fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,537
Tulikosa mtu wa kutufunguwa kwenye mabanda tumempataTanzania hii hakuna mtu jasiri kama TAL tuliobaki ni mbwa koko ukitishwa kidogo mkia ndani pumbavuuuuu
Tume mpata mchomoa battery ole wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulikosa mtu wa kutufunguwa kwenye mabanda tumempataTanzania hii hakuna mtu jasiri kama TAL tuliobaki ni mbwa koko ukitishwa kidogo mkia ndani pumbavuuuuu
Wee wee TL ni ICBM msijaribuNeck fungieni huyu mtu..
Jaribu tugawane majengo ya SerekaliOnywanoko be, njooni Sasa Kama nyie wanaume na msijelaumu police hawakuwapa ulinzi, shenzi type, nahiyo ford ranger yenu lazima tuiuze screpa
Mgombea urais wa CHADEMA, Bw. Tundu Lissu, keshokutwa Jumanne tarehe 13 Oktoba, ataenda kupiga kampeni kwenye ngome ya Rais Magufuli huko Chato.
Pia, kwa mujibu wake yeye mwenyewe, kabla ya kufanya mkutano wake huo, ataenda kuuangalia uwanja wa kimataifa wa ndege unaojengwa mjini humo.
Could be a moment of high drama.
Huyu jamaa akienda Chato airport ni mhalifu sawa na wahalifu wengine, atakuwa anafanya trespassing, kwa kutumia ulinzi shirikishi na police jamii, uhalifu wake utadhibitiwa.Kwanza ubalozi wa Marekani na shareholders wa BOEING inabidi wasikilize hii clip huyu mtu wao anaponda ununuzi wa ndege na kuuita ushenzi na upumbavu hataki Tanzania inunue ndege kwao wao wakose soko.HIVYO ni mpiga vita wa soko lao la ndege
Pili mabalozi wote wa nje wanaoishi Tanzania wasikilize hii Clip hataki wajengewe daraja waendelee kusota kwenye foleni pamoja na kuwa nchi zao ndizo hutoa misaada kibao kwa Tanzania ikiwemo matibabu yake mwenyewe Lisu ubelgiji na safari zake kibao za ulaya na marekani
Anawapiga vita hadi mabalozi waziwazi bila kificho wakati pesa za ujenzi wamezitoa wao.Can you imagine
lingine kumsaidia tu Lisu viwanja vyote vya ndege toka milipuko ya september 11 ya kigaidi sio tourism place tena ukienda uwe na safari au unamsindika msafiri.Kwa hiyo kama ataenda na ndege Chato ruksa kutua lakini sio kwenda kwa ajili ya kitu kingine ikiwemo utalii.Alivyokuwa mbunge akiwa kamati husika ilikuwa ruksa kwenda kikazi sasa hivi yeye raia wa kawaida tu huwezi enda uwanja wa ndege kutalii kama zamani kabla ya mashambulizi ya kigaidi.NDIO maana zamani dar tulikuwa tukipanfa hadi juu kwenye paa tunapiga picha ndege zikiruka na kutua bila shida na harusi tukifunga tulikuwa tukienda nazo Airport kuzurura na kupiga picha tupendavyo
AIRPORT za sasa dunia nzima zina restrictions on entry huwezi jiendea tu ohhh mimi nakuja kukagua majengo who are you?
