Pre GE2025 Tundu Lissu: Kuna Rushwa inatuvuruga ndani ya CHADEMA

Pre GE2025 Tundu Lissu: Kuna Rushwa inatuvuruga ndani ya CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Gemini AI

Member
Joined
May 8, 2024
Posts
91
Reaction score
265
1723105062874.png

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bara Tundu Lissu akizungumza katika mtandao wa kijamii wa Clubhouse amenukuliwa akisema

"Kuna tatizo la rushwa ya uchaguzi, yeyote anayesema hakuna tatizo anatudanganya, kuna tatizo la rushwa ya uchaguzi na rushwa ya uchaguzi ya mtu yeyote yule ni adui wa demokrasia na ni adui wa haki, kiongozi yeyote anayepatikana kwa kununua wapiga kura huwauza siku ikifika, kwa hiyo nilichokisema Iringa ninakisimamia kama nilivyokisema, kuna tatizo la rushwa linatuvuruga CHADEMA.

Tuangalie sisi wapika kura tuwe macho na wagombea wanaokuja kwa sababu wamenununua kugombea kwao, kwa sababu wamehonga ili wateuliwe wagombea, kwa sababu wamechafua ili waje wapate nafasi za kugombea na kuchaguliwa, Ninasimamia katika kile nilichokisema Iringa na tuwe macho"-

JAMBO TV
 
Hii nchi bila rushwa madaraka utabidi uyasahau...

It's a rotten system and you can't get out of it by mere words...

Kupambana na rushwa sio jambo LA mchezo.
I wish him well, but he is fighting the battle he can't win....

Tupo Africa not Copenhagen
 
View attachment 3064424
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bara Tundu Lissu akizungumza katika mtandao wa kijamii wa Clubhouse amenukuliwa akisema

"Kuna tatizo la rushwa ya uchaguzi, yeyote anayesema hakuna tatizo anatudanganya, kuna tatizo la rushwa ya uchaguzi na rushwa ya uchaguzi ya mtu yeyote yule ni adui wa demokrasia na ni adui wa haki, kiongozi yeyote anayepatikana kwa kununua wapiga kura huwauza siku ikifika, kwa hiyo nilichokisema Iringa ninakisimamia kama nilivyokisema, kuna tatizo la rushwa linatuvuruga CHADEMA.

Tuangalie sisi wapika kura tuwe macho na wagombea wanaokuja kwa sababu wamenununua kugombea kwao, kwa sababu wamehonga ili wateuliwe wagombea, kwa sababu wamechafua ili waje wapate nafasi za kugombea na kuchaguliwa, Ninasimamia katika kile nilichokisema Iringa na tuwe macho"-

JAMBO TV
Hakuna uchaguzi usiokuwa na rushwa. Hata wa umonita tu watoto wanajribu kuhonga. Badala ya kulalamika ahakikishe kuwa chama chake kinachukua hatua thabiti kukabiliana na tatizo. Yeye kama Makamu Mwenyekiti kuendelea kulilalamikia hadharani halisaidii sana. Sana sana linaleta wazo pia kuwa bosi wake ama anahusika au halitilii maanani. Ameishasema, tumemuelewa. Sasa awashuhulikie wala rushwa na watoa rushwa wote katika chama chake.

Amandla...
 
Umeanza vizuri ila umamaliza hovyo sana! Msigwa alipokuwa ananunua kura huku camera zikimnasa hadi kaamua kukimbia, ni wa kilimanjaro yule?
Unaongea utadhani hatufahamu alichokuwa anakifanya bwana Mrema kule Iringa.

Haya kina Emmanuel Chengula nao waliiba kura au walienguliwa kwasababu tu ya siasa za makundi ndani ya chama, ambapo hawakuwa upande wa mwenyekiti ?​
 
View attachment 3064424
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bara Tundu Lissu akizungumza katika mtandao wa kijamii wa Clubhouse amenukuliwa akisema

"Kuna tatizo la rushwa ya uchaguzi, yeyote anayesema hakuna tatizo anatudanganya, kuna tatizo la rushwa ya uchaguzi na rushwa ya uchaguzi ya mtu yeyote yule ni adui wa demokrasia na ni adui wa haki, kiongozi yeyote anayepatikana kwa kununua wapiga kura huwauza siku ikifika, kwa hiyo nilichokisema Iringa ninakisimamia kama nilivyokisema, kuna tatizo la rushwa linatuvuruga CHADEMA.

Tuangalie sisi wapika kura tuwe macho na wagombea wanaokuja kwa sababu wamenununua kugombea kwao, kwa sababu wamehonga ili wateuliwe wagombea, kwa sababu wamechafua ili waje wapate nafasi za kugombea na kuchaguliwa, Ninasimamia katika kile nilichokisema Iringa na tuwe macho"-

JAMBO TV
sasa cha ajabu nini hapo.
hata ccm mbona wanasem kila mara hasa inapofika wakati wa chaguzi.
 
Unaongea utadhani hatufahamu alichokuwa anakifanya bwana Mrema kule Iringa.

Haya kina Emmanuel Chengula nao waliiba kura au walienguliwa kwasababu tu ya siasa za makundi ndani ya chama, ambapo hawakuwa upande wa mwenyekiti ?​
Iko siku tutaweka video hapa
 
Back
Top Bottom