Wajinga kama wewe bado mpo,uhuru wako unautumia kijinga sanaTangu lini lissu akashiriki misiba?...atatoa udhuru aende zake ubelgiji waganga wake wamemwambia asikaribie maiti!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajinga kama wewe bado mpo,uhuru wako unautumia kijinga sanaTangu lini lissu akashiriki misiba?...atatoa udhuru aende zake ubelgiji waganga wake wamemwambia asikaribie maiti!
Hata mm nimeona Hy taarifaHapana Mkuu hii taarifa kuna nyingine kabla yake ila mods wameifuta labda ni fake news
Wanatuchanganya kweliMbona mnatuchanganya? Hebu wekeni mambo vizuri - kwa mfano:
TAARIFA YA KUSIKITISHA
Mwenyekiti wa Chadema (T) ndg. Tundu Lissu amepata ajali mbaya akiwa njiani..........
Halafu tena: Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ataongoza Mazishi ya Mwenyekiti wa zamani wa Chadema Mkoa wa Manyara, Derrick Magoma.
ZOTE NI ZA LEO 09/02/2025
Nimeona hii taarifa kwenye group moja ya WhatsApp. Ndio maana nikauliza kujua kama kuna uhakika wa jambo hili.Huyo kaka yake kafa lini?
Afadhali, maana wengine wanadhani naotaHata mm nimeona Hy taarifa
Ina maaana wote wawili tunaota?Afadhali, maana wengine wanadhani naota
Maruerue 😄Ina maaana wote wawili tunaota?
Unamuamini huyo mzushi Maria Sarungi?Nasikia mwenyekiti Lisu kapata ajali Dodoma akiekea mkoani singida kumzika kaka yake. Kuna ukweli jamani? Source ni maria sarungi
hahahahaMaruerue 😄
Huyu Kawa mzushi tenaUnamuamini huyo mzushi Maria Sarungi?
Yaani kakaake Lissu afe halafu kusiwe na Taarifa hadi tuone mitandaoni!Nimeona hii taarifa kwenye group moja ya WhatsApp. Ndio maana nikauliza kujua kama kuna uhakika wa jambo hili.
Siku hizi wazushi wengi.Huyu Kawa mzushi tena
Kuna ajali tena muulize mwenezi wao Erythrocyte......Mbona mnatuchanganya? Hebu wekeni mambo vizuri - kwa mfano:
TAARIFA YA KUSIKITISHA
Mwenyekiti wa Chadema (T) ndg. Tundu Lissu amepata ajali mbaya akiwa njiani..........
Halafu tena: Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ataongoza Mazishi ya Mwenyekiti wa zamani wa Chadema Mkoa wa Manyara, Derrick Magoma.
ZOTE NI ZA LEO 09/02/2025
Tunaomba uthibitisho kwamba Lissu aliambiwa na waganga wake asikaribie maiti.Tangu lini lissu akashiriki misiba?...atatoa udhuru aende zake ubelgiji waganga wake wamemwambia asikaribie maiti!
Mkuu Manyara Hanang kijiji sehemu gani maana ni kubwa.Taarifa iliyotolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Amani Golugwa imeeleza kwamba, Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ataongoza Mazishi ya Mwenyekiti wa zamani wa Chadema Mkoa wa Manyara, Derrick Magoma.
Taarifa zinaeleza kwamba Derrick atazikwa Mkoa Manyara tarehe 12/02/2025.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho ya Derrick, Amina
HahahahaSiku hizi wazushi wengi.
Usiondoke JFMkuu Manyara Hanang kijiji sehemu gani maana ni kubwa.
Mara Chadema haina Mwenezi mara Erythrocyte mwenezi, tushike lipi?Kuna ajali tena muulize mwenezi wao Erythrocyte......
Lissu anawatemesha mate wengi sana Lumumba ukiwa mmoja wao🤣Mara ya mwisho alishiriki msiba wa mbwa wa Nassari akishirikiana na mwendawazimu lema!