mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Nahisi jamaa atamwaga ma point ya kwanini maamuzi ya tume ni batili then atatangaza kuendelea na ratiba yake ya mikutano kama kawa.Hatutakubali..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi jamaa atamwaga ma point ya kwanini maamuzi ya tume ni batili then atatangaza kuendelea na ratiba yake ya mikutano kama kawa.Hatutakubali..
Tanzanite Tv.Vyombo gani?
Ndo nachokiona.. wanazidi kuingia kwenye mtego wa LissuNahisi jamaa atamwaga ma point ya kwanini maamuzi ya tume ni batili then atatangaza kuendelea na ratiba yake ya mikutano kama kawa.
Lissu hajawai kuogopa. Ndo chanzo cha Magufuli na watu wake kutaka kumuua. Uzuri Mungu yupo pamoja nae na mwaka huu wadau wote wa maendeleo wamemuelewa vizuri saanaKampeni lazima ziendelee.. hatutakubali.. Na Tundu Lissu usikubali huu ujinga
Anaweza akasema yeye ataendelea na Kampeni kama kawaida.Moto hauzimwi....
Kesho ilikiwa Mkutano wa ACT, Chadema mwembeyanga...
Tume imewawahi
Cheza sebeneLissu ni mgombea wa hovyo kuwahi kutokea
Ni heri akate rufaa kuliko kupuuza,ratiba inatolewa na tume na sio chadema
Yaaani huku Lissu anagonga spana kule Marekani anakusanya ushahidi kuwaweka watu sawaNdo nachokiona.. wanazidi kuingia kwenye mtego wa Lissu
Aisee hapo lazima kinuke.Ndo nachokiona.. wanazidi kuingia kwenye mtego wa Lissu
Tume iliyo chini ya huyo jamaa aliyekunja mikono kwa adabu au unamuongelea nani?Lissu ni mgombea wa hovyo kuwahi kutokea
Ni heri akate rufaa kuliko kupuuza,ratiba inatolewa na tume na sio chadema
Huwa wanamwandika sana tu, ila ni katika mlengo wa kumchafua tu. Mfano, "Tundulisu atakiwa kuripoti kituo cha polisi kuhojiwa kwa sababu za kusababisha uvunjifu wa amani".Kesho kwa mara ya kwanza tangu kampeni zianze, Magazeti ya Tanzanite, Habari leo, Majira, Jamvi la habari, Uhuru na sauti huru yataandika habari za Tundu Lissu
Kama Mmbwai na iwe Mmbwai tuTundu Lissu mgombea urais wa JMT kupitia CHADEMA anatarajia kuongea na vyombo vya habari leo majira ya saa kumi na nusu jioni.
-----
Wito wa dharura, Mkutano na Waandishi wa Habari
Chief, habari za muda huu?
Naomba kukutaarifu kuwa Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mhe. Tundu Lissu, atazungumza na vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa, nyumbani kwake, Tegeta (Azania) jijini Dar es Salaam leo Ijumaa, Oktoba 2, 2020, *saa 10.30, jioni, kuhusu jambo la dharura na muhimu katika kampeni za Uchaguzi Mkuu zinazoendelea nchini.
Tunatanguliza shukrani na samahani kwa wito huu wa dharura sana. Asante sana.
Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
Chadema
Tuko bega kwa bega na mheshimiwa wetu Tundu Lissu.Anaepaswa kukata rufaa ni magufuli baada ya kukosa kibali kutoka kwa wananchi na sasa hivi anatafuta kura kwa njia za panya kwa kulaghai watu kupitia kupiga magotiLissu ni mgombea wa hovyo kuwahi kutokea
Ni heri akate rufaa kuliko kupuuza,ratiba inatolewa na tume na sio chadema
TBC na Channel 10Tutajie ni Tv gani itakuwa live
Kiukweli mm binafsi sihitaji kabisa kampeni.........maamuzi nilikua nayo tangu siku 100 baada ya magufuli kuingia madarakaniAiseh ila Sisi wapiga kura unajua hatuna haja sana na kampeni
Tunajua la kufanya. Itoshe kusema safari hii tutamsulubisha mtu
Tundu Lissu mgombea urais wa JMT kupitia CHADEMA anatarajia kuongea na vyombo vya habari leo majira ya saa kumi na nusu jioni.
-----
Wito wa dharura, Mkutano na Waandishi wa Habari
Chief, habari za muda huu?
Naomba kukutaarifu kuwa Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mhe. Tundu Lissu, atazungumza na vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa, nyumbani kwake, Tegeta (Azania) jijini Dar es Salaam leo Ijumaa, Oktoba 2, 2020, *saa 10.30, jioni, kuhusu jambo la dharura na muhimu katika kampeni za Uchaguzi Mkuu zinazoendelea nchini.
Tunatanguliza shukrani na samahani kwa wito huu wa dharura sana. Asante sana.
Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
Chadema
There goes a real man. Mpakwa mafuta wa Mungu. Tundu Antiphas Lissu
Goooo Lissu
Tunajiandaa kutega masikio yetu kusikiliza maneno matamu na ya haki ya rais wetu Tundu Lisu
Kampeni lazima ziendelee.. hatutakubali.. Na Tundu Lissu usikubali huu ujinga
Chuma hicho![emoji3577][emoji3577][emoji3577] Nikiwa mkubwa nataka niwe kama Mheshimiwa Tundu Lissu
Lissu ni mgombea wa hovyo kuwahi kutokea
Ni heri akate rufaa kuliko kupuuza,ratiba inatolewa na tume na sio chadema
Chadema tunae mgombea kweli kweli.