Ndio hapo watu wanapopaswa kumuamini Tundu Lissu kuwa SIO MTU WA KUSEMA UONGO.Absolutely.
Ni kweli kabisa kwamba JPM ana mabaya yake, tena ni mengi tu, lakini kuhusu suala la kuuza nchi kwa raia wa kigeni KAMWE HAHUSIKI.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Wakati mwingine huwa najiuliza ni kipi kilichomsukuma aliyevujisha ule mkataba akafanya vile?Huyu "anayeziba masikio" sasa anawaona waTanzania wote ni wajinga, isipokuwa watu wake anaowatumia waliomo Bungeni, Kwenye chama chake, kama wale Central Committee na NEC; watu anaowafuga yeye, ndio walevu, wanaojua mambo mazuri anayofanya Samia.
Sasa kawaamurisha waje wakawape "elimu" hawa wajinga, waTanzania wasiojua kusoma na kuelewa kilichoandikwa ndani ya nyaraka ya "Makubaliano".
Nchi nzima hii, wote tumeshindwa kujua tofauti iliyopo, kati ya "Makubaliano" na "Mkataba."
Kwamba "Makubaliano" siyo mkataba; na kama kuna mambo yasiyofaa huko kwenye "Makubaliano", wananchi wasiwe na hofu, kwani watu wetu, waliotutengenezea "Makubaliano" hayo mabovu, watakapoingia kwenye "Mkataba" watakuwa makini sana katika kulinda maslahi ya nchi yetu!
Hivi ndivyo CCM na Samia wanavyowaona waTanzania walivyo wajinga kabisa!
Ila kuna jambo moja atakuwa analisikitikia sana Samia wakati huu.
Nina hakika hakujua alipokuwa anafanya mipango yake ovu kwa nchi anayoiongoza hakujua kwamba jambo hilo lingeibuka na kuvuruga kila kitu.
Hakujua kuwa ataliamsha la Tanganyika.
Sasa italazimu ashughulike na hilo, huku akiwa "ameziba masikio" asisikie kelele za Bandari
Hebu Kwanza.Wakati mwingine huwa najiuliza ni kipi kilichomsukuma aliyevujisha ule mkataba akafanya vile?
Kwasababu hawa jamaa wamekuwa wakituchezea kwa mikataba ya hovyo miaka mingi sana, kwanini huu wa bandari ukawa mwisho wa kufichwa?
Nikaona inawezekana mpaka aliyeamua kuvujisha, nikiamini kabisa ni mwenzao, anayewezekana akawa anakula 10% nao, lakini alivyoona huu wa bandari hauna ukomo, waarabu watakuja kujitawala ndani ya nchi yetu, na uwepo wao hautakuwa na faida yoyote kiuchumi kwetu, waarabu watatunyonya mpaka Oxygen yetu, jamaa akaona hapana, kwa hili nawasemea kwa wenye nchi yao.
Ndio akauvujisha mkataba wa hovyo kabisa kuwahi kutokea katika historia ya nchi yetu.
Ile nyaraka ilivujishwa, wajinga hawakuwa na nia ya kuitoa public, ndio maana licha ya IGA kutaka maoni ya wananchi yachukuliwe, lakini hakuna mwananchi yeyote aliyeweza kuuona ule mkataba/makubaliano mpaka ilipofika siku ya kwenda kutoa maoni yao.Hebu Kwanza.
Hivi ile nyaraka ya "Makubaliano" (inayohusu IGA), kumbe ilivujishwa?
Mimi nikadhani kuwa labda kwa vile ililazimu kupitishwa Bungeni kama maigizo, ikawalazimu waitoe na ndipo wananchi walipojionea mambo ya ajabu kabisa?
Sasa serikali inasema waziwazi, kwamba "Mkataba" utakaofuata kwa utekelezaji wa miradi mbalimbali, hiyo itakuwa ni siri; haitatoka nje watu waone kilichomo ndani ya mikataba hiyo.
Kama 'IGA' imekuwa mbovu kiasi hiki, hiyo mikataba itakayokuwa siri tutegemee mambo mazuri kweli kwa taifa letu?
kama kweli jambo hili litapita hivi hivi na kuendelea mbele, nitaishangaa sana nchi yetu hii tulivyo lala kiakili.
