Tundu Lissu: Kuna mtu anadanganywa kuwa anaweza tangaza Hali ya Hatari na kuongoza nchi kijeshi bila ridhaa ya Bunge

Utaratibu tarehe inayofikisha miaka mitano kamili ikifika bila uchaguzi inakuwa na maana kuwa muda wa rais aliye madarakani unafikia mwisho ....hivyo nchi inaweza kuangukia mikononi kwa JAJI MKUU [literally JESHI Linakua limechukua madaraka ] hadi pale uchaguzi mkuu utakapoitishwa
 
Huyu nae anaanza kuchosha na kelele zake mitandaoni. Si afunge safari aje front line apambane na Jiwe! Kila siku ni kutuletea vifungu vya sheria utasema alitusomesha yeye.. Lissu acha harakati mitandaoni tua bongoland ukinukishe hiki unachokifanya hata watoto wa sekondari tukiwapa smartphone na bundle wanaweza kufanya
 
Ibara gani ya katiba.
 
Fanya wewe tuone kabla ya watoto wa sekondari
 
Huyo mbona Ni traitor
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…