Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Huyo Nyalandu ndio wale wagombea waliotoa rushwa. Na iwe marufuku cdm kuokoteza takataka za ccm na kuzipa nafasi za juu za kugombea.Lazaro Nyalandu aliibiwa kura zake 2020 na TAL huyo huyo
Chadema mna vituko sana 😀