USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Moshi hamkuwepoWajaribu waone, tutakuwepo chato kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moshi hamkuwepoWajaribu waone, tutakuwepo chato kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa
WASUKUMA popote walipo inatakiwa kuwa na msimamo mmoja tu kuhusu huyu nao ni kumnyima kura na kutokwenda mikutano yakeLissu anawadharau sana wasukuma
Halafu polisi watakuwa wapi na wanafanya nini?Chato wanaweza mpopoa, kawananga sana huyo Domo kaya Lisu
Mi msukuma ila sijaona hizo dharau hivi hamjui kipindi hiki watu wanatuchukia hasa wasukuma kwa ajili ya magufuliLissu anawadharau sana wasukuma
Na bukoba hawakuwepo? alipopolewa jiwe akadudumia ndani ya gari kwa spidi ya mweweMoshi hamkuwepo
Tumia hata akili kidogo baasi!Ulichokiandika ni uchafu mtupu,! Ameshindwa kununua maembe K/koo?Please wakati Mwingine acheni umalaya wa kisiasa tumieni akili zenyAnakwenda mara ngapi au ahamie huko kabisa maana kushinda K/Koo ananunua Maembe kumemshinda
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Wewe mwenyewe ndo sample za waume wakondefu unatukana wenzio mbavu za mbwa au una minyama uzembe unawaonea wivu wenzioNdio uone huyu jamaa kuja kweli, ikungi hamna maji anaongelea habari za wanawake weupe, anataka kwenda chato ambako shida ya maji umeme barabara ilishakwisha, aende karumwa na kyelu akaonje barabara za mbavu za mbwa Kama Zitto na salum mwalimu, ovyo
Kama wewe ulivyo hovyo ukute unachukiwa mtaa mzima kwa tabia zako za hovyoHuyu jamaa wa hovyo
Hapa Hai LISU alipozomewa hamkuwepo?Wajaribu waone, tutakuwepo chato kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa
Aende tu mbona magufuli alifika singida hata pumba wakisikiliza campen watafikisha ujumbe kwa watu wao..Yes you did.
..but I don't think TL should campaign in Chato.
..I am afraid he will be met with VIOLENCE by ccm fanatics, or the police force.
Neck fungieni huyu mtu..
Tz yetu wote hata wewe ukiwa rais so far wananchi wamekupa ridhaa hakuna shida,tatizo naliona ccm kujifanya dola ila elewa ccm ni chama Kama vilivyo vyama vingine na lengo la chama chochote Cha siasa ni kukamata Dora kwa niaba ya wananchi katika taifa husika ,tz kwanza vyama badae hatuitaji matatizo mshindi halali lazima hatangazwe, na tiyari mungu amjuaHuyu kibaraka akiwa Rais, Tanzania tu narudi kuwa watumwa kabisa. Ee Mungu tuepushe na hili balaa la Mbowe na genge lake.
Huyu kibaraka sasa naona hana sera kabisa! Anahangaika kama maharage yakiwa kwenye sufulia ya kipikwa lakini tarehe 28/10/2020 yataiva tu. Anafikiri urais ataupata kupitia Kanda ya Ziwa asahau kabisa anapoteza muda wake tu huyu kibaraka wa mabeberu!!Mgombea urais wa CHADEMA, Bw. Tundu Lissu, keshokutwa Jumanne tarehe 13 Oktoba, ataenda kupiga kampeni kwenye ngome ya Rais Magufuli huko Chato.
Pia, kwa mujibu wake yeye mwenyewe, kabla ya kufanya mkutano wake huo, ataenda kuuangalia uwanja wa kimataifa wa ndege unaojengwa mjini humo.
Could be a moment of high drama.
View attachment 1597061
Watu wa kipekee kwenye taifa hili niTanzania hii hakuna mtu jasiri kama TAL tuliobaki ni mbwa koko ukitishwa kidogo mkia ndani pumbavuuuuu
Kwa taarifa yako Chato ndio utajua kuwa Jiwe hana nafasi hadi kwao.Chato wanaweza mpopoa, kawananga sana huyo Domo kaya Lisu
ujasiri gani? wacha kampeni ziishe uone atakavyo Tereza mbele kwa li AmsterdamTanzania hii hakuna mtu jasiri kama TAL tuliobaki ni mbwa koko ukitishwa kidogo mkia ndani pumbavuuuuu
Hivi huwa unaelewa kinachozungumzwa? Mbona siku zinavyosonga mbele uwezo wako wa akili unazidi kushuka?ANGALIENI unafiki wa Lisu kwao Ikungi anaongelea barabara na maji kwingine anasema maendeleo ya vitu hayana maana .MSIKILIZE MNAFIKI huyu
NYIE matapeli wa kisiasa si mnasema hamtaki maendeleo ya vitu? miradi ya maji na nyie wapi na wapi?Kwa taarifa yako Chato ndio utajua kuwa Jiwe hana nafasi hadi kwao.
Huo uwanja wenyeji wanahoji wa nini wakati hata maji tuu ni shida na ziwa liko hapo jirani?
Mimi napita kila nyumba yenye msukuma kumpigia kampeni lisu tz hatuna ukabila mbona, hapa nasubiri msg ya mshua kuhamasisha kumpigia kura magufuli nimpe maneno mazito kidogoWASUKUMA popote walipo inatakiwa kuwa na msimamo mmoja tu kuhusu huyu nao ni kumnyima kura na kutokwenda mikutano yake