Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kutinga Chato keshokutwa

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kutinga Chato keshokutwa

Mabeberu wanawapa msaada kumbe tulia jike wewe upandwe sasa
Kwanza ubalozi wa Marekani na shareholders wa BOEING inabidi wasikilize hii clip huyu mtu wao anaponda ununuzi wa ndege na kuuita ushenzi na upumbavu hataki Tanzania inunue ndege kwao wao wakose soko.HIVYO ni mpiga vita wa soko lao la ndege

Pili mabalozi wote wa nje wanaoishi Tanzania wasikilize hii Clip hataki wajengewe daraja waendelee kusota kwenye foleni pamoja na kuwa nchi zao ndizo hutoa misaada kibao kwa Tanzania ikiwemo matibabu yake mwenyewe Lisu ubelgiji na safari zake kibao za ulaya na marekani

Anawapiga vita hadi mabalozi waziwazi bila kificho wakati pesa za ujenzi wamezitoa wao.Can you imagine?

lingine kumsaidia tu Lisu viwanja vyote vya ndege toka milipuko ya september 11 ya kigaidi sio tourism place tena ukienda uwe na safari au unamsindika msafiri.Kwa hiyo kama ataenda na ndege Chato ruksa kutua lakini sio kwenda kwa ajili ya kitu kingine ikiwemo utalii.Alivyokuwa mbunge akiwa kamati husika ilikuwa ruksa kwenda kikazi sasa hivi yeye raia wa kawaida tu huwezi enda uwanja wa ndege kutalii kama zamani kabla ya mashambulizi ya kigaidi.NDIO maana zamani dar tulikuwa tukipanda hadi juu kwenye paa tunapiga picha ndege zikiruka na kutua bila shida na harusi tukifunga tulikuwa tukienda nazo Airport kuzurura na kupiga picha tupendavyo

AIRPORT za sasa dunia nzima zina restrictions on entry huwezi jiendea tu ohhh mimi nakuja kukagua majengo who are you?

Lingine Lisu anahangaika na confrontational politics hahitaji kura anatafuta tu ugomvi baada ya kukata tamaa kuona wazi hatashinda .HIVI kweli unaenda kishhari namna hiyo nyumbani kwa mtu unatukana vitu vilivyoko nyumbani kwake unategemea wazazi na ndugu wenye mtoto wao Magufuli unadhani watakupa hata kura moja? mzazi aweza kuwa mjinga au akili hana lakini huwezi kwenda nyumbani kwake ukamporomoshea matusi na kumdharau ukadhani ndio watoto na ndugu zake watakuona wa maana na kukupa kura.YOU DO MORE DAMAGE TO YOURSELF AND YOUR PARTY

Kule ni kwake najua anatafuta ugomvi na Magufuli akafanye vituko kule kwa makusudi kuonyesha yeye yuko tayari kupambana lakini ajue watu hawako pamoja naye kwenye hizo confrontational politics zake

GEITA anaenda for the second time alikuwa hapo GEITA KATORO naona kaishiwa anarudi tena
 
Hahahahahhaha waite nec wawasaidie kumfungia tena
Huyu jamaa akienda Chato airport ni mhalifu sawa na wahalifu wengine, atakuwa anafanya trespassing, kwa kutumia ulinzi shirikishi na police jamii, uhalifu wake utadhibitiwa.
 
NYIE matapeli wa kisiasa si mnasema hamtaki maendeleo ya vitu? miradi ya maji na nyie wapi na wapi?
Mradi wa maji ni maendeleo ya vitu? That's highly stupidity level of understanding! Watu kupata maji safi ndio maendeleo ya watu hayo, maendeleo ya vitu ni kama upuuzi wa kununua Dreamliner kwa mabilioni ya shilingi kisha kuipaki tuu pale JKNIA
 
Hahahahahhaha utajibeba Mwaka huu endelea kuweka akili matakoni
Paruaneni mi nipo Hapa Denmark nakula maisha kwanza nikirudi nikute hali shwari Jitahidini mparuane vzr

Pumbavu mkubwa wewe
Kwenye matako ya mama yako .
 
Mgombea urais wa CHADEMA, Bw. Tundu Lissu, keshokutwa Jumanne tarehe 13 Oktoba, ataenda kupiga kampeni kwenye ngome ya Rais Magufuli huko Chato.

Pia, kwa mujibu wake yeye mwenyewe, kabla ya kufanya mkutano wake huo, ataenda kuuangalia uwanja wa kimataifa wa ndege unaojengwa mjini humo.

Could be a moment of high drama.
View attachment 1597061
Akaangalie na atoe SIFA
 
We Pimbi unampangia pa kwenda ukiwa kama nani? Wewe jamba ulale, mnabweka bweka tu humu kama paka.

Ataenda kila sehemu, kufanya kampeni, na wenu mwambie aende Ikungi
Huyu jamaa bure kabisa yaani mafanikio yake ni kwenda Chato sasa kwenda mji ambao upo hapa Tanzania nako tuite mafanikio??
 
