Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 3,384
- 4,428
Ukiona mtu kama huyu katika nje na kuanza kulalamika ujue huko ndani wameongea na kashindwa kusikilizwa.Hakuna uchaguzi usiokuwa na rushwa. Hata wa umonita tu watoto wanajribu kuhonga. Badala ya kulalamika ahakikishe kuwa chama chake kinachukua hatua thabiti kukabiliana na tatizo. Yeye kama Makamu Mwenyekiti kuendelea kulilalamikia hadharani halisaidii sana. Sana sana linaleta wazo pia kuwa bosi wake ama anahusika au halitilii maanani. Ameishasema, tumemuelewa. Sasa awashuhulikie wala rushwa na watoa rushwa wote katika chama chake.
Amandla...
May be wakasema uthibitishe unaweza?Chadema
Sugu anafadhiliwa na Balozi wa Marekani
Ni vzur zaid kumjua Nan anatoa rushwa.Kwa lugha nyingine kama nanyinyi mmeendekeza rushwa unayoisema kuwa ipo mnafaa?.Ushaur si Takukuru wapo waambiwe hao wakamatwe
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bara Tundu Lissu akizungumza katika mtandao wa kijamii wa Clubhouse amenukuliwa akisema
"Kuna tatizo la rushwa ya uchaguzi, yeyote anayesema hakuna tatizo anatudanganya, kuna tatizo la rushwa ya uchaguzi na rushwa ya uchaguzi ya mtu yeyote yule ni adui wa demokrasia na ni adui wa haki, kiongozi yeyote anayepatikana kwa kununua wapiga kura huwauza siku ikifika, kwa hiyo nilichokisema Iringa ninakisimamia kama nilivyokisema, kuna tatizo la rushwa linatuvuruga CHADEMA.
Tuangalie sisi wapika kura tuwe macho na wagombea wanaokuja kwa sababu wamenununua kugombea kwao, kwa sababu wamehonga ili wateuliwe wagombea, kwa sababu wamechafua ili waje wapate nafasi za kugombea na kuchaguliwa, Ninasimamia katika kile nilichokisema Iringa na tuwe macho"-
JAMBO TV
Hivyo ndiyo umejibu swali langu?Kwanini usijikite kutengeneza zaidi kwenu Lumumba huko badala ya ku keep poking your noses onto other people's affairs?
Kwamba pilipili zenu mnazo huku bado mna miguu yenu kila mahali?
Looh!
Mbona wengine hamtuoni kwenu huko?
Au ndiyo kupenda mwana kuliko mama yake?
Hii ni taarifa mpya kwangu! Sasa sijui kama kuna ushahidi unaoonyesha kama ilivyo elezwa hapa; maana hii ingemmaliza huyo Msigwa hata huko aliko kimbilia.Msigwa alipokuwa ananunua kura huku camera zikimnasa hadi kaamua kukimbia,
Unajua Msigwa baada ya kushindwa akakimbilia ziara ya Lissu, Lissu akampokea na kumwonyesha video zake, aliondoka bila kuaga, baada ya siku 2 akapokelewa na SamiaHii ni taarifa mpya kwangu! Sasa sijui kama kuna ushahidi unaoonyesha kama ilivyo elezwa hapa; maana hii ingemmaliza huyo Msigwa hata huko aliko kimbilia.
Kumbukumbu niliyo nayo ni kwamba ni huyo Msigwa mwenyewe ndiye aliyekuwa akilia kwa Sugu kumzidi maarifa katika eneo hilo la rushwa; na kama ilivyo kuwa dhahiri wakati huo Bw. Abdul alisha mtembelea Sugu, na hiyo ikawa sababu ya watu kuamini kilio kilichokuwa kikitoka kwa Msigwa.
Lakini inavyo jionyesha sasa ni kwamba Abdul alifanya kazi pande zote mbili kwa mpigo? Hii inawezekana?
Hapana, sikuwa na maana hiyo uliyo ichukua; maana yangu ni pana zaidi ya huko CCM.unauliza kama jambo hilo lingembomoa hata huko ccm, ni lini ccm ilikataa rushwa?
