Inajengwa kwa pesa ya walipa kodi wa Tanzania haifadhiriwi na mtu mmoja.Kasema chato airport ni private airport anaenda kufanya Nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inajengwa kwa pesa ya walipa kodi wa Tanzania haifadhiriwi na mtu mmoja.Kasema chato airport ni private airport anaenda kufanya Nini?
Huko akienda kuongea utopolo wake, wanabaki nae.Mgombea urais wa CHADEMA, Bw. Tundu Lissu, keshokutwa Jumanne tarehe 13 Oktoba, ataenda kupiga kampeni kwenye ngome ya Rais Magufuli huko Chato.
Pia, kwa mujibu wake yeye mwenyewe, kabla ya kufanya mkutano wake huo, ataenda kuuangalia uwanja wa kimataifa wa ndege unaojengwa mjini humo.
Could be a moment of high drama.
View attachment 1597061
Nimemwomba mod atuache kidogoTeh teh teh....kuna siku nilimwambia mtu humu ‘onyanoko ebhe’ nikaishia kupigwa ban🤣
KabisaHuko akienda kuongea utopolo wake, wanabaki nae.
Anaenda kuangalia kodi yake ilivyoteketea bila tijaSi alisema umejengwa nyumbani kwake anaenda kufanya Nini nyumbani kwa mtu?
..Yes you did.
..but I don't think TL should campaign in Chato.
..I am afraid he will be met with VIOLENCE by ccm fanatics, or the police force.
Wacha kuitafuta huruma, wewe lete pumba zako@Moderator Cookie
Wacha kuitafuta huruma, wewe lete pumba zako@Moderator Cookie
Hizo Pumba ulizotoa zinatosha sihitaji kuleta zanguWacha kuitafuta huruma, wewe lete pumba zako
Mwanamke una gubu wewe, utadhani mwanamke wa kizaramo aliyelalwa asipewe kijora alichoahidiwa.[emoji16][emoji16]Onywanoko be, njooni Sasa Kama nyie wanaume na msijelaumu police hawakuwapa ulinzi, shenzi type, nahiyo ford ranger yenu lazima tuiuze screpa
Si alisema umejengwa nyumbani kwake anaenda kufanya Nini nyumbani kwa mtu?
Anti acha wenge basi, bosi wako ulimuelewa lakini?Manina je tena tunamsubiri kwa hamu
Bro tulia atakula mawe ya kutosha subiri afike, hakumbuki alivyozimewa pale Buseresere.
Lkn umejengwa na kodi zetuSi alisema umejengwa nyumbani kwake anaenda kufanya Nini nyumbani kwa mtu?
Anaenda kuona private airport iliyojengwa kwa pesa za wananchi. Hii ni 8th wonder of the world.Kasema chato airport ni private airport anaenda kufanya Nini?
Endelea kuwakatia mauno wanaume hapo LumumbaNeck fungieni huyu mtu..