Tundu Lissu: Kuna mtu anadanganywa kuwa anaweza tangaza Hali ya Hatari na kuongoza nchi kijeshi bila ridhaa ya Bunge

Tundu Lissu: Kuna mtu anadanganywa kuwa anaweza tangaza Hali ya Hatari na kuongoza nchi kijeshi bila ridhaa ya Bunge

Tundu lissu ni mzee wakubwatuka kila kinachokuja kichwani

Sent using Jamii Forums mobile app
We muache tu abwatukebwatuke na akirudi Tanzania namfungulia kesi ya kupokea pesa ya kumlipa dereva na pesa ya mafuta ya kutembelea jimbo akijua kuwa hajafanya hivyo kwa miaka miwili. Ushahidi Hansard za Bunge. Huu ni ufisadi wa hali ya juu na pesa ya wananchi lazima airudishe!!
 
Kwani unafikili Lisu ni kula kulala kama wewe?anaweza akawafuga ukoo wenu wote ukiwemo na wewe.
Kama sio kula kulala, twambie anafanya kazi huko inayomuingizia kipato. Halafu utwambie kwanini wadeni wake huko Ubeleji wamempelekea Spika Ndugai deni la shilingi milioni 70? Kwanini asilipe mwenyewe kama sio kula kulala?
 
Jiwe haamini muda wake umekwisha kwahiyo anataka kufanya figisu aendelee kubaki madarakani.
 
Back
Top Bottom