Licha ya upumbavu kama huu, bado unakuta watu na akili zao timamu wakisema bila aibu kwamba serikali inayo nia njema!Na jamaa bila aibu hili zoezi wakalitengea siku moja pekee, yani mtanganyika toka Sumbawanga, Songea, Kilimanjaro, na Lindi, wote wasafiri kama ni kwa ungo au vyovyote wawezavyo, ilimradi kesho yake saa saba mchana wawepo Dodoma kutoa maoni yao kwa kitu wasichokifahamu.
Huyu anawehuka sasa! Samia kafanya biashara gani?Lissu alipokuwa katika mkutano wa hadhara Kisarawe jana 9/7/2023 alisema, Magufuli alitufanyia mambo mengi sana mabaya, aliongoza nchi kama mali yake binafsi, lakini asisingiziwe kwenye kufanya biashara na Raslimali za nchi yetu kama alivyofanya Mwinyi, Mkapa au Kikwete, na kwamba aliwavuruga sana waliofanya biashara na Raslimali za Nchi yetu na akina Kiwete na Mkapa.
Lissu akasisitiza kwenye hili la kukabidhi Nchi kwa Wageni tusimsingizie, ni dhambi kumsemea uongo.
Wakuu mnasemaje?
Tukana matusi yooote lkn tambua huna unachoweza kubadili.Mkataba wa hovyo kuwahi kutokea tangu kuumbwa kwa Tanganyika, halafu aliyesababisha huo ujinga anajiona shujaa aliyeziba masikio hataki kusikia anachoambiwa ili atuondoe huko.
Huyu kwangu ni sawa na chizi anayetembea mtupu barabarani huku anakata kiuno kwa mwendo wa maringo.
Hapana, huyo sio mgeni, ni Mzungu.Professor John Thornton wa ACACIA gold siyo mgeni? Tundu usitufanye watanzania wajinga
Yes, wote ni wajinga tu kwa sababu mmeishia kupiga miyowe tu mitandaoni wakati mama yupo kimya.Huyu "anayeziba masikio" sasa anawaona waTanzania wote ni wajinga, isipokuwa watu wake anaowatumia waliomo Bungeni, Kwenye chama chake, kama wale Central Committee na NEC; watu anaowafuga yeye, ndio walevu, wanaojua mambo mazuri anayofanya Samia.
Sasa kawaamurisha waje wakawape "elimu" hawa wajinga, waTanzania wasiojua kusoma na kuelewa kilichoandikwa ndani ya nyaraka ya "Makubaliano".
Nchi nzima hii, wote tumeshindwa kujua tofauti iliyopo, kati ya "Makubaliano" na "Mkataba."
Kwamba "Makubaliano" siyo mkataba; na kama kuna mambo yasiyofaa huko kwenye "Makubaliano", wananchi wasiwe na hofu, kwani watu wetu, waliotutengenezea "Makubaliano" hayo mabovu, watakapoingia kwenye "Mkataba" watakuwa makini sana katika kulinda maslahi ya nchi yetu!
Hivi ndivyo CCM na Samia wanavyowaona waTanzania walivyo wajinga kabisa!
Ila kuna jambo moja atakuwa analisikitikia sana Samia wakati huu.
Nina hakika hakujua alipokuwa anafanya mipango yake ovu kwa nchi anayoiongoza hakujua kwamba jambo hilo lingeibuka na kuvuruga kila kitu.
Hakujua kuwa ataliamsha la Tanganyika.
Sasa italazimu ashughulike na hilo, huku akiwa "ameziba masikio" asisikie kelele za Bandari
Kelele za chura tu hizo.Wakati mwingine huwa najiuliza ni kipi kilichomsukuma aliyevujisha ule mkataba akafanya vile?
Kwasababu hawa jamaa wamekuwa wakituchezea kwa mikataba ya hovyo miaka mingi sana, kwanini huu wa bandari ukawa mwisho wa kufichwa?
Nikaona inawezekana mpaka aliyeamua kuvujisha, nikiamini kabisa ni mwenzao, anayewezekana akawa anakula 10% nao.
