Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kesi na upepo maana upepo ndio hauonekani!!! Au ana kesi na Nani?Lisu yeye kakimbia kesi bado anaona zawenzake nyepesi ,lisu ni mwoga Sana
USSR
Hii kesi kabla hata haijaanza tayari step maza ameshajitia aibu.Lisu yeye kakimbia kesi bado anaona zawenzake nyepesi ,lisu ni mwoga Sana
USSR
Una kazi!Lisu yeye kakimbia kesi bado anaona zawenzake nyepesi ,lisu ni mwoga Sana
USSR
Lisu yeye kakimbia kesi bado anaona zawenzake nyepesi ,lisu ni mwoga Sana
USSR
Akila mvua msije kulialia humuHii kesi kabla hata haijaanza tayari step maza ameshajitia aibu.
Matokeo yake akafa yeyeHajakimbia kesi maana siku zote alikuwa na kesi hapa nchini. Kilichomkimbiza ni maagizo ya yule kiongozi muovu kuwa auwawe.
Kazi anayoifanya ni kuichafua nchi yetu. Hiyo kazi yake ni nyepesi kama Sufi.Ungejua kazi anayofanya huko mabalozi wetu wanapata tabu ungesema utoko huu,f***la sana
Lisu asipuuze mashtaka, apambane ashinde kesi kwanza. Hawezi jua kuna version ngapi za hiyo kesi.Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , amechambua mashitaka yaliyosomwa Mahakamani yanayomkabili Mwenyekiti wake Freeman Mbowe , huku akiyaita duni , mepesi na ya UONGO.
View attachment 1906115
Amedai ana uzoefu wa kutosha kwenye kesi za uzushi na uongo kama hii kutokana na kazi yake ya Uanasheria aliyoifanya kwa miaka mingi , ameahidi kushinda kesi hiyo ya kutunga mapema asubuhi .
Hebu msikilize mwenyewe ufaidi uhondo .
Nchi iliyochafuka kwa kesi za kutunga unataka kusingizia kuna anayeichafua ?Kazi anayoifanya ni kuichafua nchi yetu. Hiyo kazi yake ni nyepesi kama Sufi.
Kabla ya Lissu kuondoka, unafahamu kashitakiwa mara ngapi na kashinda mara ngapi? Enzi za Mkapa, Lissu alishitakiwa mara ngapi? Naona watu mnaongeavtu bila hata kujua mnachoongeaLisu yeye kakimbia kesi bado anaona zawenzake nyepesi ,lisu ni mwoga Sana
USSR
hujui kitu wewe, kwenye judiciary inayofanya kazi vizuri, hii si kesi hata kidogo. Sema kwa vile majaji wanapokea magizo anything can come out... ukiipeleka Kenya wanaifukuza nakwambia.Ogopa sana kesi hata kama ni kesi ya wizi wa kuku. Hata biblia inatutaka tupanate na washitaki wetu tusisubiri watufikishe mahakamani.
Lisu yeye kakimbia kesi bado anaona zawenzake nyepesi ,lisu ni mwoga Sana
USSR
Kazi anayoifanya ni kuichafua nchi yetu. Hiyo kazi yake ni nyepesi kama Sufi.