Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kutinga Chato keshokutwa

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kutinga Chato keshokutwa

kwa ninavyowajua wapiga kura,Tundu lissu atapata tu mafuriko
 
Ikiwa chato au ikingu mtanganyika yeyote aweza kwenda
Knjaro huwa hawapigani hata kama hawakupendi bora wasuse mikutano kuliko kupigana
 
Chato kata nyingi zinaongozwa na chadema, Kule chato watu wanasema mzee ni kaburu hasa mpaka nyumbani
Uongo serikali za mitaa na kata zote Tanzania nzima viongozi Ni wa CCM Baada ya vyama vya siasa kugomea uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita .Huna haya kuongopa mchana kweupe?
 
Ww unajifanya hujui kama Lissu ni muuaji!! Subiri awaingize mabarabarani kama alivyosema uone mtakavyopukutika
Kamuua nani?

Lissu sio muuaji na barabarani tutaingia endapo neccm itafanya kinyume namatakwa ya wananchi waliowengi.
 
CHADEMA intelegensia hapo ndipo mnapoyumba sioni umuhimu wowote wa kwenda huko Chato.
Wekezeni maeneo ya kimkakati ambayo mnaungwa mkono ambayo uhakika wa kupata kura za kutosha upo.
Unayepanga ratiba hauna nia njema na TL.
Wekezeni nguvu Mwanza,Mara,Arusha,Kilimanjaro,Kigoma,Iringa,Mbeya,Songwe,Rukwa,Katavi,Morogoro,Mtwara na Tanga.
 
Awakumbushe fidia ya Ardhi kwa uwanja wa ndege Magufuli alilazimisha walipwe laki tatu badala ya 1,200,000 kwa ekari.
 
Imejengwa kwa kodi zetu sote zikiwemo za lisu, wats wrong akienda kuona kazi ya kodi yake??
Ccm sasa mnatikisa mpaka mikia
Kasema chato airport ni private airport anaenda kufanya Nini?
 
CHADEMA intelegensia hapo ndipo mnapoyumba sioni umuhimu wowote wa kwenda huko Chato.
Wekezeni maeneo ya kimkakati ambayo mnaungwa mkono ambayo uhakika wa kupata kura za kutosha upo.
Unayepanga ratiba hauna nia njema na TL.
Wekezeni nguvu Mwanza,Mara,Arusha,Kilimanjaro,Kigoma,Iringa,Mbeya,Songwe,Rukwa,Katavi,Morogoro,Mtwara na Tanga.
Inteligencia ya CHADEMA iliondoka na SLAA na LOWASA
Walikuwa nayo kali mno hadi inatisha.Ilikuwa linked hadi serikalini sekta zote ,polisi,majeshi hadi usalama wa taifa,taasisi za kiraia za kidini hadi mitaani

2015 Mungu tu alitunusuru CCM ilikuwa tuondoke .Asante kwa kazi kubwa ya kikosi namba mbili cha Mwalimu NYERERE cha mitaani kiliokoa jahazi

Sasa hivi hawana inteligencia ndio maana kutwa unaona Lisu anatukana vyombo vya dola wameshindwa kupenya majeshini
 
Tanzania hii hakuna mtu jasiri kama TAL tuliobaki ni mbwa koko ukitishwa kidogo mkia ndani pumbavuuuuu
Kiuhalisia JPM ni mwepesi sana.

Ni mtu ambaye ukimprovoke anakurupuka kwenye actions zake.

Lissu ameshajua udhaifu wa jamaa ndo maana anamsumbua nao.
 
Imejengwa kwa kodi zetu sote zikiwemo za lisu, wats wrong akienda kuona kazi ya kodi yake??
Ccm sasa mnatikisa mpaka mikia
Wakati uwanja unajengwa alikuwa ubelgiji kodi alilipa saa ngapi? Alete risit ya tra
 
Back
Top Bottom