayo yanaweza kuaminishwa na yeyote Yule.
#KaziIendelee
#SerikaliMbiliMilele
Kama una muda sikiliza hii clip yote
Ngoja tuone kama ubazazi una tija!!Busara ya namna gani kwa mtu aliyeponea tundu la sindano kuawa ikulu hiyo hiyo ikiwepo na haikumsaidia?
Na zaidi sana tuhuma zikielekezwa huko huko?
Pili, mwenyekiti na mshirika wake katika mapambano amekamatwa na kufunguliwa mashtaka yenye utata.
Kwa mtu wa hali hiyo ni lazima atumie mbinu zote kupiga kelele.
Tunategemea busara za kondoo tu ndizo zitaelekeza kuwa na subra katika hali kama hiyo.
Hawa akina CDM, Mbowe na Lissu hawana hekima kabisa. Tuliwaunga mkono wakati wa udhalimu wa Mwendazake. Ila kwa madharau waliyoyaonyesha kwa Rais SSH HATUWAUNGI mkono kabisa.Ni yeye....
Yeye Rais Msikivu mh.SSH aliyesema haya:
✓Kesi zisizokuwa na msingi ziharakishwe mchakato wake....
Hapa tukaona yafuatayo:
1)Uamsho nje....
Ni baada ya miaka takribani 9 toka walipokamatwa wakati wa utawala wa awamu ya 4...awamu ya 5 ikapita.....
2)Mh.Mbowe kushinda shauri lake na kurudishiwa milioni 300 za "michango".........
3)Kabendera nje......
4)Mdude Nyagali nje....(alipotoka tu akamnyooshea mh.SSH kidole cha hasama )kwa kutuambia sisi vijana tumuambie mama yetu hamuogopi na ATAMNYOA KWA KUTUMIA WEMBE ULEULE aliomnyolea HAYATI JPM...hapa panatafakarisha mno....utasema ni siasa tu 🤣🤣
Cha kushangaza wala HAKUKATIZWA NA KUKEMEWA na MEZA KUU akiwemo mwenyekiti mh.Mbowe......
Timing yenu haikuwa nzuri....
#KatibaMpyaSiHitajiLaWatanzaniaWote
Hakika mkuu....Hawa akina CDM, Mbowe na Lissu hawana hekima kabisa. Tuliwaunga mkono wakati wa udhalimu wa Mwendazake. Ila kwa madharau waliyoyaonyesha kwa Rais SSH HATUWAUNGI mkono kabisa.
Na hata miaka 100 ijayo kama CDM haitabadili strategy yake kisiasa hawatakuja kupata uongozi wa nchi hii
[emoji1787][emoji1787]
Lissu na propaganda za "KIPOPOMA" kweli ha ha ha
Siasa nyepesi sana.
Nani ana ushahidi kuwa alipigiwa simu na watu wa ikulu?
Hayo yanaweza kuaminishwa na yeyote Yule.
#KaziIendelee
#SerikaliMbiliMilele
Ikulu ndo wanaushahidi. Ukiona wapo kimya uje walimpigia. Lkn pi popoma Kama wewe usijifananishe na lissu. Serikali inajua Kuna mtu anaitwa lisu yupo nje ya Nchi. Wewe je wanajua hata unaishi wapi?🤣🤣
Lissu na propaganda za "KIPOPOMA" kweli ha ha ha
Siasa nyepesi sana.
Nani ana ushahidi kuwa alipigiwa simu na watu wa ikulu?
Hayo yanaweza kuaminishwa na yeyote Yule.
#KaziIendelee
#SerikaliMbiliMilele
-“Kuna watu ndani ya Serekali, siyo CCM - CCM died a while back. Kuna watu ndani ya system hawataki mama awe na discussion na CHADEMA. I am not saying this to exonerate her, it’s her choice” - @TunduALissu #MariaSpaces
Mama asipokuwa makini hicho kiti 2025 hafiki
A wordIkulu ndo wanaushahidi. Ukiona wapo kimya uje walimpigia. Lkn pi popoma Kama wewe usijifananishe na lissu. Serikali inajua Kuna mtu anaitwa lisu yupo nje ya Nchi. Wewe je wanajua hata unaishi wapi?