Tetesi: Tundu Lissu kutimkia ACT Wazalendo kama watamletea fitna kwenye uchaguzi.

Tetesi: Tundu Lissu kutimkia ACT Wazalendo kama watamletea fitna kwenye uchaguzi.

Wanaukumbi.

Kwa hali ilivyo ndani Chadema kunawaka moto kwa sasa kutokana na Uchaguzi wa ndani wa viongozi, kuna tetesin Mbowe na kundi lake kina Wenye hawawezi kumpa uongozi wa chama Tundu Lissu.

Kuna tetesi za ndani kabisa kuwa Tundu Lissu na wafuasi wake kutimkia ACT Wazalendo.

Chadema kinapoelekea ni njia ile ile waliopita CUF.

Yetu macho na masikio.
Vipi hujapata tetesi kuwa Hezbollah wamewamaliza Wayahudi wote, na Taifa la Israel limefutika Duniani?
 
Vipi hujapata tetesi kuwa Hezbollah wamewamaliza Wayahudi wote, na Taifa la Israel limefutika Duniani?
Chadema-Kata hata hajui abaki wapi😄

Lissu akishinda uchaguzi Mbowe atabaki kuwa RELEVANT in National Politics?

Mbowe akishinda, Tundu atakuwa RELEVANT in National Politics?
 
Wanaukumbi.

Kwa hali ilivyo ndani Chadema kunawaka moto kwa sasa kutokana na Uchaguzi wa ndani wa viongozi, kuna tetesin Mbowe na kundi lake kina Wenye hawawezi kumpa uongozi wa chama Tundu Lissu.

Kuna tetesi za ndani kabisa kuwa Tundu Lissu na wafuasi wake kutimkia ACT Wazalendo.

Chadema kinapoelekea ni njia ile ile waliopita CUF.

Yetu macho na masikio.
Wana Zanzibar kukubali kuungana na Zitto kwenye upinzani wamejimaliza wenyewe. Zitto siyo mpinzani wa kweli. Ona sasa hivi ACT Wazalendo haina nguvu yoyote. Sana sana ukifika wakati wa uchaguzi wataachiwa viti vya Pemba na viongozi wao watapewa ving'ora na mchezo utaishia hapo hapo. Maalim kaacha pengo ambalo nina wasiwasi huenda halitazibwa tena.
 
Wana Zanzibar kukubali kuungana na Zitto kwenye upinzani wamejimaliza wenyewe. Zitto siyo mpinzani wa kweli. Ona sasa hivi ACT Wazalendo haina nguvu yoyote. Sana sana ukifika wakati wa uchaguzi wataachiwa viti vya Pemba na viongozi wao watapewa ving'ora na mchezo utaishia hapo hapo. Maalim kaacha pengo ambalo nina wasiwasi huenda halitazibwa tena.
Achana na Zitto wewe mateka wa Mbowe au Lissu?
 
Wanaukumbi.

Kwa hali ilivyo ndani Chadema kunawaka moto kwa sasa kutokana na Uchaguzi wa ndani wa viongozi, kuna tetesin Mbowe na kundi lake kina Wenye hawawezi kumpa uongozi wa chama Tundu Lissu.

Kuna tetesi za ndani kabisa kuwa Tundu Lissu na wafuasi wake kutimkia ACT Wazalendo.

Chadema kinapoelekea ni njia ile ile waliopita CUF.

Yetu macho na masikio.
Huu ni uwongo 10000%
 
Lissu hawezi mshinda Mbowe sababu uchaguzi ni numbers na Mbowe anazo.

Mbowe alishasoma mchezo mapema kwamba kwenye chama hakubaliki, na ukiacha uchaguzi wa Mbowe vs Zitto 2009, hakuna uchaguzi tena uliofanyika baada ya hapo ambao ulikuwa una upinzani kwa Mbowe, 2014 Zitto angeingia kwenye kura angemgalagaza Mbowe, akapigwa fitna kabla ya uchaguzi, akahama chama.

Kwa kujua hilo, kwa mara ya kwanza Mbowe ameunda timu ya ushindi tokea kwenye ngazi ya wilaya, mkoa hadi kanda. Yani pote huko kuna mapandikizi ya Mbowe, yaliwekwa kwa lengo moja tu, uchaguzi wa mwenyekiti.

Hivyo Lissu hana backup ya watu ndani ya chama. Lissu ni bora mara mia kuliko Mbowe, ila hawezi shinda. Kiufupi kwa sasa hakuna tofauti kati ya Chadema na CCM. Kote ni fitna mwanzo mwenga.
Mkuu usikariri, Kuna simple utafiti umefanyika lissu anaungwa mkono karibu 45% ya wajumbe hapo kabla ya kampeni, pia wanachama wa kawaida na wafuasi na wapambe wengi wa chadema wanataka mabadiliko kwenye chama
 
Wanaukumbi.

Kwa hali ilivyo ndani Chadema kunawaka moto kwa sasa kutokana na Uchaguzi wa ndani wa viongozi, kuna tetesin Mbowe na kundi lake kina Wenye hawawezi kumpa uongozi wa chama Tundu Lissu.

Kuna tetesi za ndani kabisa kuwa Tundu Lissu na wafuasi wake kutimkia ACT Wazalendo.

Chadema kinapoelekea ni njia ile ile waliopita CUF.

Yetu macho na masikio.
Wafuasi wa Lissu ni kina nani hao wa kuiletea impact CDM?. Tuwe serious aisee. CDM wanajuana kwa tamaduni zao. Jicho la 3 linaonyesha kuna dhamira sio safi hapo upande wa Lissu.
 
Pro-Chadema bana wao kutwa kuisema CCM na vyama vingine wao hawataki kusemwa hata kama kuna matatizo kwenye chama chao.
🙋‍♂️✍️🎯👌👍👊👏🤝🙏💐🗼
 
Wafuasi wa Lissu ni kina nani hao wa kuiletea impact CDM?. Tuwe serious aisee. CDM wanajuana kwa tamaduni zao. Jicho la 3 linaonyesha kuna dhamira sio safi hapo upande wa Lissu.
Haahaa Kwa sasa wasiopenda mabadiliko wanampiga mawe lissu kisa atanyoosha mambo chadema, wananchi wa kawaida wanataka mabadiliko chadema
 
Wanaukumbi.

Kwa hali ilivyo ndani Chadema kunawaka moto kwa sasa kutokana na Uchaguzi wa ndani wa viongozi, kuna tetesin Mbowe na kundi lake kina Wenye hawawezi kumpa uongozi wa chama Tundu Lissu.

Kuna tetesi za ndani kabisa kuwa Tundu Lissu na wafuasi wake kutimkia ACT Wazalendo.

Chadema kinapoelekea ni njia ile ile waliopita CUF.

Yetu macho na masikio.
act wazalendo hawawezi kukaribisha balaa,ila najua ataenda ccm
 
Mkuu usikariri, Kuna simple utafiti umefanyika lissu anaungwa mkono karibu 45% ya wajumbe hapo kabla ya kampeni, pia wanachama wa kawaida na wafuasi na wapambe wengi wa chadema wanataka mabadiliko kwenye chama
Nisikariri nini, Lissu ana uungwaji mkono na wajumbe wachache sababu hajapoteza muda kuweka wajumbe wake kama ambavyo Kigaila alikuwa anafanya kwenye usimamizi wa chaguzi.
 
Back
Top Bottom