habari za kishirikiana kama hizo za sijui nyumbu ama chawa ni useless na nonsense narrative kwa upande wangu π
Jack all trades...diplomasia, elimu, kilimo, ufugaji, dini ,siasa za kitaifa na kimataifa π
sasa mimi nikuite wew nyumbu ati kwasababu unakurupuka kujibu mambo rahisi kwa mihememko na ghadhabu itasaidia nini kwa mfano?πUnadhani kuna chawa mmoja huzikubali ni zake?
Believe me hata Mwijak*, Lucas Mwashambwa au wale wengine hawakubali kuwa ni machawa.
Hizo ni tabia sisi ma observer tunakuona nazo.
Utazikataa je sasa? π€£π€£
elezea vizuri kwa ufupi kwa manufaa ya wadau wa JF πJack all trades...
ndio maana Hayati E.N.Lowasa aliporejea CCM alisema asiulizwe amarudi kufanya nini, bali amarudi nyumbani πBila kusahau siasa si uadui
sasa mimi nikuite wew nyumbu ati kwasababu unakurupuka kujibu mambo rahisi kwa mihememko na ghadhabu itasaidia nini kwa mfano?π
mimi nadeal na mambo ya msingi na ya maana yale ambayo wanainchi wanataka kujua, kujifunza na kuongeza ufahamu wa mambo ya mbalimbali kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa...
mengine siwezi babaika nayo hata π
excuse me,Uzuri unajua sikurupuki, siyo nyumbu na sina uadui na mtu.
Kwani tabia ya mtu inajificha?
Kwani wewe hujui kuwa ni chawa wa mama?
Tanganyika imeshazikwa siku nyingi.......Simba wa Tanganyika.
..Simba mwenye makali na machachari.
Tanganyika imeshazikwa siku nyingi.......Simba wa Tanganyika.
..Simba mwenye makali na machachari.
Mahambe Ikungi...Hahaaaa....
ADHD huanza utotoni na kuendelea kadri mtu akuavyo.
Tuwekee ushahidi kuwa TL alishawahi kuwa nayo hata kwa miaka 3 mfululizo kwenye ukuaji wake.
Mtasema yote na mtatulia na kupotea kama ambavyo huwa una activate ID yako fulani kwa muda fulani na kupotea kisha unakuja na ID nyingine.
[emoji1787][emoji1787]
[emoji7][emoji7]mwana taaluma mbobevu kama mimi siwezi kupuuza maoni au mtazamo wa mwananchi yeyote awe dhaifu ama mwenye nguvu katika medani ya siasa,
nguvu na kiwango cha kumfuatilia, kupambana nae, na hatimae kumdhibiti kwa hoja, mawazo mapya na fikra mbadala ni kile kile...
na hivyo ndivyo demokrasia inahitaji tuishi [emoji205]
[emoji7]mengine sifahamu,
muhimu sana kuzingatia maisha ya ndani ya demokrasia,
hata kwenye 48 laws of power, ndrugu yangu Robert Greene ametahafharisha mapema kuepuka kumpuuza mshindani wako hata awe dhaifu kiwango gani, kama ni ngumi mpe ile ile kali kabisa ya upper cut chembe la kidevu, lazima akae...
hakuna huruma, hakuna aibu wala kutegeana kwenye mapambano [emoji205]
Nyumbani kwake ndugu TL kuna "CCTV CAMERA"...Jina la Abdul litatajwa baada ya sentensi hii hapa chini.
""Nilikuwa sijawahi kufuatwa na mtu anipe hela ili niache misimamo yangu fulani fulani. Mara hii nimefuatwa..........,..""
Haya tena kile chuma cha pua kwenye ubora wake kitakuwepo ITV kumwaga shule.
Wengine wanakiita Simba.
Wengine hawachoki kukifanyia fitna.
Ama kwa hakika wengine kwetu huyu:
View attachment 3079045
Ndiye yule mwanetu mpendwa tunaye pendezwa naye!
Hadhara hizi zianze kuwa na mpangilio maalum ya kuongelea maswala mazito yanayo ikabili nchi yetu sasa hivi. Hii iwe fursa ya kuanza kuwafahamisha wananchi mwelekeo inakopelekwa nchi hii.
Kwa mfano:
Kama itampendeza Tundu Lissu, binafsi ningeomba azungumzie maana halisi ya maigizo haya ya kubadili mawaziri kila mara anako fanya huyu 'Chura Kiziwi'.
Kwa maoni yangu ni kwamba huyu mwanamke anatumia njia hiyo kuwatia woga mawaziri hao.
Chukulia alivyo fanya kwa kuwapumzisha Kabuti na mwenzake Lukubi; halafu anawarudisha kana kwamba alikuwa amewapeleka kuchukuwa mafunzo mahli!
Hii ni mbinu ya kuwashughulikia hawa viongozi, halafu anapoona ni hao hao atakao wategemea kumrudisha madarakani, anakimbia haraka kuwarudisha. Hali ni hiyo hiyo hata katika ngazi nyingine za uongozi ndani ya chama na serikalini. Akina Makonda ni mfano halisi.
Jambo la pili ambalo ningeomba atafute njia za kulizungumzia ili wananchi walielewe, ni hili la huyo mwanamke kujipa 'u'Chura Kiziwi' eti asisiskie kelele za waTanzania, huku akiendelea kufanya uharibifu mkubwa kwa nchi yetu.
Huku ni kuwadharau watu anao waongoza.
Hili linafaa kuelezwa kwa wananchi walielewe vizuri kabisa. Hii nchi hatuwezi kuswagwa tu kama mifugo.
Mfano hapa ni: Pesa ya kuwahamisha Maasai ilitoka wapi, na uamzi wa kuhamisha raia wa nchi hii mjadala wake ulifanyika wapi na lini.
Nyumbani kwake ndugu TL kuna "CCTV CAMERA"...
Kwa elimu yake ya "evidence" angeziachia hizo "CCTV FOOTAGE" tuzione.....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787]
Nachomwa sindano hapo...
Wala simsumbui nesi zaidi ya kuugulia maumivu...mimi ni mtulivu na sirukiruki kama TL..
Kamchome sindano ndugu TL uone kama HAITAMKATIKIA....[emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app