Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kuteta na Mabalozi wanaowakilisha nchi zao Tanzania

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kuteta na Mabalozi wanaowakilisha nchi zao Tanzania

The conduct of the upcoming elections in Tanzania has important consequences not only for Tanzania, but for the entire East African region. Tanzania’s history of peaceful multi-party elections stretching back 25 years has made it a model on the continent.

The United States government reaffirms unequivocally that it does not support any specific candidate or party in Tanzania’s upcoming elections. The United States supports the democratic process itself. We support a genuinely free, fair, transparent, and peaceful electoral process, before, during, and after election day. This includes ensuring the safety of all contestants, respect for the rule of law, and the absolute impartiality of the authorities in charge of managing the elections.

The United States, along with other democratic nations, will be paying close attention to actions of individuals who interfere in the democratic process or instigate violence against the civilian population before, during, or after the elections. We will not hesitate to consider consequences for those found to be responsible for election-related violence or undermining the democratic process.

We welcome the calls by the leading candidates for a peaceful and transparent electoral process, and we urge them and their supporters to take measures to decrease tensions and avoid inciteful rhetoric.

By U.S. Embassy Dar es Salaam | 1 October, 2020 | Topics: Press Releases

Naomba huko CCM wampelekee taarifa hii ya Ubalozi wa Merekani ikiwa kwenye lugha ya Wakukaya yaani Kisukuma.........Vinginevo hataambua kitu na matokeo yake ataxidi kuharibu halafu kitakachotokea ni hizo "consequences za Mabeberu".
CCM na Magufuli jueni ya kwamba Tanzania siyo Kisiwa.
 
Kwani Generali wa Irani alishughulikiwa na Marekani miaka ya 80???
Kwani Saudi Arabia alirushiwa makombora na wale wavaa makobazi kwa hisani ya nani? Dadek wamepiga ndani ya nchi kabisa huyo Generali aliuliwa ndani ya mipaka ya Irani?? Kale ka quote kako kakiboya kule umekakimbia
 
Hao mabalozi wote watakao onana na Lissu watahudhuria siku ya kuapishwa muheshimiwa JPM.
 
Hivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).

Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.

Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.

waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.
Hivi kama unachokifanya kwenye kuendesha huu uchaguzi hakina mushkeli, nini kinakutia hofu yeye kukutana na mabalozi? Kwani anakuwa amekiuka kanuni gani ya uchaguzi, au amevunja sheria gani ya nchi?

Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
 
Kwani Saudi Arabia alirushiwa makombora na wale wavaa makobazi kwa hisani ya nani? Dadek wamepiga ndani ya nchi kabisa huyo Generali aliuliwa ndani ya mipaka ya Irani?? Kale ka quote kako kakiboya kule umekakimbia
Kwani Manuel Noriega alichukuliwa na Marekani akiwa wapi??

Osama Bin Laden alifanyiwa kazi na kuchukuliwa na Marekani akiwa wapi???Na ni mwaka gani??

Marekani wanaweza kumchukua Raisi wa nchi yeyote ile duniani wakitaka au kumfanyia lolote lile wakitaka!!
 
Nimemsoma mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lissu katika ukurasa wake wa twitter akisema leo anaendelea na ratiba yake ambapo amepanga kuonana na mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini.

Najiuliza Tundu Lisu anataka kuongea nini na mabalozi katikati ya uchaguzi?
Uchaguzi ni jambo la ndani ya nchi.

Maendeleo hayana vyama!
Kwani na hao mabalozi si wapo ndani ya nchi?
Kwa kuwa anatuhumiwa na baadhi ya watu kuwa anahatarisha amani nchini hivyo anataka kuwaambia hao mabalozi ambao wapo nchini, amani itadumishwa kwa kila hali wasiwe na khofu wao na raia wao wanaoishi nchini ila uchaguzi uwe wa haki, huru na amani kwa wale watakaokuwa waangalizi wa uchaguzi huu.
 
Nimemsoma mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lissu katika ukurasa wake wa twitter akisema leo anaendelea na ratiba yake ambapo amepanga kuonana na mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini.

