ndammu
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 3,971
- 4,440
Muuji unamjua tutajie nani kauwa.Lissu ni zaidi hypocrite ni muuaji kabisa hafai hata kuwa mwenyekiti wa kijiji
Jiwe kauwa Ben saaane kapiga watu sana ukatili wakila aina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muuji unamjua tutajie nani kauwa.Lissu ni zaidi hypocrite ni muuaji kabisa hafai hata kuwa mwenyekiti wa kijiji
Pengine wewe ndiye utarudi utumwani sisi tutafika Kanaani kwenye nchi ya ahadi tukinywa asali na maziwa chini ya kiongozi shupavu Tundu Lissu 🤣🤣🤣Huyu kibaraka akiwa Rais, Tanzania tu narudi kuwa watumwa kabisa. Ee Mungu tuepushe na hili balaa la Mbowe na genge lake.
Humjui TALAna ujasir
ujasiri gani? wacha kampeni ziishe uone atakavyo Tereza mbele kwa li Amsterdam
DuuuuKasema chato airport ni private airport anaenda kufanya Nini?
🖕🏿🖕🏿🖕🏿🖕🏿Mungu atuepushe na wewe hapo!
Sheria za kimataifa haziruhusu mtu asiyekuwa msafiri kuingia uwanja wa ndege tukimruhusu tunaweza fungiwa na mashirika ya udhibiti wa anga,Atinge tu hata Sasa hivi, sisi niwamoja hata JPM akitinga Ikingu pia anapokelewa kwa upendo hao wanapandwa na jaziba kwa mtu kutembelea sehemu hao niwahubiri chuki hawatufai.
Huyu kibaraka akiwa Rais, Tanzania tu narudi kuwa watumwa kabisa. Ee Mungu tuepushe na hili balaa la Mbowe na genge lake.
Chato kuna Husna. Sidhani kama jukwaa litatosha...Yes you did.
..but I don't think TL should campaign in Chato.
..I am afraid he will be met with VIOLENCE by ccm fanatics, or the police force.
Kasema anaenda chato airstrip wakati yeye sio abiria na hicho sio kituo Cha mabus kuwa anaenda kumsindikiza shangazi yake, hivyo akionekana huko atakuwa katenda jinai na kuhatarisha usalama wa wasafiri kwani hatujui lengo lake,Hivi unaandaje kikundi cha kuponda mawe watu na ndugu zako wakiwemo? Mimi navyojua Lissu anapita chato kufanya kampeni na nchi yetu ni moja kila mtu anauhuru wa kwenda kusikiliza sera za wagombea Sasa utaruhusuje watu wapondwe mawe wakati tunahitaji umoja wa kitaifa hapo mnataka kuonyesha CCM ni watu wa Shari na hatujielewi tena huyo mgeni akija huko apewe makaribisho ya upendo mpaka mwenyewe aone aibu, tunahitaji umoja na upendo.
Husna ndo nini Fundi?Chato kuna Husna. Sidhani kama jukwaa litatosha.
Amandla...
Kwaiyo ata mbowe ni mbwa koko ?? Bwa sheeTanzania hii hakuna mtu jasiri kama TAL tuliobaki ni mbwa koko ukitishwa kidogo mkia ndani pumbavuuuuu
Ndo ratiba ya tume inataka hivo, kama jpm ikungi alikwenda kwa nn lissu asiende chato?..Yes you did.
..but I don't think TL should campaign in Chato.
..I am afraid he will be met with VIOLENCE by ccm fanatics, or the police force.
mwambie baba ako akamtwange
Uje umsindikizeSafi sana, naomba lissu aende kaangalie huo uwanja uliojengwa na mayanga shambani kwa magu huko chato, badala ya wanachato Kupewa maji wanajengewa uwanja wa ndege
Ni mwanamama jasiri sana kiongozi wa bawaacha mkoa wa geita na mwenyeji wa chatoHusna ndo nini Fundi?