Nakumbuka sana hili; na wakati huo huo Msigwa akielekeza shutuma kali sana moja kwa moja kwa Mbowe. Nalieleza hili kwa uangalifu mkubwa, kwa sababu inaonyesha wazi Msigwa tayari alikuwa akimlenga Tundu Lissu; akifanya kazi aliyo tumwa toka CCM (?)Unajua Msigwa baada ya kushindwa akakimbilia ziara ya Lissu, Lissu akampokea na kumwonyesha video zake
Kwa kweli nina kusikiliza; kwa sababu haya ni mapya kabisa kuyasikia!Kimpango wenu, ila Mrema alivuruga chaguzi chini ya maelekezo ya Mbowe. Wajumbe wanaambiwa wapige picha kura zao halafu wanalambishwa 1m.
CHADEMA has become useless 🤣🤣🤣
Pesa ya aibu unaitakia nini?Nani hataki pesa? Wewe hapa Duniani unatafuta nini kwani? 😆😆
Usiseme pesa ya aibu mboba malaya wanauza utu wao wapate chochote kituPesa ya aibu unaitakia nini?
Pesa ya aibu ni ipi?Pesa ya aibu unaitakia nini?
Chadema is making copenhagen of bongo.Hii nchi bila rushwa madaraka utabidi uyasahau...
It's a rotten system and you can't get out of it by mere words...
Kupambana na rushwa sio jambo LA mchezo.
I wish him well, but he is fighting the battle he can't win....
Tupo Africa not Copenhagen
So unahalalisha rushwa iwe Chadema cos Mzizi unaanzia CCM au sioKweli, mzizi wa rushwa upo Serikalini, yaani CCM ndiyo mzizi wenyewe.
Kipindi cha uchaguzi ndiyo kipindi cha mavuno.
Mbaya zaidi hela zinatembea hadi vyama vya Upinzani yaani CCM kichomeka mamluki wao.
Wewe jamaa unanichekesha unamlindaje mtu anayekubali kupokea rushwa kwa hiyali yake..wakati Nccr, na Cuf, wako juu, Chadema kilikuwa chama kinachodharauliwa.
..kipindi hicho hakuna mtu alikuwa hajali nini kinaendelea ndani ya Chadema.
..wakatu ya Ccm ina kuhangaika kukiporomosha chama cha Nccr, na baadae Cuf, ndipo Chadema ikaibuka.
..tunachopaswa kufanya ni kuilinda Chadema na hujuma za Ccm na vyombo vyake.
..Wananchi tukiacha Chadema iporomoke, na kufa, maana yake tumekubali kuishi ktk mfumo wa chama kimoja.
Kama amevuruga na wahusika wamerugika inaonesha Chadema ni chama dhaifu..hata Mama Abduli naye amepagawa na madaraka ndio maana anavuruga vyama vya upinzani.
..yanayotokea kwa Chadema yalishatokea kwa Nccr, na Cuf, na chanzo ni fedha zilizotoka Ccm.
But lead to loss trust and loyalty from the majority of people.Broken record. Lowassa bought nobody. He just wanted to be president and Mbowe saw it as an opportunity for his party to gain more seats in parliament and presidential votes which he got. The votes translated into a larger ruzuku that could be used to reach areas that CDM had never reached before. Slaa could never have won the votes Lowassa did. He also had nobody on his coattails who could ride his wave into parliament. It was a strategic move that Mbowe played to perfection.
Amandla....
Umempiga knockout ya nguvu alafu huo upuuzi ndio umepelekea kupoteza uaminifu na mashabiki waliamini kuwa Chadema ni wapinga Ufisadi na hii imewaletea athara mpaka leo.Oooh really!
So CHADEMA went to bed with The Grand Duke of UFISADI just for the sake of securing the political largesse a.k.a RUZUKU.
And where are the financial records of the RUZUKU largesse ? How many branches have you established since 2016 ?