Lakini alivyoona huu wa bandari hauna ukomo, waarabu watakuja kujitawala ndani ya nchi yetu, na uwepo wao hautakuwa na faida yoyote kiuchumi kwetu, wanakuta mazingira yote wameshatengenezewa, wao ni kuchuma faida na kupeleka kwao milele!, jamaa akaona hapana, kwa hili nawasemea kwa wenye nchi yao.
Ndio akauvujisha mkataba wa hovyo kabisa kuwahi kutokea katika historia ya nchi yetu.
Mtahangaika sn humu. Mnajibizana na kutiana ujinga wenyeweHebu Kwanza.
Hivi ile nyaraka ya "Makubaliano" (inayohusu IGA), kumbe ilivujishwa?
Mimi nikadhani kuwa labda kwa vile ililazimu kupitishwa Bungeni kama maigizo, ikawalazimu waitoe na ndipo wananchi walipojionea mambo ya ajabu kabisa?
Sasa serikali inasema waziwazi, kwamba "Mkataba" utakaofuata kwa utekelezaji wa miradi mbalimbali, hiyo itakuwa ni siri; haitatoka nje watu waone kilichomo ndani ya mikataba hiyo.
Kama 'IGA' imekuwa mbovu kiasi hiki, hiyo mikataba itakayokuwa siri tutegemee mambo mazuri kweli kwa taifa letu?
kama kweli jambo hili litapita hivi hivi na kuendelea mbele, nitaishangaa sana nchi yetu hii tulivyo lala kiakili.
Mnajazana tu ujinga.Ile nyaraka ilivujishwa, wajinga hawakuwa na nia ya kuitoa public, ndio maana licha ya IGA kutaka maoni ya wananchi yachukuliwe, lakini hakuna mwananchi yeyote aliyeweza kuuona ule mkataba/makubaliano mpaka ilipofika siku ya kwenda kutoa maoni yao.
Ilikuwa wanajiendea tu kutoa maoni, kama ni "makubaliano" yanayohusu maoni yenyewe, watapewa huko huko wakifika!.
Na jamaa bila aibu hili zoezi wakalitengea siku moja pekee, yani mtanganyika toka Sumbawanga, Songea, Kilimanjaro, na Lindi, wote wasafiri kama ni kwa ungo au vyovyote wawezavyo, ilimradi kesho yake saa saba mchana wawepo Dodoma kutoa maoni yao kwa kitu wasichokifahamu.
Wakati wangeweza kutumiwa hayo makubaliano wakae nayo hata wiki nzima kabla ya siku husika ili wayachambue vizuri, lakini wahuni walikuwa na nia mbaya kuanzia mwanzo mpaka mwisho.
Hili kama litapita hivi hivi, basi tusubiri kizazi kingine kije kuikomboa Tanganyika, sisi tutakuwa sawa na maiti zinazotembea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]I am sure huko JPM alipo atakuwa anachekea chooni, haha
Ndio maana narudia tena jipige kifuani useme mimi ni mpumbavuWapi ambapo alikopa akajenga Vituo vya Afya? By the way kwani kukopa kujenga Vituo Kuna shida?
Huyo ni mzushi, mwongo na mnafiki,Lissu alipokuwa katika mkutano wa hadhara Kisarawe jana 9/7/2023 alisema, Magufuli alitufanyia mambo mengi sana mabaya, aliongoza nchi kama mali yake binafsi, lakini asisingiziwe kwenye kufanya biashara na Raslimali za nchi yetu kama alivyofanya Mwinyi, Mkapa au Kikwete, na kwamba aliwavuruga sana waliofanya biashara na Raslimali za Nchi yetu na akina Kiwete na Mkapa.
Lissu akasisitiza kwenye hili la kukabidhi Nchi kwa Wageni tusimsingizie, ni dhambi kumsemea uongo.
Wakuu mnasemaje?
kamfuate kaburini huyo shetani wako.R. I. P JPM. Hakika ulikuwa shujaa kweli kweli, mtu mzalendo, mtu wa haki, mtu wa watu kiongozi shupavu asiyeyumba kwenye misimamo.