Tundu Lissu kushiriki katika Forum ya International Democratic Union

Hawa wana akili gani kubwa? Hivi si ni huyu huyu Pompeo anaye endeshwa na Trump kuspread lies kuwa election ilikuwa rigged ili wabakie madarakani? Utawala huu huu wa Trump uliiba kura mwaka 2016 ili wawe madarakani na wakashinda dhidi ya Mama Clinton, walitaka kufanya hivyo this year ila walidhibitiwa, yote haya ni kwa ajili ya kumprotect Trump na his criminal activities.

sasa hapa democracy ipo wapi? Lissu hana akili kivile ni mpuuzi tu anayepoteza muda na kwa kuwa Watanzania wengi wanatawaliwa na hisia badala ya akili wanamuona ni mpambanaji kumbe jamaa anawachezea akili tu. Dogo Lissu ni mbea tu, angekuwa mtu mwenye akili asingekimbia nchi kwenda majuu kutunzwa na kuwa msaliti., hizi ni tabia za kishoga.
 
Maneno meengi lkn pumba tele
Hivi hata ikitokea Tanzania inakuwa isolated na international community (which is highly unlikely) kama Lissu anavyopigana.

Hiyo scenario CHADEMA inawasaidia vipi kwenye political mileage na ku-mobilize support ya wapiga kura...
 
Lisu get hold of this golden opportunity to tell the world how to punish the regime .
 
Lissu anabaikia kuwa icon ya Tanzania ndani na nje ya nchi... ana sifa zote zinazotakiwa awe nazo Rais wa nchi.
 
Kuna democracy kweli hapa, hivi kwa nini Lissu anapenda sana kujishusha hadhi? Kina Pompeo hawa hawa si ndiyo waliiba kura za mwaka 2016 huko Marekani na sasa wanatangaza uwongo kuwa uchaguzi wao haukuwa huru huku Mahakama zote zimetupilia mbali ujinga wao eti leo hii wana host huu ujinga wa democracy, ni Bongo muvii hii au?
 
Kwa mara ya kwanza katika historia, Taifa limepata Rais ambae hata international community inamuona he's nothing to offer and share na dunia in terms of intellectuality!...
Umenena Mkuu, PK yuko smart sama kichwani. Ni aibu kama Taifa na kama mtu binafsi kupata cheo kikubwa lakini ukawa mtupu kichwani.

taifa linapata aibu kwani kiongozi wa juu ni taswira ya nchi, lakini kwa mtu binafsi ni mbaya kutaka makubwa usio yaweza
 
Mnaokota wafugaji mnawapa vyeo vikubwa matunda yake ndiyo haya
 
SO WHAAAT?
 
Uchaguzi huu umetutia aibu na umekuwa ni mfano mmojawapo wa chaguzi mbovu kabisa duniani.

Tuseme hii ndio Legacy ya Magu kwa Taifa na dunia kwa ujumla.
Hata Trump nae anaulalamikia Uchaguzi wa Marekani kwamba ni Uchaguzi mbovu kabisa toka dunia iumbwe. Sasa tushike la nani?
 
Tuige uchina basi ili tupate maendeleo...
Majizi na mafisadi yaliyoko kwenye mamlaka tutumie mfumo wa uchina kuyaondosha...
Ila isijekuwa unamaanisha "UCHIRA"
 
NI RAIS WA TANZANIA SIO WA DUNIA TUNAMOENDA WASIPOMWONA NAFAA SISI ANATUFAAA CHADEMAA KUFENIIIII KWA KUTOJIELEWA NABKUIELEWA DUNIA
 
Na CCM ni waporaji na wezi wa kura.
 
Hizi ni dalili za wazi za mtu aliyezaliwa bila kichwa akawekewa kifuu cha nazi ili ingalau afanane kwa mbali na watu waliozaliwa na vichwa. Wakati mwingi kama huna cha kuandika, endelea na majukumu ya kutafuta riziki, siyo unakuja humu kama unaharisha bila breki.
Demokrasia huletewi na mtu au taifa lolote, bali na ustaarabu wa kuheshimu maoni ya wengi huku tukiwasikiliza wachache kwa ustaarabu. Siyo mataahira mnaosema "mtaturetea maendereo" - kutoka wapi???? wapi yanauzwa au kununuliwa, upuuzi mtupu
 
So what???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…