Tundu Lissu: Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe ni mepesi kuliko pamba, awaponda Waendesha Mashtaka

Laki sita inaweza kutumika kama kianzio cha kufanikisha uovu na baada ya hapo malipo kamili, hivi hili wanasahau vipi hao waharifu!
 
, ....ameahidi kushinda kesi hiyo ya kutunga mapema asubuhi .
......huyo Lissu uko mbeleni asije kuona kesi hiyo kuishinda ni sawa na kuona uzi wa JF wenye replies nyingi kuliko views! Mumueleze mapema hatutaki mambo ya presha kupanda sisi.
 
Kumbe unaelewa anything can come out? Basi usiidharau kesi.
Sasa kama anything can come out regardless what they do hata wakisema ni kesi serious itabdili nini? Mtu yeyoye mwenye ABC za sheria akisoma ile hati ya mashataka ataona kabisa wanamshtaki ni vilaza ambao hawajui wanachokifanya. Nyumbu kama nyie mnashabikia tu bila kujua kilichomo!
 
Wewe ndio umechanganyikiwa , wahi hospitali uanze dozi.

Chadema ni Imani.
 
Hajakimbia kesi maana siku zote alikuwa na kesi hapa nchini. Kilichomkimbiza ni maagizo ya yule kiongozi muovu kuwa auwawe.

kwahiyo aliagiza auawe baada ya kushindwa uchaguzi na kukimbilia belgium!!!
 
Tuanze na kuachwa Mwenyewe huo ni uongo viongozi wote wapo kazini Mnyika kila siku yupo mahakamani na leo kamwakilisha kwenye mazishi ya mama mkwe wake Arumeru. Maombi yanaendelea kila siku mikoa yote makanisani na leo Dr. Shoo kanongesha watamwombea kwa Mwenyezi Mungu.

Mh. Lissu yupo kwenye viunga vya Marekani kufanya mazungumzo na wale wanaotoa hela kwenye bajeti tegemezi miako yote 60 ya uhuru, Vijana wameandaa kongamano mkoani Mara la KatibaMpya.

Ninyi mmechanganyikiwa mpaka mnaomba poo mabalozi wasiende mahakamani.
 
Huyo USSR, hajawahi kuwa na akili, hajawahi kuchangia kitu chochote cha maana. Kungekuwa na jukwaa kwaajili ya watu wenye uwendawazimu, would be the right place for him. Here, he is misfit.
 
kwahiyo aliagiza auawe baada ya kushindwa uchaguzi na kukimbilia belgium!!!
Alishindwa uchaguzi? ingia tovuti ya tume hata kama wanathubutu kuweka matokeo. Alipoagiza auwawe huko Dodoma alikuwa kwenye uchaguzi gani?
 
..Sikubaliani na TL.

..Ni kesi ngumu sana kwasababu mahakama zetu ni mali ya CCM.
Nyie jamaa bwana wababaishaji sana. Si mlisema Magufuli aliiweka mahakama mfukoni na mkafurahia kifo chake.

Mkafurahia DPP Biswalo kuondolewa, mkafurahia Sabaya kufunguliwa mashtaka na kesi, sasa haya ya Mahakama kuwa mali ya CCM yametoka wapi? Hivi mnajitambua kweli nyie watu?
 
Mwambie arudi aje amtetee aache kufugwa kama kuku wa kizungu huko kwa mabwana zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…