Lingine Lisu anahangaika na confrontational politics hahitaji kura anatafuta tu ugomvi baada ya kukata tamaa kuona wazi hatashinda .HIVI kweli unaenda kishhari namna hiyo nyumbani kwa mtu unatukana vitu vilivyoko nyumbani kwake unategemea wazazi na ndugu wenye mtoto wao Magufuli unadhani watakupa hata kura moja? mzazi aweza kuwa mjinga au akili hana lakini huwezi kwenda nyumbani kwake ukamporomoshea matusi na kumdharau ukadhani ndio watoto na ndugu zake watakuona wa maana na kukupa kura.YOU DO MORE DAMAGE TO YOURSELF AND YOUR PARTY
Kule ni kwake najua anatafuta ugomvi na Magufuli akafanye vituko kule kwa makusudi kuonyesha yeye yuko tayari kupambana lakini ajue watu hawako pamoja naye kwenye hizo confrontational politics zake
GEITA anaenda for the second time alikuwa hapo KATORO naona kaishiwa anarudi tena
tena mnoLissu anawadharau sana wasukuma
Geita katoro police walifanya kazi ya ziada kumwokoa safari hii wamwache tuhangaike naeKwanza ubalozi wa Marekani na shareholders wa BOEING inabidi wasikilize hii clip huyu mtu wao anaponda ununuzi wa ndege na kuuita ushenzi na upumbavu hataki Tanzania inunue ndege kwao wao wakose soko.HIVYO ni mpiga vita wa soko lao la ndege
Pili mabalozi wote wa nje wanaoishi Tanzania wasikilize hii Clip hataki wajengewe daraja waendelee kusota kwenye foleni pamoja na kuwa nchi zao ndizo hutoa misaada kibao kwa Tanzania ikiwemo matibabu yake mwenyewe Lisu ubelgiji na safari zake kibao za ulaya na marekani
Anawapiga vita hadi mabalozi waziwazi bila kificho wakati pesa za ujenzi wamezitoa wao.Can you imagine
lingine kumsaidia tu Lisu viwanja vyote vya ndege toka milipuko ya september 11 ya kigaidi sio tourism place tena ukienda uwe na safari au unamsindika msafiri.Kwa hiyo kama ataenda na ndege Chato ruksa kutua lakini sio kwenda kwa ajili ya kitu kingine ikiwemo utalii.Alivyokuwa mbunge akiwa kamati husika ilikuwa ruksa kwenda kikazi sasa hivi yeye raia wa kawaida tu huwezi enda uwanja wa ndege kutalii kama zamani kabla ya mashambulizi ya kigaidi.NDIO maana zamani dar tulikuwa tukipanfa hadi juu kwenye paa tunapiga picha ndege zikiruka na kutua bila shida na harusi tukifunga tulikuwa tukienda nazo Airport kuzurura na kupiga picha tupendavyo
AIRPORT za sasa dunia nzima zina restrictions on entry huwezi jiendea tu ohhh mimi nakuja kukagua majengo who are you?
Lingine Lisu anahangaika na confrontational politics hahitaji kura anatafuta tu ugomvi baada ya kukata tamaa kuona wazi hatashinda .HIVI kweli unaenda kishhari namna hiyo nyumbani kwa mtu unatukana vitu vilivyoko nyumbani kwake unategemea wazazi na ndugu wenye mtoto wao Magufuli unadhani watakupa hata kura moja? mzazi aweza kuwa mjinga au akili hana lakini huwezi kwenda nyumbani kwake ukamporomoshea matusi na kumdharau ukadhani ndio watoto na ndugu zake watakuona wa maana na kukupa kura.YOU DO MORE DAMAGE TO YOURSELF AND YOUR PARTY
Kule ni kwake najua anatafuta ugomvi na Magufuli akafanye vituko kule kwa makusudi kuonyesha yeye yuko tayari kupambana lakini ajue watu hawako pamoja naye kwenye hizo confrontational politics zake
GEITA anaenda for the second time alikuwa hapo KATORO naona kaishiwa anarudi tena
Chato nzima wenye kumudu kupanda ndege awafiki hata 5,
Mkimgusa safari hii tunazaa na nyinyiGeita katoro police walifanya kazi ya ziada kumwokoa safari hii wamwache tuhangaike nae
Kwani Sasa si watumwa wa wakoloni weusi?Huyu kibaraka akiwa Rais, Tanzania tu narudi kuwa watumwa kabisa. Ee Mungu tuepushe na hili balaa la Mbowe na genge lake.
..Yes you did.JokaKuu unakumbuka niliwahi kuzungumzia hii?
Mnufaika andaa shughuli zingine za kujiajiri October ajira zenu zinakomaNdio uone huyu jamaa kuja kweli, ikungi hamna maji anaongelea habari za wanawake weupe, anataka kwenda chato ambako shida ya maji umeme barabara ilishakwisha, aende karumwa na kyelu akaonje barabara za mbavu za mbwa Kama Zitto na salum mwalimu, ovyo
Kushangaa punda vinavyopanda ndegeKasema chato airport ni private airport anaenda kufanya Nini?
Wajaribu waone, tutakuwepo chato kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa