Tundu Lissu kuongea na vyombo vya habari muda mfupi ujao

Tundu Lissu kuongea na vyombo vya habari muda mfupi ujao

Unagongwa wewe
Unasuguliwa na mapepo.
Screenshot_2020-10-01-00-11-28-1.jpg
 
Lissu ni mgombea wa hovyo kuwahi kutokea
Ni heri akate rufaa kuliko kupuuza,ratiba inatolewa na tume na sio chadema
Acha kulialia, Lisu sio lowasa na awamu hii tumempata mtu sahihi wa kuongoza mapambano ya kumtoa mkoloni mweusi ili watz waufurahie Uhuru wa kweli.
Huyo anayetisha wananchi badala ya kuomba kura akatafute shamba huko chato tu
 
Lisu ana kadi ya CCM halafu anatudanganya.!!
siasa hizi hatari sana....yaaani sisi wananchi tunafuata tu kumbee
 
Kiukweli mm binafsi sihitaji kabisa kampeni.........maamuzi nilikua nayo tangu siku 100 baada ya magufuli kuingia madarakani
To be honest sikumpigia, na kwangu ilinichukua kama miezi mitatu tu ndani ya uongoz wake kujua kuwa hapa hamna mtu.
 
Magufuli naye kapewa adhabu ya siku 10 kusimamisha kampeni.
Lakini maamuzi hayo yamefichwa bila ya kutangazwa na kisha CCm imetangaaza kuwa Mgombea wa Uraisi wa CCM atapumzika kwa siku 10. 4-12
 
Magufuli naye kapewa adhabu ya siku 10 kusimamisha kampeni.
Lakini maamuzi hayo yamefichwa bila ya kutangazwa na kisha CCm imetangaaza kuwa Mgombea wa Uraisi wa CCM atapumzika kwa siku 10. 4-12
Thibitisha.
 
Unajuwa nyie ni wapumbavu kiwango cha lami.Mtu kuuliza live coverage ndo mgeni nchini au unadhani kuzuia mikutano ya upinzani isionyeshwe kuna mtu asojua sio.Mi nimeuliza labda kuna chombo cha habari kimejitoa muhanga kurusha liwalo na liwe acha kukariri kama wenzio ili uonekane na wewe umechangia na kujaza server ya JF.
Wewe ni mgeni hapa nchini?
 
Unajuwa nyie ni wapumbavu kiwango cha lami.Mtu kuuliza live coverage ndo mgeni nchini au unadhani kuzuia mikutano ya upinzani isionyeshwe kuna mtu asojua sio.Mi nimeuliza labda kuna chombo cha habari kimejitoa muhanga kurusha liwalo na liwe acha kukariri kama wenzio ili uonekane na wewe umechangia na kujaza server ya JF.
Hovyoooo!
 
To be honest sikumpigia, na kwangu ilinichukua kama miezi mitatu tu ndani ya uongoz wake kujua kuwa hapa hamna mtu.
Yaani alipoanza tu kuchukia wapinzani nikajua maccmyametuingiza chaka kwa kukataa kumtangaza aliyeshinda na kumtangaza mhutu
 
Back
Top Bottom