Magufuli hajui lugha zote mbili kiswahili na kingereza tumuweke kundi gani ?Hapa ukoloni hauwezi kuisha kamwe.
kama mtu anasifia mtu kujua Lugha ya Mkoloni na kuponda Lugha ya Taifa lake.
Halafu mnataka kuongoza nchi..aisee!! Labda mtafute nchi ya kuiongoza huko ulaya
Huwa ni kawaida sana. Hasa kwa mgombea ambaye anaweza kuwa kiongozi wa nchi , lazima mabalozi wajue misimamo yake.Nimemsoma mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lissu katika ukurasa wake wa twitter akisema leo anaendelea na ratiba yake ambapo amepanga kuonana na mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini.
Najiuliza Tundu Lisu anataka kuongea nini na mabalozi katikati ya uchaguzi?
Uchaguzi ni jambo la ndani ya nchi.
Maendeleo hayana vyama!
Kuengua wagombea kupitishwa bila kupingwaMbona mnaweweseka tulieni dawa iwaingie
Tundu wanyooshe tu fisi hawa
Hakuna lolote hapo Chadema ni sawa na Yanga fcThis time CDM wamejipanga kweli kweli.
Naona mmeishiwa mbinu dhidi ya Lissu mnaishia kuweweseka 😂😂😂Tukiwaambia Lisu ni debe tupu mnakataa,!
Sasa kwa anaenda kulia kwa mabalozi baada ya kuona Amsterdam hafui dafu?
Huyu mtu tarehe 28 tuhakikishe anaenda kwa beberu wake huko ubelgiji.
Jidanganyeni tu! Mtajua hamjui mwaka huu dadeki!! Go Lissu kimbizaaaaa vilaza hawaHakuna lolote hapo Chadema ni sawa na Yanga fc
Uchaguzi ungekuwa mtamu Kama Makonda angekuwa bado mkuu wa mkoa DarKuwa wa Kwanza kufahamu kwamba Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu Ijumaa hii atakutana na mabalozi wa nchi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania .
Endelea kufuatilia kitakachozungumzwa kupitia hapa hapa JF
=======
Wamezoea kufanya kampeni ik local vilaza hawa!! Lissu anawafundisha kufanya kampeni kisasa!!Huwa ni kawaida sana. Hasa kwa mgombea ambaye anaweza kuwa kiongozi wa nchi , lazima mabalozi wajue misimamo yake.
Sasa hiyo ni English ? "you are already presidential"Go TL. Go... You are already presidential. Hii ni kwa wanaozungumza Kiingereza tu. Hao wengine wanahitaji kutafsiriwa! Waendelee tu huko Njombe.
Nakwambia Navy Seal wangekuja kumchukua pale masaki nyumbani kwakeUchaguzi ungekuwa mtamu Kama Makonda angekuwa bado mkuu wa mkoa Dar
Watamsaidia nini sasaWAGOMBEA KUENGELIWA KIHOLELA NADHANI NI HILO
CCM waoga kinoma yaaniNimemsoma mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lissu katika ukurasa wake wa twitter akisema leo anaendelea na ratiba yake ambapo amepanga kuonana na mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini.
Najiuliza Tundu Lisu anataka kuongea nini na mabalozi katikati ya uchaguzi?
Uchaguzi ni jambo la ndani ya nchi.
Maendeleo hayana vyama!
Wazalendo wafukuzeni basi mabalozi sini mabeberu?Hivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).
Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.
Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.
waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.
IGP kaandika friendly letter
Kwa hekima yangu ndogo jamaaa anakwenda kuwaonyesha elementary fault zilizopo ili ziwe katika record kwa ambayo yanayoweza kujitokeza baadae but we dont pray for that god bless tanzaniaW
Watamsaidia nini sasa
Roles of English language in Tanzania unazijua au kukuuliza ivi nakuonea,Hapa ukoloni hauwezi kuisha kamwe.
kama mtu anasifia mtu kujua Lugha ya Mkoloni na kuponda Lugha ya Taifa lake.
Halafu mnataka kuongoza nchi..aisee!! Labda mtafute nchi ya kuiongoza huko ulaya
Kaandika barua kama ya uchumba!IGP kaandika friendly letter
Kesi ya mtuhumiwa fisi unapeleka kwa mtuhumiwa huyo huyo?!Angeenda NEC ndio wahusika bwashee!