Shetani ana nguvu sana hapa duniani kwa wanaotanguliza matumbo. Kuna € m50 imetolewa, lazima ionekane kazi inafanyika.
..una maana barrick walimhonga magufuli?
..sukuma gang wakikusikia watakutafuna mzimamzima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shetani ana nguvu sana hapa duniani kwa wanaotanguliza matumbo. Kuna € m50 imetolewa, lazima ionekane kazi inafanyika.
Binafsi nilitegemea ujio wa Lissu ungekuwa habari kubwa kila kona ya nchi. Lakini Mandonga anaiteka mitaa kuliko Lissu hii ni hatari kwa upinzani. Kama hakuna mtu anastuka presidential candidate ametangaza comeback ujue kazi ni kubwa uko mbeleni...mjipange sanaRais wa awamu ile aliwasakama sana kupita kiasi.
Ilisemekana alitaka kuufuta
kabisa nchini.
Lakini kumbe Upinzani uko ndani ya mioyo ya watu.
Sasa werevu wanajiuliza iwapo alikuwa na nia thabiti ya kweli ya uadilifu Kwanini alichukia upinzani?
Je mbona ilipaswa kushirikiana nao kufanya kazi na kuwatumia Kama watch dogs ?
Je jamaa si wangetumika kumstua mahala Penye upigaji ambapo yamkini yeye angekuwa bado hajafahamu?
Tangaza ruti ya mapokezi.
Napendekeza iwe dar, avuruge siku nzina,
Dodoma atikise nusu siku na hatimaye akamalizie chato kuweka shada kwa shujaa hewa.
Kuna watu wamehongwa zaidi ya € 50m kuja kuhamasisha ushoga...una maana barrick walimhonga magufuli?
..sukuma gang wakikusikia watakutafuna mzimamzima.
Sasa sawa, amekuwa mlokole ananukuu mandiko ya Biblia?Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mhe. Tundu Lissu ametangaza kurejea rasmi nchini January 25, 2023 saa 7 mchana baada ya kukaa uhamishoni kwa muda mrefu.
View attachment 2479728
"Hatuwezi kuendelea kuishi uhamishoni bila ukomo. Hivyo basi, ninapenda kuwafahamisha kwamba, panapo majaliwa, nitakanyaga udongo wa ardhi ya Tanzania kwa mara nyingine tena siku ya Jumatano ya tarehe 25 Januari, 2023, majira ya saa saba na dakika 35 mchana." amesema
Ameongeza, “Kwa muda huo, ninatarajia kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere, Dar es Salaam, kwa ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia nikitokea Brussels, Ubelgiji, kwa kupitia Addis Ababa, Ethiopia. Nitafurahi sana kwa mapokezi yoyote siku hiyo."
Kuhusu suala la Katiba Mpya, Mhe. Lissu amesema “Kwa vyovyote itakavyokuwa, mwaka huu utakuwa mwaka muhimu sana katika historia ya nchi yetu. Ni mwaka ambao, kama tukiamua kwa dhati ya mioyo yetu, tutapata Katiba Mpya na ya kidemokrasia, yenye mfumo huru wa uchaguzi, inayojali na kulinda haki za wananchi na inayoweka misingi imara ya uwajibikaji wa viongozi wetu kwa wananchi na wawakilishi wao.”
Anarudi nyumbani kuja kushiriki katika kuandika ukurasa wa kwanza mpya wa kitabu chenye kurasa 365 cha mwaka huu wa 2023, anaamini kwamba, kwa umoja wetu na kwa mapenzi yetu kwa nchi yetu, tutaandika kitabu kizuri.
Mwanasiasa huyo machachari, Mbunge wa zamani wa Jimbo la Singida Mashariki ambae pia ni mwanasheria Nguli nchini alinusurika kifo baada ya kushambuliwa kwa risasi za moto na watu wasiojulikana Septemba 7, 2017 wakati vikao vya Bunge vikiendelea Jijini Dodoma.
Pamoja na kutangaza kurejea kwake, bado ameonesha wasiwasi juu ya mambo mbalimbali yasiyo ya kawaida yanayoweza kutokea wakati huo. Hata hivyo, anaamini kuwa Mungu anaiwazia mema nchi hii.
"Ninafahamu kwamba, licha ya ahadi ya Mheshimiwa Rais na licha ya utayari wangu na wetu, siku zijazo hazitakuwa rahisi. Ninajua kuwa tutakabiliwa na majaribu ya kila aina na tutapitishwa katika tanuru kubwa la matatizo na magumu mengi."
“Mwenyezi Mungu anatuwazia sisi Watanzania “mawazo ya kutustawisha na wala sio ya kutuumiza, mawazo ya kutupa tumaini kwa siku zetu zijazo. Tukiweka nia ya dhati na kuitekeleza kwa dhati, tutayashinda majaribio na magumu yaliyo mbele ya safari yetu."
Chanzo: Twitter Spaces (Tundu Lissu)
Atagombea tena 2025?
Ujumbe mchungu sana kwa wale uvccm waliopitwa na wakati"Sikutoa salamu za mwaka sababu M/Kiti alikua na kikao na Rais @SuluhuSamia baada ya kikao nimeridhika Rais anania njema na Taifa letu, natangaza 25 Jan, 2023 itakua J/tano nitarudi Tanzania kufanya kazi ya demokrasia na Rais Samia" - Tundu Lissu
Mwisho wa kunukuuu
Kuna watu wamehongwa zaidi ya € 50m kuja kuhamasisha ushoga.
Kwani wewe lini umeacha ushoga?Kuna watu wamehongwa zaidi ya € 50m kuja kuhamasisha ushoga.
Uzuri nikwamba Musiba sasa hivi hayupo na kama yupo hana tena nafasi ya kutoa vitisho vya kutuvunja miguu na kututoboa machoMungu wangu!!!
Viongozi wa mashoga wamehongwa € 50m. Chawa wao jiandaeni kuorodheshwa mpate posho.Kwani wewe lini umeacha ushoga?
Duh! Propaganda za kitoto sana hizi mkuu, ushoga upo since hata Abraham hajawepo kwenye uso wa dunia! Wewe mwenyewe na kujimwambafy hapa unaweza kuwa shoga vile vile! StupidKuna watu wamehongwa zaidi ya € 50m kuja kuhamasisha ushoga.
Kuwepo ushoga tangu enzi za Ibrahim si habari mpya; habari mpya ni watu kuhongwa € 50m kuja kuhamasisha ushoga.Duh! Propaganda za kitoto sana hizi mkuu, ushoga upo since hata Abraham hajawepo kwenye uso wa dunia! Wewe mwenyewe na kujimwambafy hapa unaweza kuwa shoga vile vile! Stupid
Ila wewe jipya unalo ?Lissu Hana jipya lolote
Mwambie huyo chawa wa jiweIla wewe jipya unalo ?
Siku hizi wamekuwa chawaMwambie huyo chawa wa jiwe
Kadri hali ya maisha inavyozidi kuwa ngumu na machawa wanaongezekaSiku hizi wamekuwa chawa
Na mama yao kawatangaza officially kuwa ni machawa.Kadri hali ya maisha inavyozidi kuwa ngumu na machawa wanaongezeka