Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Huwa wanazimia na kulazwa ICU baadhi yao.Hiyo sauti wakiisikia
Fake news.Huwa wanazimia na kulazwa ICU baadhi yao..
Matusi ya nini?Si alisema umejengwa nyumbani kwake anaenda kufanya Nini nyumbani kwa mtu?
Airport itakaguliwa na Chato atafika.Si alisema umejengwa nyumbani kwake anaenda kufanya Nini nyumbani kwa mtu?
Naona mkuu hasira zinakufanya upoteze umakini. Tanzania ni yetu sote na kila mmoja wetu ana haki ya kwenda popote. Tukana sana lakini atatia mguu huko na kunguruma.Si alisema umejengwa nyumbani kwake anaenda kufanya Nini nyumbani kwa mtu?
Umeandika nini hiyo[emoji849][emoji849]Hiyo sauti wakiisikia
Kasema chato airport ni private airport anaenda kufanya Nini?Naona mkuu hasira zinakufanya upoteze umakini. Tanzania ni yetu sote na kila mmoja wetu ana haki ya kwenda popote. Tukana sana lakini atatia mguu huko na kunguruma.
Kwani hujui malezi ya hawa jamaa? matusi kwao ni lugha ya kawaida tu
Mgombea urais wa CHADEMA, Bw. Tundu Lissu, keshokutwa Jumanne tarehe 13 Oktoba, ataenda kupiga kampeni kwenye ngome ya Rais Magutuli huko Chato.
Pia, kwa mujibu wake yeye mwenyewe, kabla ya kufanya mkutano wake huo, ataenda kuuangalia uwanja wa kimataifa wa ndege unaojengwa mjini humo.
Could be a moment of high drama.
Si alisema umejengwa nyumbani kwake anaenda kufanya Nini nyumbani kwa mtu?
Ni karibuni tu, tuvute subira.Si alisema umejengwa nyumbani kwake anaenda kufanya Nini nyumbani kwa mtu?
Kabisa
Chato wanaweza mpopoa, kawananga sana huyo Domo kaya LisuMgombea urais wa CHADEMA, Bw. Tundu Lissu, keshokutwa Jumanne tarehe 13 Oktoba, ataenda kupiga kampeni kwenye ngome ya Rais Magutuli huko Chato.
Pia, kwa mujibu wake yeye mwenyewe, kabla ya kufanya mkutano wake huo, ataenda kuuangalia uwanja wa kimataifa wa ndege unaojengwa mjini humo.
Could be a moment of high drama.
Huyu kibaraka akiwa Rais, Tanzania tu narudi kuwa watumwa kabisa. Ee Mungu tuepushe na hili balaa la Mbowe na genge lake.Mgombea urais wa CHADEMA, Bw. Tundu Lissu, keshokutwa Jumanne tarehe 13 Oktoba, ataenda kupiga kampeni kwenye ngome ya Rais Magutuli huko Chato.
Pia, kwa mujibu wake yeye mwenyewe, kabla ya kufanya mkutano wake huo, ataenda kuuangalia uwanja wa kimataifa wa ndege unaojengwa mjini humo.
Could be a moment of high drama.
Mdukuzi umenichekesha. Mkia unapita tumboni hadi kidevuni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tanzania hii hakuna mtu jasiri kama TAL tuliobaki ni mbwa koko ukitishwa kidogo mkia ndani pumbavuuuuu