Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Namsupport TAL aje akanogeshe siasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada hizo xxx mbele ya jina lako linaakisi ulichoandika. Rudi jukwaa la mapenzi umepoteza maboya,,,, nenda kule kwenye sijui Nini masiharaChadema ni chama wachaga wanamtumia tu Lissu kutafuta madaraka.
Uzuri watanzania wote wamestuka kasoro wanyaki na watu wa tarime ndio wanashobokea sana hao wachaga.
tunomba video clip kma ushahidi kuwa ametamka hayoLISSU KUFANYA KAZI NA RAIS SAMIA
"Sikutoa salamu za mwaka sababu M/Kiti alikua na kikao na Rais @SuluhuSamia baada ya kikao nimeridhika Rais anania njema na Taifa letu, natangaza 25 Jan, 2023 itakua J/tano nitarudi Tanzania kufanya kazi ya demokrasia na Rais Samia" - Tundu Lissu
nyeeeeeeTangaza ruti ya mapokezi.
Napendekeza iwe dar, avuruge siku nzina,
Dodoma atikise nusu siku na hatimaye akamalizie chato kuweka shada kwa shujaa hewa.
Amka n smell coffee ☕, 2023 middle class wa kitanzania anaongolea ukabila!Zimbabwe 🇿🇼 inapeleka satellite 🛰 angani!Chadema ni chama wachaga wanamtumia tu Lissu kutafuta madaraka.
Uzuri watanzania wote wamestuka kasoro wanyaki na watu wa tarime ndio wanashobokea sana hao wachaga.
Nashukuru umelitambua kuwa Lissu alikosewa na sasa unataka awasamehe waliomkosea. Lissu afanyi kwa ajili yake bali anafanya kwa ajili ya wataka haki wote, hivyo ni vyema familia ya aliyemkosea Lissu ndio imuombe Lissu msamaha ili iwe fundisho kwa wengine. Pia swala la laana lipo pale pale kama mtashupaza shingo basi laana hiyo itatembea kwa vizazi kadhaa.Lissu kurudi ni jambo jema lakini sio kubwa Sana maana Tz ni kwao, ni nchi aliyopewa na Mungu wake.
Jambo kubwa ambako akifanikiwa kulifanya ni Kutangaza hadharani kumsamehe Marehemu Mwendazake na wote waliotaka kumdhulumu uhai.
Sambamba na msamaha huo, apange kwenda kutembea Chatho, akaone makaburi ya watu maarufu pamoja na kumsalimu Janeth. That will mean and attract love and set a reference point in humanity