Tundu Lissu: Magufuli alitufanyia mambo mabaya lakini hakufanya biashara na Rasilimali za Nchi

Tundu Lissu: Magufuli alitufanyia mambo mabaya lakini hakufanya biashara na Rasilimali za Nchi

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Lissu alipokuwa katika mkutano wa hadhara Kisarawe jana 9/7/2023 alisema, Magufuli alitufanyia mambo mengi sana mabaya, aliongoza nchi kama mali yake binafsi, lakini asisingiziwe kwenye kufanya biashara na Raslimali za nchi yetu kama alivyofanya Mwinyi, Mkapa au Kikwete, na kwamba aliwavuruga sana waliofanya biashara na Raslimali za Nchi yetu na akina Kiwete na Mkapa.

Lissu akasisitiza kwenye hili la kukabidhi Nchi kwa Wageni tusimsingizie, ni dhambi kumsemea uongo.


Wakuu mnasemaje?
 
Mkataba wa hovyo kuwahi kutokea tangu kuumbwa kwa Tanganyika, halafu aliyesababisha huo ujinga anajiona shujaa aliyeziba masikio hataki kusikia anachoambiwa ili atuondoe huko.

Huyu kwangu ni sawa na chizi anayetembea mtupu barabarani huku anakata kiuno kwa mwendo wa maringo.
 
IMG_7769.jpg
 
Lissu alipokuwa katika mkutano wa hadhara Kisarawe jana 9/7/2023 alisema, Magufuli alitufanyia mambo mengi sana mabaya, aliongoza nchi kama mali yake binafsi, lakini asisingiziwe kwenye kufanya biashara na Raslimali za nchi yetu kama alivyofanya Mwinyi, Mkapa au Kikwete, na kwamba aliwavuruga sana waliofanya biashara na Raslimali za Nchi yetu na akina Kiwete na Mkapa.

Lissu akasisitiza kwenye hili la kukabidhi Nchi kwa Wageni tusimsingizie, ni dhambi kumsemea uongo.

Wakuu mnasemaje?
Absolutely.
Ni kweli kabisa kwamba JPM ana mabaya yake, tena ni mengi tu, lakini kuhusu suala la kuuza nchi kwa raia wa kigeni KAMWE HAHUSIKI.

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
 
Lissu alipokuwa katika mkutano wa hadhara Kisarawe jana 9/7/2023 alisema, Magufuli alitufanyia mambo mengi sana mabaya, aliongoza nchi kama mali yake binafsi, lakini asisingiziwe kwenye kufanya biashara na Raslimali za nchi yetu kama alivyofanya Mwinyi, Mkapa au Kikwete, na kwamba aliwavuruga sana waliofanya biashara na Raslimali za Nchi yetu na akina Kiwete na Mkapa. ...
Kama ni kweli Lissu katoa kauli hiyo, basi utakuwa mtaji wao mkubwa wa kisiasa kwenye Chaguzi zijazo. Hoja yangu inazingatia kuwa, viongozi wa CCM, wakati wa Awamu ya sasa ya Serikali, wamekuwa wakimkejeli mwendazake, na kumgeuka badala ya kujenga pale alipoishia au kuendeleza mazuri yake.
 
Badala ya kuchutama yeye anazididi kichanua alisikika wakili msomi mmoja akisema hayo
Mkataba wa hovyo kuwahi kutokea tangu kuumbwa kwa Tanganyika, halafu aliyesababisha huo ujinga anajiona shujaa aliyeziba masikio hataki kusikia anachoambiwa atuondoe huko, huyu kwangu ni sawa na chizi anayetembea mtupu barabarani huku anakata kiuno kwa mwendo wa maringo.
 
Mkataba wa hovyo kuwahi kutokea tangu kuumbwa kwa Tanganyika, halafu aliyesababisha huo ujinga anajiona shujaa aliyeziba masikio hataki kusikia anachoambiwa atuondoe huko, huyu kwangu ni sawa na chizi anayetembea mtupu barabarani huku anakata kiuno kwa mwendo wa maringo.
Saa100 alijoona kichwa baada ya kupewa PHD ya bure
 
Lissu alipokuwa katika mkutano wa hadhara Kisarawe jana 9/7/2023 alisema, Magufuli alitufanyia mambo mengi sana mabaya, aliongoza nchi kama mali yake binafsi, lakini asisingiziwe kwenye kufanya biashara na Raslimali za nchi yetu kama alivyofanya Mwinyi, Mkapa au Kikwete, na kwamba aliwavuruga sana waliofanya biashara na Raslimali za Nchi yetu na akina Kiwete na Mkapa.

Lissu akasisitiza kwenye hili la kukabidhi Nchi kwa Wageni tusimsingizie, ni dhambi kumsemea uongo.


Wakuu mnasemaje?
Cha ajabu ni kipi? Magufuli ni mjamaa ndio maana alifukuza wawekezaji,Samia ni Mwanamageuzi anakaribisha wawekezaji..

Lisu ni mjamaa kama Magufuli hivyo ni watu hatari na wasiofaa Kwa Ustawi wa watu maana wanaendeleza umaskini,uongo na propaganda
 
Back
Top Bottom