Tundu Lissu: Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe ni mepesi kuliko pamba, awaponda Waendesha Mashtaka

Tundu Lissu: Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe ni mepesi kuliko pamba, awaponda Waendesha Mashtaka

DPP majibu tafadhali.... utaifuta kesi ili uifungue upya ama utaomba review uongezee uzito wa hati ya mashitaka ? maana unamtia hatiani mtuhumiwa mashitaka ya UGAIDI bila evidence iliyo wazi - umewaza tu kwamba alitaka....umejuaje ama una roho mtakatifu ndani yako alikwambia kwamba Mbowe atakwenda kulipua vituo vya mafuta kwa idadi visivyojulikana hata maendeo vilivyoko.

Pia dola $250 zinaweza kufadhili UGAIDI? au kukodi wale bodaboda wapora pochi za kinamama?
 
..Sikubaliani na TL.

..Ni kesi ngumu sana kwasababu mahakama zetu ni mali ya CCM.
Mkuu Lissu yupo sahihi. Ni kesi rahisi sana kama sheria itachukuwa mkondo wake. Ina maana kama CCM na serikali watatumia turufu yao ya kawaida ya ubabe kushinda, watakuwa hawajashinda kwa sababu ya u-smart wao bali nguvu, hence siyo kwa sababu kesi ilikuwa ngumu ila kwa sababu walidhamiria.
 
DPP majibu tafadhali.... utaifuta kesi ili uifungue upya ama utaomba review uongezee uzito wa hati ya mashitaka ? maana unamtia hatiani mtuhumiwa mashitaka ya UGAIDI bila evidence iliyo wazi - umewaza tu kwamba alitaka....umejuaje ama una roho mtakatifu ndani yako alikwambia kwamba Mbowe atakwenda kulipua vituo vya mafuta kwa idadi visivyojulikana hata maendeo vilivyoko.

Pia dola $250 zinaweza kufadhili UGAIDI? au kukodi wale bodaboda wapora pochi za kinamama?
Noma sana !
 
Kesi ya Mbowe ni wazi imeichanganya Chadema vibaya sana. Kila kona ya Chadema wanapigana vikumbo. Siyo mitandaoni wala siyo mtaa wa Ufipa. Nasikia baadhi ya viongozi kwa sasa hawasalimiani. Huko Jamhuri ya Twitter pia kunawaka moto, ni matusi juu kwa juu. Viongozi, mawakili na wafuasi wao wanajaribu kujiaminisha wakiwa mbele ya umma kuwa kesi ni nyepesi na wataishinda. Mara eti laki sita ni ndogo kwa kesi ya ugaidi, mara hili mara lile. Nani aliwaambia kipimo cha madhara ya ugaidi ni kiwango cha pesa kilichotumika? Viongozi na mawakili wanajua hii si hoja yenye maana yoyote mahakamani.Pamoja na kuwaadaa watu wao kuwa kesi ni nyepesi, wakiwa wenyewe wanashika vichwa kuhusu ugumu wa kesi hii kwa sababu wanatambua ushahidi iliyo nayo serikali si ushahidi wa kitoto. Ni ushahidi unaoweza kumlambisha Mbowe mvua ya miaka 30 jela. Hii ndiyo maana kila kiongozi wa CHADEMA sasa anampigia magoti Rais ili aondoe kesi mahakamani bila kujali kuwa katika utawala wa kisheria, Rais hawezi kuingilia uhuru wa mahakama. Mikakati yote sasa inaonekana imekauka kwa upande wa Chadema. Mnyika alidai atakuwa akitangaza kila mara mikakati mipya ya kushinikiza kuachiwa kwa Mbowe. Iko wapi Huko Jamhuri ya twitter moja ya mikakati ilikuwa eti tuache kupanda mabasi, tuache kula, tuache kunywa soda na bia, tuache kuweka vocha kwenye simu zetu ili serikali ikose kodi. Hii nayo imebuma. Hakuna kiongozi au Taasisi yeyote duniani inayozungumzia kesi hii. Chadema imeachwa yenyewe na Mbowe wao. Mbowe pia ameachwa mwenyewe na familia yake. Kuna mengi ya kujifunza.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , amechambua mashitaka yaliyosomwa Mahakamani yanayomkabili Mwenyekiti wake Freeman Mbowe , huku akiyaita duni , mepesi na ya UONGO.

View attachment 1906115

Amedai ana uzoefu wa kutosha kwenye kesi za uzushi na uongo kama hii kutokana na kazi yake ya Uanasheria aliyoifanya kwa miaka mingi , ameahidi kushinda kesi hiyo ya kutunga mapema asubuhi .

Hebu msikilize mwenyewe ufaidi uhondo .
Kimsingi hapa hakuna kesi ni uonevu tupu na ujinga
 
hujui kitu wewe, kwenye judiciary inayofanya kazi vizuri, hii si kesi hata kidogo. Sema kwa vile majaji wanapokea magizo anything can come out... ukiipeleka Kenya wanaifukuza nakwambia.
Kumbe unaelewa anything can come out? Basi usiidharau kesi.
 
Back
Top Bottom