Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Weee ndio alivyosema hiv?? Doohh. Hii noma kama kwel alisema hivyoBadala ya kuchutama yeye anazididi kichanua alisikika wakili msomi mmoja akisema hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee ndio alivyosema hiv?? Doohh. Hii noma kama kwel alisema hivyoBadala ya kuchutama yeye anazididi kichanua alisikika wakili msomi mmoja akisema hayo
UKWELI huu, juu ya Uzalendo wa Magu, kamwe ndugu Erythrocyte haezi ukubali.Ukweli ni mzuri sana
Akili za upinde zikikukalia Sana kichwani unakuwaga MTU wa ajabu ajabu Sana.Lissu alipokuwa katika mkutano wa hadhara Kisarawe jana 9/7/2023 alisema, Magufuli alitufanyia mambo mengi sana mabaya, aliongoza nchi kama mali yake binafsi, lakini asisingiziwe kwenye kufanya biashara na Raslimali za nchi yetu kama alivyofanya Mwinyi, Mkapa au Kikwete, na kwamba aliwavuruga sana waliofanya biashara na Raslimali za Nchi yetu na akina Kiwete na Mkapa.
Lissu akasisitiza kwenye hili la kukabidhi Nchi kwa Wageni tusimsingizie, ni dhambi kumsemea uongo.
Wakuu mnasemaje?
Jamii ya lisu na Magufuli ni jamii moja akishashiba yeye kifikra inamtuma nyote pia mmeshiba,tuwchane naye tusonge mbele .Cha ajabu ni kipi? Magufuli ni mjamaa ndio maana alifukuza wawekezaji,Samia ni Mwanamageuzi anakaribisha wawekezaji..
Lisu ni mjamaa kama Magufuli hivyo ni watu hatari na wasiofaa Kwa Ustawi wa watu maana wanaendeleza umaskini,uongo na propaganda
Ni watu wapumbavu sana,harafu hayanaga solutionJamii ya lisu na Magufuli ni jamii moja akishashiba yeye kifikra inamtuma nyote pia mmeshiba,tuwchane naye tusonge mbele .
Mwenye akili umesaidia nini taifa zaidi ya kuwa chawa humuNi watu wapumbavu sana,harafu hayanaga solution
Aliebuni hii bendera kakosea; na ndio tatizo huanzia hapo. Bendera haina blue. Hii inatakiwa ibadilike kwa kuingiza Rangi hiyo na ianze kutumika
Tafsiri ya chawa ni Yako ila Msaada wangu mkubwa ni kuwapa Elimu na Kuunga Mkono sera za Mageuzi zimazozalisha Ajira,utajiri na maendelea..Mwenye akili umesaidia nini taifa zaidi ya kuwa chawa humu
Anajikoooo, anajikoshaaaa.Lissu alipokuwa katika mkutano wa hadhara Kisarawe jana 9/7/2023 alisema, Magufuli alitufanyia mambo mengi sana mabaya, aliongoza nchi kama mali yake binafsi, lakini asisingiziwe kwenye kufanya biashara na Raslimali za nchi yetu kama alivyofanya Mwinyi, Mkapa au Kikwete, na kwamba aliwavuruga sana waliofanya biashara na Raslimali za Nchi yetu na akina Kiwete na Mkapa.
Lissu akasisitiza kwenye hili la kukabidhi Nchi kwa Wageni tusimsingizie, ni dhambi kumsemea uongo.
Wakuu mnasemaje?
Aliebuni hii bendera kakosea; na ndio tatizo huanzia hapo. Bendera haina blue. Hii inatakiwa ibadilike kwa kuingiza Rangi hiyo na ianze kutumika
Asiyefanya kazi na asile ni moja ya kauli alizokuwa anatumia Magufuli, hapa kazi tu nayo ni falsafa ya Magufuli. Unadhani tukizingatia kazi kwa juhudi na maarifa nchi itakuwaje maskiniCha ajabu ni kipi? Magufuli ni mjamaa ndio maana alifukuza wawekezaji,Samia ni Mwanamageuzi anakaribisha wawekezaji..
Lisu ni mjamaa kama Magufuli hivyo ni watu hatari na wasiofaa Kwa Ustawi wa watu maana wanaendeleza umaskini,uongo na propaganda
Kwani huyo kaingia mkataba kipindi cha Rais yupiProfessor John Thornton wa ACACIA gold siyo mgeni? Tundu usitufanye watanzania wajinga
Maneno bila vitendo ndio nini hasa? Akikamilisha mradi upi kwa.miaka 6?Asiyefanya kazi na asile ni moja ya kauli alizokuwa anatumia Magufuli, hapa kazi tu nayo ni falsafa ya Magufuli. Unadhani tukizingatia kazi kwa juhudi na maarifa nchi itakuwaje maskini
Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
blue ni bahari na mito. na maziwa; ulisoma Jiografia kweli?blue humaanisha visiwa.
Kwani hujui hii ni ya tanganyika na rang ya blue ni kutoka ktk bendera ya zenji
Ukitaka kujua nchi kama Marekani ni ya kijamaa au kibepari jaribu kuingilia maslahi yake usubirie reactionTafsiri ya chawa ni Yako ila Msaada wangu mkubwa ni kuwapa Elimu na Kuunga Mkono sera za Mageuzi zimazozalisha Ajira,utajiri na maendelea..
Sio upuuzi na ujinga wa Wajamaa kusingizia Wageni propaganda na ujinga mwingine kama.huo unaoleta umaskini.
Boss, umepatwa na nini Tena, JPM huyu huyu uliye kuwa nampigia makofi mengi mengi, leo yuko kwenye kundi lako la watu hatari!!!!Cha ajabu ni kipi? Magufuli ni mjamaa ndio maana alifukuza wawekezaji,Samia ni Mwanamageuzi anakaribisha wawekezaji..
Lisu ni mjamaa kama Magufuli hivyo ni watu hatari na wasiofaa Kwa Ustawi wa watu maana wanaendeleza umaskini,uongo na propaganda
Kulinda rasilimali za nchi ,Ujenzi wa hospital na vituo vya afya nchini , usambazaji wa umeme vijijini, ujenzi wa barabara ,ufufuaji wa ATCL,miradi mingi ya maji, vingine kavisome mwenyewe kwenye kwenye utekelezaji wa ilani ya chama chako 2015-2020Maneno bila vitendo ndio nini hasa? Akikamilisha mradi upi kwa.miaka 6?
Ziko bendera za nchi mbalimbali nyingi ambazo Zina rasilimali maji nyingi lakini hazipo kwenye benderablue ni bahari na mito. na maziwa; ulisoma Jiografia kweli?