Hiyo chato imejengwa kwa pesa za Mama yako? Au ni Kodi zetu? Yaani mlivyo wajinga mnaweza zania mlichangushana kuujenga huo uwanja
Huyu jamaa akienda Chato airport ni mhalifu sawa na wahalifu wengine, atakuwa anafanya trespassing, kwa kutumia ulinzi shirikishi na police jamii, uhalifu wake utadhibitiwa.
 
Kuwa eneo la utalii? Muwe mna reson basi
Dr Magufuli akiwa viwanja vya Gymkhana Bukoba alisema serikali imejipanga kulifanya eneo la Kanda ya Ziwa kuwa eneo la utalii mkubwa kama ilivyo Kilimanjaro na Arusha na alieleza kuwa utalii utainua hiyo kanda kiuchumi.

Wale mliokuwa mkibeza uanzishaji mbuga za wanyama Mwanza, Kagera na Geita na ujenzi wa kiwanja cha ndege Chato mjipange upya hayo ni maandalizi kuelekea kukuza utalii mkubwa huko ambao utaongeza mzunguko wa pesa za ndani na za kigeni na ajira.
uwanja huo uko karibu na mbuga tatu zilizoanzishwa uwarahizishia wayalii wakitua waelekee mbugani kwenye yeyote kati ya tatu zilizoanzishwa ikiwemo mbuga ya Burigi iliyopo Chato na ile ya Ibanda ya Karagwe na ile ya Rumanyika ya Biharamulo

Mwanza tu pale mbuga ya saa nane Island iliyoko mjini kabisa utalii umeshika kasi kubwa sana baada ya kuhamisha wanyama toka maeneo mengine na kuwapeleka pale.
View attachment 1597084
 
Kwanza ubalozi wa Marekani na shareholders wa BOEING inabidi wasikilize hii clip huyu mtu wao anaponda ununuzi wa ndege na kuuita ushenzi na upumbavu hataki Tanzania inunue ndege kwao wao wakose soko.HIVYO ni mpiga vita wa soko lao la ndege

Pili mabalozi wote wa nje wanaoishi Tanzania wasikilize hii Clip hataki wajengewe daraja waendelee kusota kwenye foleni pamoja na kuwa nchi zao ndizo hutoa misaada kibao kwa Tanzania ikiwemo matibabu yake mwenyewe Lisu ubelgiji na safari zake kibao za ulaya na marekani

Anawapiga vita hadi mabalozi waziwazi bila kificho wakati pesa za ujenzi wamezitoa wao.Can you imagine?

lingine kumsaidia tu Lisu viwanja vyote vya ndege toka milipuko ya september 11 ya kigaidi sio tourism place tena ukienda uwe na safari au unamsindika msafiri.Kwa hiyo kama ataenda na ndege Chato ruksa kutua lakini sio kwenda kwa ajili ya kitu kingine ikiwemo utalii.Alivyokuwa mbunge akiwa kamati husika ilikuwa ruksa kwenda kikazi sasa hivi yeye raia wa kawaida tu huwezi enda uwanja wa ndege kutalii kama zamani kabla ya mashambulizi ya kigaidi.NDIO maana zamani dar tulikuwa tukipanda hadi juu kwenye paa tunapiga picha ndege zikiruka na kutua bila shida na harusi tukifunga tulikuwa tukienda nazo Airport kuzurura na kupiga picha tupendavyo

AIRPORT za sasa dunia nzima zina restrictions on entry huwezi jiendea tu ohhh mimi nakuja kukagua majengo who are you?

Lingine Lisu anahangaika na confrontational politics hahitaji kura anatafuta tu ugomvi baada ya kukata tamaa kuona wazi hatashinda .HIVI kweli unaenda kishhari namna hiyo nyumbani kwa mtu unatukana vitu vilivyoko nyumbani kwake unategemea wazazi na ndugu wenye mtoto wao Magufuli unadhani watakupa hata kura moja? mzazi aweza kuwa mjinga au akili hana lakini huwezi kwenda nyumbani kwake ukamporomoshea matusi na kumdharau ukadhani ndio watoto na ndugu zake watakuona wa maana na kukupa kura.YOU DO MORE DAMAGE TO YOURSELF AND YOUR PARTY

Kule ni kwake najua anatafuta ugomvi na Magufuli akafanye vituko kule kwa makusudi kuonyesha yeye yuko tayari kupambana lakini ajue watu hawako pamoja naye kwenye hizo confrontational politics zake

GEITA anaenda for the second time alikuwa hapo GEITA KATORO naona kaishiwa anarudi tena
Huna akili binti GEITA ....Chato,Bukombe hakifika bwiga wewe hata kimkoa chako hujui vitongoji vyake tahira weee
 
Lissu ni zaidi hypocrite ni muuaji kabisa hafai hata kuwa mwenyekiti wa kijiji
Muuaji kumzidi jiwe? Laana iliyo juu yenu hata jehanamu ni sehemu ya raha kwenu. Damu ya akina Mawazo, Akwilina na madiwani wawili wa chadema lazima ziwalilie. Hamtabaki salama.
 
Back
Top Bottom