Najiuliza Tundu Lisu anataka kuongea nini na mabalozi katikati ya uchaguzi?
Uchaguzi ni jambo la ndani ya nchi.

Maendeleo hayana vyama!
Ukatili wa Jiwe
 
Law healer,
Wewe ndo huna akili tukuulize ulipeleka wapi baada ya shule yako au ulikuwa ukisomea ujinga!

Uchaguzi huu unaihusu Tanzania na nchi zote Marafiki wa Tanzania. Ndiyo maana tuna Mabalozi walioko hapa Tanzania KUZIWAKILISHA NCHI ZAO.
Lakini pia kwa taarifa yako KATIBA ya nji na Sheria ya Tume ya Uchaguzi INARUHUSU WAANGALIZI WA UCHAGUZI TOKA NJE ikiwemo hizo hizo zenye Mabalozi ambao Mhe. Lissu anaokwenda kuongea nao. Sijui kama umeelewa au unazidi KULEWA kama mlevi🤣🤣
Yaani nyie wapiga kura wa Lissu mnamatatizo kichwani, Lissu awaite mabalozi!!!!!!!!!!!!!!, mnahitaji kupimwa akili kabla ya kupiga kura. Nayways Prof Janabi amewaandaa madaktari wako stand by kwa kupokea wagonjwa baada ya matokeo kutangazwa.
 
Nimemsoma mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lissu katika ukurasa wake wa twitter akisema leo anaendelea na ratiba yake ambapo amepanga kuonana na mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini.

Najiuliza Tundu Lisu anataka kuongea nini na mabalozi katikati ya uchaguzi?
Uchaguzi ni jambo la ndani ya nchi.

Maendeleo hayana vyama!
Ni jambo la ndani ya nchi lakini linalogusa maslahi ya nchi marafiki na wahisani.
 
Kwani Manuel Noriega alichukuliwa na Marekani akiwa wapi??

Osama Bin Laden alifanyiwa kazi na kuchukuliwa na Marekani akiwa wapi???Na ni mwaka gani??

Marekani wanaweza kumchukua Raisi wa nchi yeyote ile duniani wakitaka au kumfanyia lolote lile wakitaka!!
Noriega miaka gani? Osama wa serikali gani? Hapo Venezuela tu wanashikwa kama panya wakiwekewa sumu ...Snowden mbona hawajamfata huko Urusi?.......Mchina anapeleka hadi ndege za kivita Taiwan kwa swahiba wa huyo Marekani.......wao wamebaki kubwabwaja tu Marekani kabaki historia na anaenda kua historia zaidi.......Ukraine Mrusi kaleta ubabe tena hao ni member kabisa wa EU na NATO na bado wakaufyata
 
Hivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).

Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.

Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.

waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.
Acha ujinga wewe..kukutana na wawakilishi wa nchi marafiki ni kutokuwepo kwa ajili ya WaTZ..ulishawahi kujiuliza hao mabalozi wako nchini kwa sababu zipi? Kwanini wakapewa kipande cha Ardhi (Ndani ya nchi) wajenge balozi zao?
 
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu Ijumaa hii atakutana na mabalozi wa nchi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania .

Endelea kufuatilia kitakachozungumzwa kupitia hapa hapa JF

=======
Lissu leo kuongea na wenye Dunia yao.
 
Acha ujinga wewe..kukutana na wawakilishi wa nchi marafiki ni kutokuwepo kwa ajili ya WaTZ..ulishawahi kujiuliza hao mabalozi wako nchini kwa sababu zipi? Kwanini wakapewa kipande cha Ardhi (Ndani ya nchi) wajenge balozi zao?
Huyo poyoyo hajui hata kazi ya mabalozi. Mabalozi hadi ulinzi wanakuja nao kutoka kwao. Hakuna nzi wa kugusa
 
Acha ujinga wewe..kukutana na wawakilishi wa nchi marafiki ni kutokuwepo kwa ajili ya WaTZ..ulishawahi kujiuliza hao mabalozi wako nchini kwa sababu zipi? Kwanini wakapewa kipande cha Ardhi (Ndani ya nchi) wajenge balozi zao?
Utajichosha bure kuelewesha MATAGA
 
Back
Top Bottom