To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Nishachukuliwa sasa....wewe kila siku waandika tu huchangamki🤒Nakupenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishachukuliwa sasa....wewe kila siku waandika tu huchangamki🤒Nakupenda
Nimeona Kabisa mkuu....daah🙁 MamaSamia2025 okoa jahazi tafadhali😒Hii ilikuwa zamani sio Sasa.
Didnt know thisMke wa Lowassa Mama Regina Lowassa kafundisha wengi waliosona Ilboru miaka ile ya wakina Lissu. Mnavyosikia English ya Lissu mwalimu wake wa kwanza wa English ni mama Regina Lowassa. Lakini kafundisha wengi ikiwa pamoja na mawakili kama Chipeta na Mpuya.
Mpuuze huyo. Si unaona anajiita MUCH KNOW?Nimeona Kabisa mkuu....daah🙁 MamaSamia2025 okoa jahazi tafadhali😒
Mwambie huyo. Mimi ni mtu mwenye hela nyingi.Ila MamaSamia2025 ana hela bwana🤣🤣🤣
Ukiachana na hela. Nitakaemwoa atapata bahati ya kuwa na watoto wenye akili mingi.Achague moja, watoto waende kusoma Norway na baba watoto aende Goma au Gaza au yeye atembezwe huko Nanjilinji na Kizimkazi akiwa amevaa t-shirt kubwa la #MguuKwaMguuNaMama hadi alemae na MamaSamia2025
Aidha Paul Makanda akiwa msibani amekiri Lowassa ndio mwanasiasa ambaye walimtukana lakini hakuwahi kunyanyua mdomo kumjibu mtu yeyote yule hapa Tanzania.
🤣🤣 mnunulie tu bodaboda akajimalize mwenyewe.Aendelee kumpambania Rais, mambo ya familia atuachie sisi.
Eenhe, umesema jimbo lipo wazi na una mtoto mmoja? Ana umri gani ili nimtafutie shule huko Norway na Baba yake kama yupo nimtafitie kazi hapo Goma DRC au pale Gaza ili awe na shughuli nyingi kidogo.
Utayapata usijali mpendwaNiyatoe wapi mkuu
🤣🤣🤣mkorofi wewe🙌🏿🤣🤣 mnunulie tu bodaboda akajimalize mwenyewe.
Hayo ndiyo mambo sasaUkiachana na hela. Nitakaemwoa atapata bahati ya kuwa na watoto wenye akili mingi.
SawasawaMpuuze huyo. Si unaona anajiita MUCH KNOW?
Mke wa Lowassa Mama Regina Lowassa kafundisha wengi waliosona Ilboru miaka ile ya wakina Lissu. Mnavyosikia English ya Lissu mwalimu wake wa kwanza wa English ni mama Regina Lowassa. Lakini kafundisha wengi ikiwa pamoja na mawakili kama Chipeta na Mpuya.
Tungependa kujua mwalimu wa mpendwa wetu Magufuli wa English alipokuwa form 1.
😁😁😁 Huna akili Kabisa!Mke wa Lowassa Mama Regina Lowassa kafundisha wengi waliosona Ilboru miaka ile ya wakina Lissu. Mnavyosikia English ya Lissu mwalimu wake wa kwanza wa English ni mama Regina Lowassa. Lakini kafundisha wengi ikiwa pamoja na mawakili kama Chipeta na Mpuya.
Tungependa kujua mwalimu wa mpendwa wetu Magufuli wa English alipokuwa form 1.
Mnaleta ngono kwenye siasa ninyi vp?? Hamieni fesibuku huko mkatongozane hapa ni siasa kubebishana hairuhusiwi🤣🤣🤣mkorofi wewe🙌🏿
Mke wa Lowassa Mama Regina Lowassa kafundisha wengi waliosona Ilboru miaka ile ya wakina Lissu. Mnavyosikia English ya Lissu mwalimu wake wa kwanza wa English ni mama Regina Lowassa. Lakini kafundisha wengi ikiwa pamoja na mawakili kama Chipeta na Mpuya.
Tungependa kujua mwalimu wa mpendwa wetu Magufuli wa English alipokuwa form 1.
Sawa mkuuMnaleta ngono kwenye siasa ninyi vp?? Hamieni fesibuku huko mkatongozane hapa ni siasa kubebishana hairuhusiwi