Tundu Lissu: Mama Lowassa ni mwalimu wangu miaka 41 iliyopita

Tundu Lissu: Mama Lowassa ni mwalimu wangu miaka 41 iliyopita

Acha tabia mbaya hiyo,kwani hastahili kuwa na familia😁
Aendelee kumpambania Rais, mambo ya familia atuachie sisi.

Eenhe, umesema jimbo lipo wazi na una mtoto mmoja? Ana umri gani ili nimtafutie shule huko Norway na Baba yake kama yupo nimtafitie kazi hapo Goma DRC au pale Gaza ili awe na shughuli nyingi kidogo.
 
Aendelee kumpambania Rais, mambo ya familia atuachie sisi.

Eenhe, umesema jimbo lipo wazi na una mtoto mmoja? Ana umri gani ili nimtafutie shule huko Norway na Baba yake kama yupo nimtafitie kazi hapo Goma DRC au pale Gaza ili awe na shughuli nyingi kidogo.
🤣🤣🤣🤣 jamani jamani....mi nishawahi olewa ni mama wa watoto wawili,talaka 2021....nimechoka kuwa single kiukweli ila nikiona mnanichukulia poa na usinglemom wangu bora nife hivihivi(wanangu mama yangu hawezi kubali wachukuliwe kwenda pahala...katuzaa wawili tu hivyo wale ni Kama wanae....humgusi)
 
Mke wa Lowassa Mama Regina Lowassa kafundisha wengi waliosona Ilboru miaka ile ya wakina Lissu. Mnavyosikia English ya Lissu mwalimu wake wa kwanza wa English ni mama Regina Lowassa. Lakini kafundisha wengi ikiwa pamoja na mawakili kama Chipeta na Mpuya.
Mkuu punguza sifa Mwalimu wake wa kwanza wa English sio Regina
 
.....walikutana chuo kikuu....mwaka 1 wote wameingia 1974.....au 1975...kumbuka wote wametokea Arusha ilikuwa rahisi kujuana hata kabla....chuo...Mama ni wa Kondoa...maskani Arusha
Anha...hapo nimeelewa mkuu
 
Back
Top Bottom