Tundu Lissu: Magufuli alitufanyia mambo mabaya lakini hakufanya biashara na Rasilimali za Nchi

Kwa utawala wowote ule uliofitinika hapa duniani, hayo yaliyotokea ni mambo ya kawaida kabisa kutokea, ni kawaida sana.
 
Yes, wote ni wajinga tu kwa sababu mmeishia kupiga miyowe tu mitandaoni wakati mama yupo kimya.
Unataka wewe na mimi tujadili haya uliyo andika hapa chini?

Nitakupa jibu kamili ukishanieleza utayari wako wa kuyajadili hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…