Wewe mbona umetahiriwa Kwa msaada wa marekani na bado huku kanda ya ziwa huduma inaendelea bado huamini kama hawa jamaa ni muhimuHivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).
Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.
Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.
waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.
Sugu kasha wasugua nini.akili zime anza kupoteaNoriega miaka gani? Osama wa serikali gani? Hapo Venezuela tu wanashikwa kama panya wakiwekewa sumu ...Snowden mbona hawajamfata huko Urusi?.......Mchina anapeleka hadi ndege za kivita Taiwan kwa swahiba wa huyo Marekani.......wao wamebaki kubwabwaja tu Marekani kabaki historia na anaenda kua historia zaidi.......Ukraine Mrusi kaleta ubabe tena hao ni member kabisa wa EU na NATO na bado wakaufyata
Tulieni....sindano ishapita sasa tunasukuma dawa!!Nimemsoma mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lissu katika ukurasa wake wa twitter akisema leo anaendelea na ratiba yake ambapo amepanga kuonana na mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini.
Najiuliza Tundu Lisu anataka kuongea nini na mabalozi katikati ya uchaguzi?
Uchaguzi ni jambo la ndani ya nchi.
Maendeleo hayana vyama!
Kwani Manuel Noriega alichukuliwa na Marekani akiwa wapi??
Osama Bin Laden alifanyiwa kazi na kuchukuliwa na Marekani akiwa wapi???Na ni mwaka gani??
Marekani wanaweza kumchukua Raisi wa nchi yeyote ile duniani wakitaka au kumfanyia lolote lile wakitaka!!
Kwani wasi wasi wako nini mkuu?Nimemsoma mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lissu katika ukurasa wake wa twitter akisema leo anaendelea na ratiba yake ambapo amepanga kuonana na mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini.
Najiuliza Tundu Lisu anataka kuongea nini na mabalozi katikati ya uchaguzi?
Uchaguzi ni jambo la ndani ya nchi.
Maendeleo hayana vyama!
Wewe fisi tumewaambia nyie na mafisi wenzio kuwa mnapopiga watoto wenu mjue kuna majirani jirani! Dunia ni kijiji. Endeleeni kujiharishia tu!! 28 oct lazima mtoke nduki na hivi mna travel ban! ole wenutrave
Hivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).
Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.
Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.
waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.
Hapana,mie sijatahiriwa kwa msaada wa marekani (Bali nimetahiriwa kwa msaada ya mila zangu na babu zangu)Wewe mbona umetahiriwa Kwa msaada wa marekani na bado huku kanda ya ziwa huduma inaendelea bado huamini kama hawa jamaa ni muhimu
Kama hujui nchi za nje wanatoa hela za walipa kodi wao kugharamia huu uchaguzi tulia tuliii. Kwaiyo pesa zao ni tamu kugharamia mambo yetu ila kuongea nao ni haramu eeh?Hivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).
Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.
Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.
waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.
Magufuli kapigiwa kampeni na M7 na yule rais Mrundi sijui jina lake nani.Nimemsoma mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lissu katika ukurasa wake wa twitter akisema leo anaendelea na ratiba yake ambapo amepanga kuonana na mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini.
Najiuliza Tundu Lisu anataka kuongea nini na mabalozi katikati ya uchaguzi?
Uchaguzi ni jambo la ndani ya nchi.
Maendeleo hayana vyama!
Kitu pekee kitakachotoka nduki baada ya october 28th,2020 ni kuwa na Rais anayesapport mapenzi ya Jinsia moja (hasa ushoga).Wewe fisi tumewaambia nyie na mafisi wenzio kuwa mnapopiga watoto wenu mjue kuna majirani jirani! Dunia ni kijiji. Endeleeni kujiharishia tu!! 28 oct lazima mtoke nduki na hivi mna travel ban! ole wenu
Kumbe uchaguzi huu pia umegharimiwa na mabeberu!?...Kama hujui nchi za nje wanatoa hela za walipa kodi wao kugharamia huu uchaguzi tulia tuliii. Kwaiyo pesa zao ni tamu kugharamia mambo yetu ila kuongea nao ni haramu eeh?
Mabeberu wanaweza hata kugharamia matunzo yote ya mleta threadKumbe uchaguzi huu pia umegharimiwa na mabeberu!?...
Jiwe anaongea nini na wakina Mu7 wakati huu wa uchaguzi,tena wanampigia hadi kampeni!!?Nimemsoma mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lissu katika ukurasa wake wa twitter akisema leo anaendelea na ratiba yake ambapo amepanga kuonana na mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini.
Najiuliza Tundu Lisu anataka kuongea nini na mabalozi katikati ya uchaguzi?
Uchaguzi ni jambo la ndani ya nchi.
Maendeleo hayana vyama!
Sifa moja wapo ya kuwa kiongozi wa nchi ni kujua namna ya kuwasiliana na viongozi wa mataifa mengine ambayo kila mmoja atakuja kwako kwa lugha yake. sasa magu kiswahili chenyewe ni shida na anaomba kuchaguliwa tena kwa sababu tu haendi ulaya, Kweli?Hapa ukoloni hauwezi kuisha kamwe.
kama mtu anasifia mtu kujua Lugha ya Mkoloni na kuponda Lugha ya Taifa lake.
Halafu mnataka kuongoza nchi..aisee!! Labda mtafute nchi ya kuiongoza huko ulaya
Kama drama za NoahHizi drama za cdm hazijaanza leo. Miaka ya juzi kati wakiturushia tupicha wakiwa wakimbizi ubalozi wa EU na magwanda yao.
Hii ni historia kijana.Kama hujui nchi za nje wanatoa hela za walipa kodi wao kugharamia huu uchaguzi tulia tuliii. Kwaiyo pesa zao ni tamu kugharamia mambo yetu ila kuongea nao ni haramu eeh?
Hii sifa ipo kwenye sheria gani??Sifa moja wapo ya kuwa kiongozi wa nchi ni kujua namna ya kuwasiliana na viongozi wa mataifa mengine ambayo kila mmoja atakuja kwako kwa lugha yake. sasa magu kiswahili chenyewe ni shida na anaomba kuchaguliwa tena kwa sababu tu haendi ulaya, Kweli?
Mbona Kabudi anakutana nao kila sikuNimemsoma mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lissu katika ukurasa wake wa twitter akisema leo anaendelea na ratiba yake ambapo amepanga kuonana na mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini.
Najiuliza Tundu Lisu anataka kuongea nini na mabalozi katikati ya uchaguzi?
Uchaguzi ni jambo la ndani ya nchi.
Maendeleo hayana vyama!
Kwani balozi yeye ndio nani. Balozi hapa ni kwake hapa, anazungumza nao nini hao mabalozi kama sio kihelehele na kujikomba tu.Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu Ijumaa hii atakutana na mabalozi wa nchi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania .
Endelea kufuatilia kitakachozungumzwa kupitia hapa hapa JF
=======