Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Mkuu Uchawa ni jambo la kawaida sana kwenye siasa hahaha, kuna machwa wa Mbowe, Lissu, Biden, Kagame, Mama, n.k.Tayari jina lishakamata hilo hakuna tena njia
Kawaida sana, labda may be tuamue kuishi kidikteta kama miaka hii 6 iliyopita ambapo machawa (especially wa upinzani) walidhibitiwa