Tundu Lissu kurejea Nchini January 25, 2023

Tundu Lissu kurejea Nchini January 25, 2023

[emoji2][emoji2][emoji2]

Umeshastaafu halafu unatudanganya wengine iwe siku ya mapumziko!.
 
Mwaka huu utaandika upuuzi mwingi ili angalu na wewe upate "Like" nyingi.
 
Ni ushauri tu

Makamu Mwenyekiti wa Chadema aliyejeruhiwa kwa Risasi na Wavamizi nyumbani Kwake akiwa anatokea bungeni mh Tundu Antipas Lisu atawasili siku ya Jumatano 25/01/2023 saa 13:35 mchana

Ni vema Watanzania Bila kujali itikadi wakapewa fursa ya kwenda kumpokea
Duh, nchi hii Ina vioja
 
Duh, nchi hii Ina vioja
Twendeni tukampokee vyema Mkombozi wetu - bila kujali Chama wala itikati. Serkali itoe tamko kuwa siku hiyo iwe siku ya mapumziko. Aidha, Viongozi wote wa kitaifa wa Vyama vya Siasa, Msajili wa Vyama vya Siasa na Tume ya Uchaguzi wote wawepo.
 
Kuhusu suala la Katiba Mpya, Mhe. Lissu amesema “Kwa vyovyote itakavyokuwa, mwaka huu utakuwa mwaka muhimu sana katika historia ya nchi yetu. Ni mwaka ambao, kama tukiamua kwa dhati ya mioyo yetu, tutapata Katiba Mpya na ya kidemokrasia, yenye mfumo huru wa uchaguzi, inayojali na kulinda haki za wananchi na inayoweka misingi imara ya uwajibikaji wa viongozi wetu kwa wananchi na wawakilishi wao.”
This Man of God.

Ooh Lord!
 
23 January 2023
Tarime mjini, Tanzania

VIONGOZI KUELEKEA DAR ES SALAAM KUMPOKEA TUNDU LISSU

Mwenyekiti wa CHADEMA taifa Mh. Freeman Mbowe na msafara wa viongozi wakitoka Tarime mjini, wataelekea moja kwa moja jijini Dar es Salaam kwa matayarisho ya kumpokea makamu mwenyekiti wa CHADEMA taifa Mh. Tundu Lissu anayerejea toka uhamishoni alipokimbilia baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana mjini Dodoma.
 
Back
Top Bottom