Mimi Bibi Yenu Mpambanaji
Senior Member
- Oct 6, 2024
- 147
- 303
JamiiForums twakujua vyemaMimi siyo CCM mimi ni raia mwema mpenda haki, CCM ikadhalilika sindiyo vizuri Chadema wachukue nchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JamiiForums twakujua vyemaMimi siyo CCM mimi ni raia mwema mpenda haki, CCM ikadhalilika sindiyo vizuri Chadema wachukue nchi.
Hivi wale wafuasi wa Membe aliohamia nao ACT walirudi CCM baada ya Membe kufa?Kuna tetesi za ndani kabisa kuwa Tundu Lissu na wafuasi wake kutimkia ACT Wazalendo.
Mkongwe Ritz, duuu zamani sana, we are missing you,nimefurahi kukuona Tena jamviniWanaukumbi.
Kwa hali ilivyo ndani Chadema kunawaka moto kwa sasa kutokana na Uchaguzi wa ndani wa viongozi, kuna tetesin Mbowe na kundi lake kina Wenye hawawezi kumpa uongozi wa chama Tundu Lissu.
Kuna tetesi za ndani kabisa kuwa Tundu Lissu na wafuasi wake kutimkia ACT Wazalendo.
Chadema kinapoelekea ni njia ile ile waliopita CUF.
Yetu macho na masikio.
Wanaukumbi.
Kwa hali ilivyo ndani Chadema kunawaka moto kwa sasa kutokana na Uchaguzi wa ndani wa viongozi, kuna tetesin Mbowe na kundi lake kina Wenye hawawezi kumpa uongozi wa chama Tundu Lissu.
Kuna tetesi za ndani kabisa kuwa Tundu Lissu na wafuasi wake kutimkia ACT Wazalendo.
Chadema kinapoelekea ni njia ile ile waliopita CUF.
Yetu macho na masikio.
Nani kakwambia lissu na mbowe ndio wagombea pekee?! Mimi naenda na huyu Odero Odero.Upo kwa Mbowe au Kwa Lissu?
Wewe Chadema-Kata hujui kitu.Nani kakwambia lissu na mbowe ndio wagombea pekee?! Mimi naenda na huyu Odero Odero.
Karibu j3 tunapoenda msindikiza kuchukua fomu.View attachment 3180219
Hatuhitaji Mabadiliko.” Mungai- M’kti CHADEMA Mkoa wa IringaAnaweza atoke chadema na asiende popote pia
Hatuhitaji Mabadiliko.” Mungai- M’kti CHADEMA Mkoa wa Iringa
“Hatuhitaji ukomo wa Madaraka” Benson Kigaila - Naibu Katibu Mkuu
“Tutamshawishi agombee” Masaga- M’kiti CHADEMA mkoa wa Mbeya
“Mitano Tena” Yericko- Ntobi- MMM na chawa wengine
Lissu anaweza kuwa anaungwa mkono na wanachadema wengi kuliko Mbowe lakini wajumbe wengi wanaopiga kura ni watu wa Mbowe , this means possibility ya FAM kushinda ni kubwa kuliko TAL. Ukirudi kwenye uhalisia Chadema ya sasa inamuhitaji Lissu zaidi kuliko Mbowe, FAM amsupport TAL.Lissu hakubaliki
Hakuna fitina atakayofanyiwa ila ukweli hawezi kumshinda Mbowe jamani tuwe wakweli!Wanaukumbi.
Kwa hali ilivyo ndani Chadema kunawaka moto kwa sasa kutokana na Uchaguzi wa ndani wa viongozi, kuna tetesin Mbowe na kundi lake kina Wenye hawawezi kumpa uongozi wa chama Tundu Lissu.
Kuna tetesi za ndani kabisa kuwa Tundu Lissu na wafuasi wake kutimkia ACT Wazalendo.
Chadema kinapoelekea ni njia ile ile waliopita CUF.
Yetu macho na masikio.
Lisu Siyo faller mpaka aende ACT ambao nao tiyari wameshafunga Ndoa na CCM kule Zanzibar, kuliko afanye hivyo Bora aachane na SiasaWanaukumbi.
Kwa hali ilivyo ndani Chadema kunawaka moto kwa sasa kutokana na Uchaguzi wa ndani wa viongozi, kuna tetesin Mbowe na kundi lake kina Wenye hawawezi kumpa uongozi wa chama Tundu Lissu.
Kuna tetesi za ndani kabisa kuwa Tundu Lissu na wafuasi wake kutimkia ACT Wazalendo.
Chadema kinapoelekea ni njia ile ile waliopita CUF.
Yetu macho na masikio.